Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,175
Hata kama nimesha mshika, unadhani ntamwacha??
Ili aliyekuwa anacheat naye ahamie??
Lol, nafanya nginja nginja tu, ntaondoka, sijui nini
Lakini sinyanyui hata mguu kutoka chumbani
Ili aliyekuwa anacheat naye ahamie??
Lol, nafanya nginja nginja tu, ntaondoka, sijui nini
Lakini sinyanyui hata mguu kutoka chumbani
which he does!
Yaani ukiona hujamfumania mmeo, jua mmeo ni mjanja. Wanaume karibu wote tunacheat. Cha msingi usimfuatilie usije kufa kwa presha bure!