Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nje ya ndoa ni dhambi tu, hakuna cha maelewano. Ikiwa mnaweza kuvuliana chupi kabla hamjaoana nini kiwashinde kumvulia chupi mwingine? Hiyo ni zinaa, sasa ufanye cheating ipi kwenye zinaa?
Unaitafsirije ndoa?
nimependa hii objectivity hasa kutoka kwa dada.... thanx Lizzy
Hhhmm. . . kila la kheri.Mpendwa mtoa mada,kesho narusha uzi,title:
UKITAKA KUCHUNA BUZI.........mwongozo.
Mi najua kuwa cheating ni tatizo sana,but nini difinishen yake?Kutoka nje ya ndoa,ndoa ni nini?Kwenye maandiko matakatifu(biblia)watu walikua hawaoi kama leo,kwa maana ya kwenda kwenye nyumba za ibada,ulikua unatoa mahari unachukua mke!Huu utaratibu wa leo sijui umetoka wapi!Pia mi nafikiri cheating ziko nyingi,tafsiri yangu ni kuwa,cheating ni kumpatia mtu mwingine haki inayomstahili mwandani wako tu,ikiwa ni pamoja na sms,kupiga simu,ngono n.k.Zingatia hapa,HAKI INAYOMHUSU MWANDANI WAKO TU,maana wale wavivu wa kufikiri watashangaa kusikia sms,sijui sms unayomtumia mkeo/mumeo ni sawa na ile ya mama yako?
Chauro mengine yanatisha kuona jamani.lizzy waswahili husema kua uyaone ......nafikiri umeelewa mkubwa mwenzangu!
ku cheat ni upumbafu? Give me a break!Nice thread, kweli ni upumbafu sana kucheat najua ni upumbafu lakini kunawengine wanawake huwezi kuwapita sa tumlaumu nani.
ku cheat ni upumbafu? Give me a break!
ku cheat ni upumbafu? Give me a break!
Ndoano.
Namsaidia. . . NDIO!!!
Kama huwezi kuwa na mtu mmoja tafuta ambao hawajali mkiwa na mahusiano yanayoruhusu kuwa na watu wengine badala ya nyie wawili tu.
baby Lizzy,nimeapa sigombani na wee tena (inauma sana),sasa katika hili naomba tutofautiane,pliiiiiiiiizzzzzz!!!
baby Lizzy,nimeapa sigombani na wee tena (inauma sana),sasa katika hili naomba tutofautiane,pliiiiiiiiizzzzzz!!!
sweetie,mahabuba!Bishanga!
siku zote mla ndizi huwa anasahu,anayekumbuka ni mwokota maganda! Hatujawahi kugombana?????Hivi mimi na wewe tumewahi kugombana?
Nwy kutofautiana kupo, ila bado mimi naona ni upumbavu. Kama huwezi kutulia na mtu mmoja jiweke huru kama wanavyofanywa kuku wa kienyeji. . .unazunguka popote bila tatizo.