Huu udaku, labda mwizi mwenyewe aje hapa amwage dataz kutoka kwenye hiyo laptop!Kuna tetesi za kuaminika kwamba kompyuta ya mapajani (Laptop) ya mkuu wa kaya imepotea katika mazingira ya kutatanisha.
Salva karibu for comments................
Huu udaku, labda mwizi mwenyewe aje hapa amwage dataz kutoka kwenye hiyo laptop!
Mmmmmmh!
kama kweli imeibiwa, je hakuna mtu mwenye uhusiano na huyo mwizi atuletee data? otherwise namashaka!
labda ni wanae wameificha kwa nia ya kucheza game au vinginevyo, si ana watoto wadogo
Sio rahisi hata kidogo na hata kama imechukuliwa wewe uliyechukuwa usitegemee kupata chochote kipya toka katika laptop hiyo hakuna lolote la maana -- watu wa usalama wanajua hilo
kwi kwi kwi....... wameificha nyuma ya ua chini ya makuti, watakitumia ki-processor chake kikipata joto kujipikilisha na tule tu-RAM watatutumia kama tumakaa twa mawe.
Mama, anao watoto wadogo, mmoja au wawili nadhani ni adopted.
watoto wa rais bwana, wanadokoa laptop na sio coins za mia mia au kulamba sukari.
Kuna tetesi za kuaminika kwamba kompyuta ya mapajani (Laptop) ya mkuu wa kaya imepotea katika mazingira ya kutatanisha.
Salva karibu for comments................