Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
And this is the Word of Men's God! Amen!Come RAIN...Come SUN...! Baba_Enock will NEVER STOP Cheating...!
And this is the Word of Men's God! Amen!Come RAIN...Come SUN...! Baba_Enock will NEVER STOP Cheating...!
which he does!
Yaani ukiona hujamfumania mmeo, jua mmeo ni mjanja. Wanaume karibu wote tunacheat. Cha msingi usimfuatilie usije kufa kwa presha bure!
Kwani mtu akitoka kucheat na kurudi kwenye mahusiano yale yale mizengwe inakua imepungua? Kama kero zimezidi kiasi kwamba mhusika anaona hawezi kuvumilia kwanini asiende huko kusiko na mizengwe?
FF,
Sasa baba nanihii akitaka kuongeza mke wa pili wa kukusaidia majukumu inakuwaje hapo? anakwambia kwamba anaogopa kutenda dhambi bora amchukue jumla.
Muumba wangu anajua kuwa mwanaume si wa mwanamke mmoja.
So,alizini au?
Lizzy,uko so right!.it is selfishness most times..kama tungeweza kuwafikiri a wale walio karibu na mioyo yetu then cheating isingekuwapo. I have a friend ambaye babaake aliamua kumchukua housegal na ana watoto nae(bila familia kujua)for almost 10years,.when my friend found out(hakuna siri duniani that lasts forever)uhusiano wake na baba yake uliishia hapo,kama mtoto,utakua na mawazo ya mamako,how she feels,days that ulimsikia akilia secretly in her room etc!..some men are ready to trade their families for a mere pleasure. Mwingine ni a man,yeye pia kaletewa HIV hapo hapo kwake!.he killed himself..now,as they say kwenye campaign za HIV,change begins with you!.utajiona mjanja sana doing ol those fishy staffz ila KAMA your partner is faithful to u in ol ways na kumlipa ndo wamlipa hvyo then you will have to pay for it,and the price inakua kubwa!na tukumbuke,kumuua mtu sio kwa kuchukua kisu na kumchoma,we are silently killing those close to us by our acts.tumheshimu Mungu na pia tujue,he who knows not and knows not that he knows not,is a fool..and making people feel bad about themselves to make us feel good makes us uglier than they are!(pale unamsukumia mwenzako lawama while unajua ni makosa yako mwenyewe,cheating)
Na heshima maana yake nini?
wewe na Lizzy nawagwaya siku hizi mu wakali ka pilipili,vinginevyo ningekwambia kitu.
Hii kitu ni kweli kabisa watu wanacheat bila kujali ni madhara gani yatatokea. Mimi binafsi nilishampiga mwanamke nusura kumuua coz alinicheat katika mazingira ya ajabu. Nilimpa kila kitu yaani mapenzi nilimjali 100% lakini akaishia kunicheat eti shetani alimpitia.
Ni kweli wanaume wote mnacheat? Asiyecheat anyoshe kidole.
Hahahahah umewabambaaa.....hutowaona lol