Kwanini wanaume wengi wachovu kitandani?

na kama hali ndo hy ujue kbs kuwa mkeo naye ananyumba ndogo inayomridhisha kwelikweli ndo mana hahangaiki na wewe.

siyo mbaya so long as ninapata kile roho inapenda... afterall katika mashindano kama haya anayeliwa ni mwanamke... kupigwa mitulinga na kubinuliwa kila wakati takes its own toll; no wonder wengi wao huwa wanazeeka kabla ya wakati...
 
kazi na majukumu ndo sababu kaka,ukirudi home umechoka, kesho yake alfajiri haupo, ile kitu ni kazi ngumu, unataka upige mpaka akuappreciate halafu iweje, kama haridhiki atimkie mbali, kisa cha mimi kufa kwa uchovu uliozidi nini? angalia hata vifo! wanaume tunakufa sana tunaacha wajane, so friend usijiumize kabisa.

Mkuu nimemtimua wk iliyopita.. yaani hatosheki ..Nachapa ucku round 4,bado anataka tu!! asubuhi nasepa job anataka tena kha..!!!
 
Mapenz maelewano,
Raha ya penz mawacliano,
Raha ya penz u2ndu so kwa mbaba 2 pia kwa mmama,
Raha ya penz mauno pande zote mbili,
Kabla ya mechi iwepo nguvu ya kutosha hapa namansha msosi wa ukweli..
Mwanamke ucpoteze hak yako ktka mapenz jishughulishe, hutofkir kukosa penz lake...
Mbaba sahau kuhusu super shaft...
Dawa ni msosi wa nguvu,maji ya kutosha.,mazoez hata kutembea km 2 kwa cku kwenda na kurudi ni bonge la zoezi...
Kama mwenzio ana tatzo hilo, kaen chn mzungumze,mjue tatzo nini,sio lawama ha2tafka..

Hapo sasa unakosea.
Labda sijui unaongelea mda gani wa sex haswa,..
lakini kama ni usiku,usiku ni mda ambao unatakiwa kula kidogo saaaaana kuliko mda wowote wa siku.

Kuna sana asubuhi,kunywa maji mengi sana asubuhi pia.
Mchana punguza kiasi cha chakula,then usiku ndo kidoooooogo.

421158_3033727634958_1015935028_2975256_1479318707_n.jpg
 
Kuna kitu kinanishangaza sana, siku hizi wanaume wengi wamekuwa wakifurika kwa wataalam wa madawa ya asili kwa ajili ya kuweza kudumisha uwezo wao wa kitandani. Inadaiwa kuwa wanaume hao wakienda raundi moja hawawezi kurudia ile ya pili na hata wenye uwezo wa kurudia huwachukuwa muda mrefu sana, kama raundi ya kwanza iliisha saa tano usiku basi ya pili inaweza kurudiwa saa 12 asubuhi.

Tatizo kubwa ni kwamba wanaume wengi huwaandaa wake zao kwa muda mchache au hawajui kabisa jinsi ya kuwaandaa wake zao kwa ajili ya tendo la ndoa, wengi wanaparamia kama vile wanavyoparamia baiskeli, pia wanaume hao hawajui kufuata hatua za kujizuia kuweza kuwahi 'kufikisha mzigo melini' na hatimaye kuwafanya wawe wa kwanza kufikisha mzigo na kushindwa kuwaridhisha wake zao.

Inadaiwa kuwa tatizo hili linatokana na wanaume wengi kuacha kula vyakula vya asili vinavyoweza kuwafanya wawe na nguvu muda wote, pia inadaiwa kuwa wanaume wengi hawafanyi mazoezi ambayo yangeweza kuwafanya wawe vizuri kitandani.

Wengi wa wanaume wanapokwenda kwa wataalam wa madawa ya asili wanakuwa hawajui tatizo lao hasa, ndio maana wapo wanaume wanaokimbilia kwenda kukuza ukubwa wa maumbile kwa kuamini kuwa majogoo yao yakiwa makubwa wanaweza kuwaridhisha wake zao, kitu ambacho ni uongo mkubwa.

Hawajui kuwa hata kama siraha zao ni ndogo wanaweza kuwafanya wake zao watosheke kwa kuwafanyia utundu na kujua jinsi ya kujizuia ili wasiwahishe mzigo bandarini kabla ya wake zao, wanashindwa kuwafanya wake zao wawahi kufikisha mzigo kabla yao.

Tatizo hili limesababisha wanaume wengi kudharauliwa na wake zao hata ndoa nyingi kuvunjika.

Simba, habari kaka. Siku hizi versus zamani?? Siku hizi tendo la ndoa sio burudani pekee iliyopo kama ilivyokuwa zamani. Halafu pia siku hizi watu wako busy na maisha in many fronts, wanahitaji muda wa kutosha kulala/kupumzika ili kujiandaa kuikabili kesho. Kugaragazana usiku kucha huo ni ukale and one-sided, sidhani kama wanawake wanahitaji mitikasi ya usiku kucha siku zote. Mara nyingi wanaofanya hivi ni wale ambao ama hawajaoa au hawana wapenzi wa kudumu, yaani wale wanaokuwa na vipindi virefu vya ukwale.
 
majibu mepesi kwa maswali magumu.......................hivi raundi moja kwa kutwa haikutoshi wewe Kaunga?............kwa wiki unahitaji mara ngapi na mikupuo mingapi?...........................nifahamuvyo one trip per session does fine......for four to five days a week......................tatizo hapa ni trade off between quality versus quantity.........................and you can not have both.....................

Asante sana.
Mara nyingi wanao taka magoli mengi ni wale ambao
wanakua hawako kwenye mahusiano kwa mda mrefu,...wameangalia sana porn
sasa wana taka ku fanyia mazoezi.

Msituue jamani,goli moja tu latosha.
 
Uwepo wa dawa za kuongeza nguvu sio ushahihi wa tatizo kwasababu kuwepo kwa dawa za kuongeza makalio haina maana wanawake wengi makalio yao ni mabaya au madogo siku hizi, bali ni maendeleo ya sayansi na technologia tu.

Are you serious bro?
 
Simba, habari kaka. Siku hizi versus zamani?? Siku hizi tendo la ndoa sio burudani pekee iliyopo kama ilivyokuwa zamani. Halafu pia siku hizi watu wako busy na maisha in many fronts, wanahitaji muda wa kutosha kulala/kupumzika ili kujiandaa kuikabili kesho. Kugaragazana usiku kucha huo ni ukale and one-sided, sidhani kama wanawake wanahitaji mitikasi ya usiku kucha siku zote. Mara nyingi wanaofanya hivi ni wale ambao ama hawajaoa au hawana wapenzi wa kudumu, yaani wale wanaokuwa na vipindi virefu vya ukwale.

You are genius bro.....
 
mmmh hv kimoja kinaweza kuwa cha ukweli kweli?

kwanini lisiwe la ukweli? Suala hapo ni aina ya dozi. Hapo bao moja linakwenda saa zima. Mkija kumaliza hilo bao, si mwanamke wala si mwanaume atakuwa na ubavu wa kurudia. Katika muda huo mmke anaweza kufika kileleni hata mara mbili. Nataka kukuambia baada ya hiyo game mmke hatamani hata kuguswa. Wakati huo mme atakuwa anasikilizia maumivu ya korodani. Msione ajabu. Haya mambo yanawezekana.
 
Jamani hata ugumu wa maisha nao unachangia. Ili ule vizuri ni lazima uwe na pesa, ili uishi kwa furaha ni lazima uwe fit kiuchumi. Wanandoa wengi wakifika kitandani kila mtu anafikiria kesho itakuwaje? Hivyo concetration kwenye tendo la ndoa inapungua.
 
kwanini lisiwe la ukweli? Suala hapo ni aina ya dozi. Hapo bao moja linakwenda saa zima. Mkija kumaliza hilo bao, si mwanamke wala si mwanaume atakuwa na ubavu wa kurudia. Katika muda huo mmke anaweza kufika kileleni hata mara mbili

hii imekaa vizuri; yeye anapata multiple 'O' , wewe unapunguza stress kidogo na ku-conserve energy for other tasks.... siyo unapiga goli tano mpaka unatoa upepo kama ndiyo kwanza umebalehe...
 
hii imekaa vizuri; yeye anapata multiple 'O' , wewe unapunguza stress kidogo na ku-conserve ernegy for other tasks.... siyo unapiga goli tano mpaka unatoa upepo kama ndiyo kwanza umebalehe...

hahaha,ume nichekesha kweli kweli
 
Wanaume wengi ni wabinafsi. wao wanapenda tu kufika kule ... cha mlima kilimanjaro hawawajali wenzi wao. kwa upande mwingine kazi nyingi wanazofanay mchana kutwa bila kupumzika msongo wa mawazo na vitu kama hivyo! Cha muhimu relax baada ya kazi, zungumza na mwenzi wako kama vile hakuna shida duniani. nakumbuka ule wimbo "Naweka shida chini nanyanyua mikono juu banjuka tuuuu" kwani shida zipo maisha ni magumu ila ikifika upande huo mjaribu jaman kuturidhisha cos na sisi ni viumbe twawahitaji. Ila ukijidai umechoka kla cku mwishowe mkeo anapata kasmall house utamlaumu nani. Pia vyakula vya siku hizi mf. kiepe cjui zege kila cku unafikiri utapata nguvu, mwanaue unashinda kwa coca na karanga unadhani utapata nguvu za kula chakula cha usiku. Chakula dona bwana nguvu ka simba eeeeeeh bwana !!!!!!

geswho,like like like this coment!ebana e coca na karanga,umesahau mabarobaro wanapiga kiepe mshkak kutwa na maj glas moja af anaingia mzgon..anaishia kutema tui la tatu tu..hahah
 
wamepungukiwa nguvu au mitala imezidi? Kabla hajaja kwako ameshapitia wa 3 na wote kawaachia vi3 vi3 vya moto kwanin akija kwako asilale tu baada ya kamoja tu? Na we si wandoa ili kujikimu anaenda kwa dr kifimbo kupata mkuyati.
 
hivi kuridhika kwa mwanamke kukoje? Wanawake wenyewe ndio wanaosababisha hili jambo maana likimtokea mwanaume wanaanza kumlaumu na hivyo kupelekea mwanaume kushindwa kujiamini. Tendo la ndoa ni pande zote mbili kwa mwanamke na mwanaume.
Wanataka kulidhishwa tu bali hataki kushiriki ili huyu mwanaume amridhishe. Mwanamke unakuta analala kama gogo huku emejificha uso eti anaona aibu, ukimwambia chezea machine anaanza kuchekacheka halafu akiishika anaanza kusema eti mbona kadogo. Maswali gani ya kipuuzi kama hayo kwa mwanandoa wako.

ha ha ha
 
Back
Top Bottom