kitu kimoja so funny kuhusu darasa la cheating.....
wengi walio kwenye ndoa hasa za mda mrefu watakwambia cheating is inevitable na fair game ingawa inauma..
while weengi wanaokwambia cheating is unforgivable ni wale ambao hawako katika ndoa......
now go figure that.....
But there are some who are speaking from experience and have actually done it, i.e. dumped their partners once they found out about their infidelities.
lizzy waswahili husema kua uyaone ......nafikiri umeelewa mkubwa mwenzangu!
Hahahaha. . .A very good thread with a logic answers and tactical explanations ever seen here.Am conviced to compare Lizzy's thinking capacity with that of mine.Kuna watu wanajua bwana,nyie acheni tu..
Kwani mtu akitoka kucheat na kurudi kwenye mahusiano yale yale mizengwe inakua imepungua? Kama kero zimezidi kiasi kwamba mhusika anaona hawezi kuvumilia kwanini asiende huko kusiko na mizengwe?unajua nn,sometyms mtu unacheat kutokana na mahusiano yako kuwa na mizengwe..aman hkn,ugomv kla kukcha,yan kero bn tabu....huku upande wa pl mtu anakujal kwa kika hal kwann uccheat!
Bishanga niko kwenye ndoa n am bize cheating.kitu kimoja so funny kuhusu darasa la cheating.....
wengi walio kwenye ndoa hasa za mda mrefu watakwambia cheating is inevitable na fair game ingawa inauma..
while weengi wanaokwambia cheating is unforgivable ni wale ambao hawako katika ndoa......
now go figure that.....
FF nakupenda lakini sa ingine unaongeaga sana bila kutoa pweint,sasa ndo nini kukandia mpango wa pembeni bana?Ukiona watu wanajifanya hawajui ndoa ni nini ujuwe hao wanaishi, kula na kulala kwenye zinaa, na pengine wamesha zaa watoto wengi nje ya ndoa. Mara nyingi huwa hawajui hata baba yao ni nani.
Watu kama hao huwa haweelewi wala hawaujui umuhimu na utamu wa ndoa. Ni wazinifu.
Ndoa si kuvaa gauni jeupe au la kijani, ndoa ni "contract" ya kukubaliana na kutambulikana kisheria, kidini na kijamii kuwa fulani ni mke na mume walioridhiwa na wazee na jamii zao na kuwa wameyakubali majukumu kutokana na "agreement" zao.
Nje ya hapo ni zinaa, inayopelekea watoto wa mitaani kuwa wengi, magonjwa ya zinaa kuzidi, watoto kuwa na mababa zaidi ya mmoja na wengi kufikia hata kutokujuwa baba zao ni nani, na wengi hufikia kuzaa na kutelekeza watoto kwenye vituo vya kulelea yatima. Inasadikika kuwa mayatima wengi si mayatima kweli bali ni watoto wa nje ya ndoa, waliozaliwa kwenye zinaa.
Zinaa ni haramu kwa dini zote na hata kwa jamii ni haramu. Kwa hiyo haiwezekani "cheating" ikafanyika kwenye zinaa, zinaa yenyewe ni "cheating" kwa mola wako na kwa jamii yako. Sasa cheating itoke ndani ya cheating? wapiii?
FF nakupenda lakini sa ingine unaongeaga sana bila kutoa pweint,sasa ndo nini kukandia mpango wa pembeni bana?
Wengine that's what makes our marriages tick,kwani weye (unlike..........L.......) hujawahi ku cheat? Just be sincere please.
siungi mkono hoja hapa babu!Cheating is inevitable, says ODM
refer back kwenye uzi wa The Boss....'ukitaka kuwa na nyumba ndogo....the guide'....based on those well researched principals utakamatwa vipi?siungi mkono hoja hapa babu!
well ok, unapenda kutenda tu au hata ukitendewa poa?? i mean wt if ukagundua bibi pia anacheat uko, utareact vp??
FF nakupenda lakini sa ingine unaongeaga sana bila kutoa pweint,sasa ndo nini kukandia mpango wa pembeni bana?
Wengine that's what makes our marriages tick,kwani weye (unlike..........L.......) hujawahi ku cheat? Just be sincere please.
Nashkuru Mungu. Never in my life. Huyu mmoja ingekuwa inawezekana ningemkata chini nikabaki na kipande chake cha juu, tu.
So long sijawahi kumhisi au kumfumania haimaanishi kuwa huwa hacheat....... At least kama anacheat basi anacheat responsibly kama ambavyo mie nafanya.....siungi mkono hoja hapa babu!
well ok, unapenda kutenda tu au hata ukitendewa poa?? i mean wt if ukagundua bibi pia anacheat uko, utareact vp??
ww tena na uo uzi mara pili hii unasema watu tukaperuzi uko duh!refer back kwenye uzi wa The Boss....'ukitaka kuwa na nyumba ndogo....the guide'....based on those well researched principals utakamatwa vipi?
he he he babu no comment aisee!So long sijawahi kumhisi au kumfumania haimaanishi kuwa huwa hacheat....... At least kama anacheat basi anacheat responsibly kama ambavyo mie nafanya.....
Cheating is inevitable, ODM concludes...!
So long sijawahi kumhisi au kumfumania haimaanishi kuwa huwa hacheat....... At least kama anacheat basi anacheat responsibly kama ambavyo mie nafanya.....
Cheating is inevitable, ODM concludes...!
which he does!Mmmh, really?
Anyway, i will not shoot if a spouse cheats responsibly