Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,706
Acha mkwara dogo kujua kufungua PC na kubadilisha RAM basi unajua security yote kwenye ITila kama ikiwa hacked au kufanywa chochote na wanahitaji kusaidiwa katika kuhakikisha wahusika wanatafutwa basi tunaweza kushauriana katika kuhakikisha wanapatikana popote walipo wenzetu rwanda