Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,341
- 51,907
Kwema wakuu!
Kama swali linavyoeleza.
Kwa upande wangu naona sisi wanaume ndio mabingwa wa kuharibia wanawake maisha. Kwenye wanawake kumi basi tisa wameharibiwa maisha na wanaume.
1. Kutia mimba na kutelekeza.
2. Kuwafanya tegemezi na kuzima ndoto zao. Hii inawafanya wanawake kuwa watumwa na bendera fuatana upepo.
3. Kuwanyanyasa kihisia kwa kuoa Wanawake wengi.
Mambo hayo matatu yameharibu maisha ya wanawake wengi Mno. Na yote mhusika ni mwanaume.
Wanawake wengi maisha yao yameharibiwa na wanaume kwa kuwapa imani na hisia wanaume wabinafsi.
Ingawaje wanawake wengi ni wabinafsi lakini uchunguzi wangu unaonyesha asilimia kubwa ya wanawake mioyo yao hugeuka na kuwa mibaya baada ya kuumizwa na wanaume wao wa awali.
Kwa maoni yako unafikiri nani kati ya mwanaume na mwanamke anayeharibu maisha ya mwenzake?
Kama swali linavyoeleza.
Kwa upande wangu naona sisi wanaume ndio mabingwa wa kuharibia wanawake maisha. Kwenye wanawake kumi basi tisa wameharibiwa maisha na wanaume.
1. Kutia mimba na kutelekeza.
2. Kuwafanya tegemezi na kuzima ndoto zao. Hii inawafanya wanawake kuwa watumwa na bendera fuatana upepo.
3. Kuwanyanyasa kihisia kwa kuoa Wanawake wengi.
Mambo hayo matatu yameharibu maisha ya wanawake wengi Mno. Na yote mhusika ni mwanaume.
Wanawake wengi maisha yao yameharibiwa na wanaume kwa kuwapa imani na hisia wanaume wabinafsi.
Ingawaje wanawake wengi ni wabinafsi lakini uchunguzi wangu unaonyesha asilimia kubwa ya wanawake mioyo yao hugeuka na kuwa mibaya baada ya kuumizwa na wanaume wao wa awali.
Kwa maoni yako unafikiri nani kati ya mwanaume na mwanamke anayeharibu maisha ya mwenzake?