Wanabodi,
Jamani hizi habari za kweli ama ndio habari za jioni kijiweni na moja baridiii pembeni..
Kama kweli imetokea hivyo wakuu msifanye mzaha hata kidogo, hili linawezekana kuwa swala zito na gumu kuliko mnavyofikiria.. Kwanza tukizingatia maneno ya Mtanzania - Laptop iliyopotea ni ya RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA na sio ya JK.
Na yote mliyoyazungumza iwe kuna bongo flava, picha za Utamu na kadhalika kitu muhimu nikuelewa kwanza Ndivyo Tulivyo...
Rais wetu kutembea na laptop ni moja ya Ulimbukeni wetu ulotokana na Umaskini wa hali na mali..Nasema hivyo kwa sababu sijawahi kuona kiongozi akitembea na Laptop mkononi ama imebebwa na mtu wakati wa msafara wa rais isipokuwa Bongo tu. Viongozi wengi kama sio wote hubeba Laptop kila waendapo wengine huziacha mahotelini na kadhalika..na uwezekano wa kuwemo habari nyeti za Kitaifa ambazo zinaweza kuhatarisha Usalama wa taifa ni kubwa sana..
Kumbukeni marehemu Chacha Wangwe na hadi leo kilichoibiwa ktk ajali ile ni laptop tu..Pia nilisikia karamagi ewakati anafunga deal la Buzwagi hotelini laptop ilitumiwa sana tu na wajanja waliweza ku access info za mkataba huo kutokana na hiyo laptop yake..(msije nisulubu hivyo ndivyo nilivyosikia) sina hakika na maneno haya..
Mimi nadhani swala hili ni zito sana kuliko tunavyofikiria na kuna haja kubwa ya kufanya msako mkubwa iwe kama mtu kaingia ktk server ya FBI ama CIA..
Jamani hizi habari za kweli ama ndio habari za jioni kijiweni na moja baridiii pembeni..
Kama kweli imetokea hivyo wakuu msifanye mzaha hata kidogo, hili linawezekana kuwa swala zito na gumu kuliko mnavyofikiria.. Kwanza tukizingatia maneno ya Mtanzania - Laptop iliyopotea ni ya RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA na sio ya JK.
Na yote mliyoyazungumza iwe kuna bongo flava, picha za Utamu na kadhalika kitu muhimu nikuelewa kwanza Ndivyo Tulivyo...
Rais wetu kutembea na laptop ni moja ya Ulimbukeni wetu ulotokana na Umaskini wa hali na mali..Nasema hivyo kwa sababu sijawahi kuona kiongozi akitembea na Laptop mkononi ama imebebwa na mtu wakati wa msafara wa rais isipokuwa Bongo tu. Viongozi wengi kama sio wote hubeba Laptop kila waendapo wengine huziacha mahotelini na kadhalika..na uwezekano wa kuwemo habari nyeti za Kitaifa ambazo zinaweza kuhatarisha Usalama wa taifa ni kubwa sana..
Kumbukeni marehemu Chacha Wangwe na hadi leo kilichoibiwa ktk ajali ile ni laptop tu..Pia nilisikia karamagi ewakati anafunga deal la Buzwagi hotelini laptop ilitumiwa sana tu na wajanja waliweza ku access info za mkataba huo kutokana na hiyo laptop yake..(msije nisulubu hivyo ndivyo nilivyosikia) sina hakika na maneno haya..
Mimi nadhani swala hili ni zito sana kuliko tunavyofikiria na kuna haja kubwa ya kufanya msako mkubwa iwe kama mtu kaingia ktk server ya FBI ama CIA..