Nimeangalia nchi Saudi Arabia, China, South Africa na nyingine kama hizo ambazo kipindi flani tulikua nao sawa ila kwa sasa wametuacha mbali sana.

Hivi ni kweli hatuwezi jenga hata matundu choo mpaka tusaidiwe na Marekani?

Tuna kila kitu kuanzia rasilimali kama gesi, dhahabu nk nk lakini why sisi ni maskini?
Tatizo ni viongozi hawana nia thabiti ya kuleta maendeleo
 
Tanzania Sio maskini bali Kuna baadhi ya watanzania ni maskini Sio wote
Watanzania wote ni masikini hao unaowaona matajiri wengi ni janja janja na wizi. Ukifanya nao kazi utaelewa, hakuna mtu tajiri analipa wafanyakazi mishahara duni au kuwadhulumu.
 
Nimeangalia nchi Saudi Arabia, China, South Africa na nyingine kama hizo ambazo kipindi flani tulikua nao sawa ila kwa sasa wametuacha mbali sana.

Hivi ni kweli hatuwezi jenga hata matundu choo mpaka tusaidiwe na Marekani?

Tuna kila kitu kuanzia rasilimali kama gesi, dhahabu nk nk lakini why sisi ni maskini?
Nimeangalia nchi Saudi Arabia, China, South Africa na nyingine kama hizo ambazo kipindi flani tulikua nao sawa ila kwa sasa wametuacha mbali sana.

Hivi ni kweli hatuwezi jenga hata matundu choo mpaka tusaidiwe na Marekani?

Tuna kila kitu kuanzia rasilimali kama gesi, dhahabu nk nk lakini why sisi ni maskini?
Mazi
Nimeangalia nchi Saudi Arabia, China, South Africa na nyingine kama hizo ambazo kipindi flani tulikua nao sawa ila kwa sasa wametuacha mbali sana.

Hivi ni kweli hatuwezi jenga hata matundu choo mpaka tusaidiwe na Marekani?

Tuna kila kitu kuanzia rasilimali kama gesi, dhahabu nk nk lakini why sisi ni maskini?
Sababu ni hizi:
1. Wa Tanzania hatuna Uzalendo na Nchi yetu.

2. Ubinafsi unatufanya tuendelee kuwa masikini. Ukiwa na Chance unashindwa nini kumsaidia jirani yako? Watu wanaogopa kuwasaidia sababu wanajua watawazidi au wanajua wakisaidiwa wakafanikiwa wataaza kuwakejeli na kuwatharau.

3. Bado hatuna malezi manzuri, Kijana muda wote anawaza Ngono na Pisi Kali huyo atapambana kweli?? Jibu hapana. Kadri unavolala na wanawake wengi do unapata nafasi kubwa ya kuwa masikini.

4. Uzembe do unaotufanya tuendelee kuwa masikini, imagine mtu asubuhi anaamkia kucheza Draft au Kamali unategemea huyo mtu ataweza kujikwamua na umasikini.

5. Hatuna uzalendo wa kufanya kazi kwa bidii, watu ili wafanye kazi wanahitaji External Force.

6. Extended Family inachangia sana, Mwanaume unauwezo wa kulea watoto 5 wewe unazaa watoto 15, hapo utatoboa kweli?

7. Elimu zetu zinatuandaa kuwa waajiriwa wa serikalini sababu, Somo la biashara hawalipati wengi zaidi ya asilimia 90 ya wanachuo hawajasoma somo la biashara, hata kama wagesoma bado tu wasigeweza kufanya vizuri sabab mitaala yetu ni theory oriented.

8. Serikali bado haitusaidii sisi wana nchi wake, Jiulize tu HARRIER inauzwa Milioni 15 hadi 16 Japan hadi bandari ya DSM, bado hapo mtu unapaswa kulipa KODI KUBWA kuliko bei ya Gari, what do you expect hapoo??

9. Kukithiri kwa Rushwa hii inachangia kuendelea kuwa masikini.

10. Upendeleo au kutokuepo kwa usawa katika Suala nzima la Maendeleo ya kijamii na kitaifa.

11. Usimamizi mbaya wa Rasilimali Mama za Taifa (Madini, Banfari, Hifadhi, Mapato)

12. Ukosekanaji wa Viwanda vya kisasa, sababu tunachokizalisha hatuwezi kukichakata kwa ajiri ya kuwa Rawfull material na kuuza kweny masoko ya Dunia.

Sababu ni nyingiii sana.

Ushauri wangu.

Mtoto anapoaza shule ya msingi tu litolewe somo la:

1. Somo la uzalendo
2. Somo la biashara
3. Somo la malezi na utamaduni
 
Nimeangalia nchi Saudi Arabia, China, South Africa na nyingine kama hizo ambazo kipindi flani tulikua nao sawa ila kwa sasa wametuacha mbali sana.

Hivi ni kweli hatuwezi jenga hata matundu choo mpaka tusaidiwe na Marekani? Ko

Tuna kila kitu kuanzia rasilimali kama gesi, dhahabu nk nk lakini why sisi ni maskini?
Tatizo ni ccm.
 
Watu wananunua magari mpaka nambe E zinakaribia kujaa halafu unasema hii Inji ni maskini?....…..........alisikika mwehu mmoja akiuliza............na bado tutaendelea kuwa maskini na maskini kama tutaendelea kuongozwa na watu wale wale.
 
Nimeangalia nchi Saudi Arabia, China, South Africa na nyingine kama hizo ambazo kipindi flani tulikua nao sawa ila kwa sasa wametuacha mbali sana.

Hivi ni kweli hatuwezi jenga hata matundu choo mpaka tusaidiwe na Marekani?

Tuna kila kitu kuanzia rasilimali kama gesi, dhahabu nk nk lakini why sisi ni maskini?
The green mambas(CCM)!!
 
Hifunze kuongea kwa Takwimu
Nimeangalia nchi Saudi Arabia, China, South Africa na nyingine kama hizo ambazo kipindi flani tulikua nao sawa ila kwa sasa wametuacha mbali sana.

Hivi ni kweli hatuwezi jenga hata matundu choo mpaka tusaidiwe na Marekani?

Tuna kila kitu kuanzia rasilimali kama gesi, dhahabu nk nk lakini why sisi ni maskini?
 
MTU mweusi ndivyo alivyo

Kama unadhani watu ni masikini kisa hawana pesa ,majumba au magari utakuwa unakosea.

Tafuta masikini yeyote umpe hela then utazame matumizi yake!

Duniani kote alipo MTU mweusi huwa hakuna maendeleo
🙄
 
These CHADEMA's operatives may have preconeived notions about Tanzania that are not grounded in reality-lets face it, none of these 'scripted rhetoric' messages came with a solution.

CHADEMA has to engage its citizens in a dialogue that is rooted in respect. And not negative reinforcement that are compounded with superficial judgment.


Much like how borders can be seen as arbitary lines that don't necessarily reflect the true nature of a region or its people. CHADEMA arbitarily uses foreing agents to spearhead provocative, senseless and unfounded narrative to fit its agenda in Activism, by mocking Tanzania's citizens?

To you who hide behind scripted messages and digital avatars to spread such misconceptions, know that your actions are a diisservice to Tanzania.

CHADEMA, you must change your narratives, and strive for deeper comprehension that goes beyond superficial judgements. Tanzania, like all nations, cannot be defined by a single narrative or a singular issue, for instance the presence or absence of latrines.

Question to the CHADEMA hired Operatives-Why are you hiding in the guise of being Tanzanians? Why digital blackfacing?

Your digital masks perpetuates hate and division and distorts and diminishes the lived experiences of Tanzanians.

Somewhat, you think the words you're using are not harmless; well, they are. They contribute to a narrative that dehumanizes and mocks and slander, all under the guise of fostering development, democratic ideals and so on using humor or social commentary or the 'Savior mentality, where you believe you're helping or saving Tanzania problems while actually perpetuating stereotypes.

CHADEMA cannot solve Tanzanias problems if it continues to engage foreign operative and agents in a socio-political sphere that is culturally different from them.

I urge all Tanzanians to reject CHADEMA their foreign agents and Operatives and their digital masks that perpetuate hate and division, and instead urge CHADEMA and its affiliates of foreign advesaries to engage in a dialogoe rooted in respect and truth.

We must challenge these narratives.
Mkuu, what a good publication you have presented today about the opposition more especially CDM!

In your presentation you have convey your deepest fears concerning the strength and the position occupied by CDM ina particular in the mind and heart of the masses!

Your presentation is a good media publicity advert free of charge, Hongera sana, na uendelee na huo moyo Mkuu!
 
Kwa sababu ya CCM.
Hilo halina mjadala.
Ni kama Cuba bado wanaishi maisha ya miaka ya 1950's.
Inasikitisha sana.
Tatizo ni zaidi ya ccm. Ingekuwa tatizo ni ccm peke yake, basi chadema sasa hivi kingekuwa chama cha kupigiwa upatu kila mahali kwa kuleta revolution ideas za kimaendeleo. Lakini wapi, hata kiwanja tu cha kujenga ofisi ya makao makuu ya chama hawana!
Kama tunataka kupata solution halisi ya umaskini wetu, ni lazima tuliangalie tatizo ndani yaidi ya ccm peke yake.
Btw, huko kenya, Uganda, DRC, nk hakuna ccm, lakini nao ni maskini!
 
Nimeangalia nchi Saudi Arabia, China, South Africa na nyingine kama hizo ambazo kipindi flani tulikua nao sawa ila kwa sasa wametuacha mbali sana.

Hivi ni kweli hatuwezi jenga hata matundu choo mpaka tusaidiwe na Marekani?

Tuna kila kitu kuanzia rasilimali kama gesi, dhahabu nk nk lakini why sisi ni maskini?
Jibu ni uwepo wa CCM madarakani.
 
Tanzania sio maskini!

Bali Kuna matumizi mabaya ya fedha za wananchi!!

Fedha nyingi zinateketea Kwa kulipa mishahara na posho Kwa wanasiasa kuliko kuhudumia wananchi kwenye kilimo,Afya na elimu!

Ajira bado zipo.nyingi sana na fedha za kuajiri zipo tatizo hayo.mapesa wanasiasa wanajilipa maposho na kupiga dili!!!

Nikiingia huo mchezo hautokuwepo!!
 
Back
Top Bottom