Laptop ya JK yatoweka kiutatanishi!

ila kama ikiwa hacked au kufanywa chochote na wanahitaji kusaidiwa katika kuhakikisha wahusika wanatafutwa basi tunaweza kushauriana katika kuhakikisha wanapatikana popote walipo wenzetu rwanda
Acha mkwara dogo kujua kufungua PC na kubadilisha RAM basi unajua security yote kwenye IT
 
Yes inawezekana ndio maana nikasema mada hii ihamishiwe sehemu husika ili tuweze kulichambua vizuri , tutembelee hata katika office hizo tujue wanaziprotect vipi na tunaweza kusaidia vipi

kuna wakati laptop ya system administrator wa celtel iliibiwa , ilivyopatikana ikawa haina pwd na acont yake ni administrator unaona mambo kama haya ? Watu wanafanya nini huko makazini ??

Mimi nazungumzia protection ya habari zilizoko kwenye lap top ambayo ni misplaced..Sasa kabla hatujajuwa impacts za kuvuja kwa "Movies" Hizo..Wewe unazungumzia cha kuprotect..Well you still have to gather new stuff before you protect it.
So far everything seems to be out on the open.
 
Serikali na idara zake naamini wana policy maalumu ya kulinda yote hayo.........

hivi bwana mnyama kuna database ambayo naweza kupata majina ya wahalifu yote bila kukosea ?

Jeshi la Polisi wanazo kumbukumbu za wahalifu. Ingawa zinaweza zisiwe katika hali ya digital database. Wizara ya mambo ya ndani wana digital criminal database unaweza kupata data muhimu huko kwa utaratibu maalum.

Wizara na Idara nyingi za serikali ikiwemo ikulu hawana digital information security policy. Kilichopo ni file classifications kama confidential, highly confidential etc na utaratibu wa nani na nani anaruhusiwa kushika faili lipi n.k. Hata kama ziko basi ziko kwenye makaratasi tu, hazijawa implemented

Kuvuja kwa siri za serikali hivi sasa kunachangiwa na kutokuwa na information security policy. Kuna kipindi usalama wa TAIFA wali onya kuhusu hali hiyo ingawa hawakutoa feasible solution. Wao waliagiza tu kuwa computer zinazotumika kuchapa nyaraka za siri zisiwekwe kwenye mtandao wa internet. Ndo kama nilivyosema wanafikiria zaidi network security
 
Mbona nyie mnaongea kama vile mmesha confirm kuwa nini kimo ndani ya lap top ya Rais?
Vipi kama kuna habari specific zinazotafutwa na mtu ama watu flani ambazo impact yake tutai feel?
Na huo usalama wa Taifa ambao mnazungumzia nyie ni upi hu?
Ama wa ku protect habari za mafisadi?
 
Mbona nyie mnaongea kama vile mmesha confirm kuwa nini kimo ndani ya lap top ya Rais?
Vipi kama kuna habari specific zinazotafutwa na mtu ama watu flani ambazo impact yake tutai feel?
Na huo usalama wa Taifa ambao mnazungumzia nyie ni upi hu?
Ama wa ku protect habari za mafisadi?

Laptop ya JK haiwezi kuwa na kitu cha maana, sana sana utakuta hotuba zake tu ambazo siyo siri. Hivi wewe unafikiri JK anaweza kutumia Laptop kwa kitu productive? Hiyo laptop inayoongelewa siyo ya JK ya binafsi ila anatumia secretary wake wanapo safiri kwa ajili ya kufanya marekebisho kwenye hotuba na mambo mengine ya kama hayo. Nakuhakikishia usiwe na wasi wasi wewe tulia tu hapo marekani kwa amani
 
Laptop ya JK haiwezi kuwa na kitu cha maana, sana sana utakuta hotuba zake tu ambazo siyo siri. Hivi wewe unafikiri JK anaweza kutumia Laptop kwa kitu productive? Hiyo laptop inayoongelewa siyo ya JK ya binafsi ila anatumia secretary wake wanapo safiri kwa ajili ya kufanya marekebisho kwenye hotuba na mambo mengine ya kama hayo. Nakuhakikishia usiwe na wasi wasi wewe tulia tu hapo marekani kwa amani

... intriguing!
 
U mean What goes around, comes around?

Jamani laptop iliyopotea ni ya RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA na sio ya JK. Tuwe makini na ushabiki huu....

Tanzanianjema

Jiulize ikului iliunguaje hadi kuteketea vitu bila kuzimwa, tena asubuhi hakuna foleni....!!!! leo usishangae laptop wakati wasaidizi wote wanapokea amri toka kwingine....!!!! na huwa wanatumwa na watu wengine, wanasema, "Rais kasema ..... wanatekeleza MwanaHalisi linafungiwa....Rais kasema ...... wanatekeleza wanampa mtikila mapesa anatukana watu akiwamo JK.... sasa hapo Rais nani?
 
Laptop ya JK haiwezi kuwa na kitu cha maana, sana sana utakuta hotuba zake tu ambazo siyo siri. Hivi wewe unafikiri JK anaweza kutumia Laptop kwa kitu productive? Hiyo laptop inayoongelewa siyo ya JK ya binafsi ila anatumia secretary wake wanapo safiri kwa ajili ya kufanya marekebisho kwenye hotuba na mambo mengine ya kama hayo. Nakuhakikishia usiwe na wasi wasi wewe tulia tu hapo marekani kwa amani

Uncle kabla ya kunihakikishia mimi ni bora uwahakikishie hao wabongo waliopo hapo bongo kwanza kuhusu AMANI..

Pia narudia.....Tabia ya ku underestimate itawa cost kwasababu ya dharau za miiba ambazo mara zote ni matokeo ya mguu kuota tende.
Haya bana kuna movies kwenye lap top pia hakuna vitu vya maana na ndio maana ikapigwa.
Happy?
 
Tuheshimu tu kazi za wenzetu, kama mtu ni mlinzi wa rais basi heshimuni kazi yeke , na kama ni rais basi tuheshimu kazi hiyo, tunayoyaleta hapa mengine sasa yanatudharirisha sisi wenyewe. Ina maana hao wataalaamu wa usalama wako hovyo kiasi cha kumfikisha mkuu hapo tunapoambiana au tunapigishana soga siku iende jamani.

Tuwe sirias ktk mambo makubwa ya namna hii
 
Wanatupiga politiks hapo hapo...wanakwepa ukweli....kama imepotea ni kujipanga tuuu...isije ikatokea tena.....maana kama wanbajifanya wako smart na vitu vidogox2 vinawaumbua..kama wazee walivyoweza kujikusanya maeneo kama yale na kulala barabarani..ile ni ishara tosha kuwa wana usalama wamelala.....hakuna tena usalama wa taifa wala nini ......wanafanyia kazi mazoea sababu tz hakuna shari kwa sana....wakubali na wajipange upya.....fofofoooo...hawajui wanafanya nini....majungu tuu
 
Mkuu Halisi, ninakuaminia tuletee dataz zaidi on this! Maana jamaa kwa carelesness sidhani kama kuna anyemzidi duniani.na hizi ni zake za kawaida.

Du na mpambe wake awe karibu asije siku moja akasahau kufunga zipu au flaisi ya suruali!!!!!

Lakini jamaaa mambo mengi kichwani, kwanza nampa big up. Yaani awaze yatima alijidai ameadopt (kwanza achukue wale wadogo aliozaa mwingine atakuwa 8 years sasa na wadogo zaid then aende sasa kuchukua yatima). Then vimada vilipendwa, then wapya, then masuala binafsi, then masuala ya kimataifa, then masuala ya ndani hasa EPA, Richmond, IPTL, Deep Green, Meremeta Gold, etc, then Maswahiba!!!! Sasa hapo siju anaipa asilimia gani katika ubongo wake katika kuwaza masuala ya kuinusuru nchi na umaskini uliokithiri na hasa kipindi hiki cha global economic crisisi (rescession). Hivi anapata fursa ya kusoma any document before he sleeps??? Jamaa ajengewe utamaduni wa kusoma, hata gazeti kwa siku aone jinsi watanzania wanataabika!!! Au anasoma ya UDAKU???? Pole Mkuu,
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom