Kwanini wanaume wengi wachovu kitandani?

Ivi na ile misururu ya wadada wakienda kwa waganga wakitaka wapendwe na waume zao?
Mnakumbuka jamaa aligeuzwa Chatu kisa dawa ya mapenzi!
 
Mapenz maelewano,
Raha ya penz mawacliano,
Raha ya penz u2ndu so kwa mbaba 2 pia kwa mmama,
Raha ya penz mauno pande zote mbili,
Kabla ya mechi iwepo nguvu ya kutosha hapa namansha msosi wa ukweli..
Mwanamke ucpoteze hak yako ktka mapenz jishughulishe, hutofkir kukosa penz lake...
Mbaba sahau kuhusu super shaft...
Dawa ni msosi wa nguvu,maji ya kutosha.,mazoez hata kutembea km 2 kwa cku kwenda na kurudi ni bonge la zoezi...
Kama mwenzio ana tatzo hilo, kaen chn mzungumze,mjue tatzo nini,sio lawama ha2tafka..
 
Tatizo kweli lipo lakini linasababishwa na mambo mengi mfano vyakula, magonjwa, na wanawake kutojituma!
 
hivi kuridhika kwa mwanamke kukoje? Wanawake wenyewe ndio wanaosababisha hili jambo maana likimtokea mwanaume wanaanza kumlaumu na hivyo kupelekea mwanaume kushindwa kujiamini. Tendo la ndoa ni pande zote mbili kwa mwanamke na mwanaume.
Wanataka kulidhishwa tu bali hataki kushiriki ili huyu mwanaume amridhishe. Mwanamke unakuta analala kama gogo huku emejificha uso eti anaona aibu, ukimwambia chezea machine anaanza kuchekacheka halafu akiishika anaanza kusema eti mbona kadogo. Maswali gani ya kipuuzi kama hayo kwa mwanandoa wako.


Hahahahahahhahahhaahaaaaaaaaaa......................lol........:smash::smash::smash:
 
Wanawake mmezidi kulalamika na nyie, Mara Pesa hatuna, Sasa hii nini mnaleta? Toeni ushirikiano kamili kila kitu kitajua sawa tuu!
 
Kuna kitu kinanishangaza sana, siku hizi wanaume wengi wamekuwa wakifurika kwa wataalam wa madawa ya asili kwa ajili ya kuweza kudumisha uwezo wao wa kitandani. Inadaiwa kuwa wanaume hao wakienda raundi moja hawawezi kurudia ile ya pili na hata wenye uwezo wa kurudia huwachukuwa muda mrefu sana, kama raundi ya kwanza iliisha saa tano usiku basi ya pili inaweza kurudiwa saa 12 asubuhi.

Tatizo kubwa ni kwamba wanaume wengi huwaandaa wake zao kwa muda mchache au hawajui kabisa jinsi ya kuwaandaa wake zao kwa ajili ya tendo la ndoa, wengi wanaparamia kama vile wanavyoparamia baiskeli, pia wanaume hao hawajui kufuata hatua za kujizuia kuweza kuwahi 'kufikisha mzigo melini' na hatimaye kuwafanya wawe wa kwanza kufikisha mzigo na kushindwa kuwaridhisha wake zao.

Inadaiwa kuwa tatizo hili linatokana na wanaume wengi kuacha kula vyakula vya asili vinavyoweza kuwafanya wawe na nguvu muda wote, pia inadaiwa kuwa wanaume wengi hawafanyi mazoezi ambayo yangeweza kuwafanya wawe vizuri kitandani.

Wengi wa wanaume wanapokwenda kwa wataalam wa madawa ya asili wanakuwa hawajui tatizo lao hasa, ndio maana wapo wanaume wanaokimbilia kwenda kukuza ukubwa wa maumbile kwa kuamini kuwa majogoo yao yakiwa makubwa wanaweza kuwaridhisha wake zao, kitu ambacho ni uongo mkubwa.

Hawajui kuwa hata kama siraha zao ni ndogo wanaweza kuwafanya wake zao watosheke kwa kuwafanyia utundu na kujua jinsi ya kujizuia ili wasiwahishe mzigo bandarini kabla ya wake zao, wanashindwa kuwafanya wake zao wawahi kufikisha mzigo kabla yao.

Tatizo hili limesababisha wanaume wengi kudharauliwa na wake zao hata ndoa nyingi kuvunjika.

Hao wanaume wachovu including na wewe?(Kama ni mwanaume)
 
chipsi kuku hizo.......

hawali vyakula bora.........

bia na nyama choma kwa sana...

mazoezi F!!!!

nguvu zitatoka wapi???????
 
Duuuuuuuuuuuuuuuuuuu ndiyo maana wanawake wanauza pale Afrika sana maana mumw wake hamtoshelezi.
 
Labda tu kwa kuongezea kuna magonjwa kama ya kisukari, na pia vitu kama unywaji pombe kupita kiasi madawa ya kulevya, pressure, na kutojiamini huchangia kwa kiasi kikubwa.

Ni vzr sisi wanaume kuwa makini ni hii hali otherwise tutajikuta tunawalaumu wenzetu bure. Twaweza kupokea hoja hii kama changamoto!
Neno!
wawili wanahusika.Ila wakaka mjitahidi kupokea criticism na kuzifanyia kazi pale mnapoona zinawahusu.
Halafu punguzeni mishemishe - mnabadilish amno wanawake.Ushajiuliza ni wanawake wangapi umewasugua kwa style tofauti tofauti? Mnajua hicho nacho kinasababisha kiwango kushuka? Hata machine hupumzishwa kufanyiwa service kila baada ya kilomita kadhaa.
 
Mapenz maelewano, Raha ya penz mawacliano, Raha ya penz u2ndu so kwa mbaba 2 pia kwa mmama, Raha ya penz mauno pande zote mbili, Kabla ya mechi iwepo nguvu ya kutosha hapa namansha msosi wa ukweli.. Mwanamke ucpoteze hak yako ktka mapenz jishughulishe, hutofkir kukosa penz lake... Mbaba sahau kuhusu super shaft... Dawa ni msosi wa nguvu,maji ya kutosha.,mazoez hata kutembea km 2 kwa cku kwenda na kurudi ni bonge la zoezi... Kama mwenzio ana tatzo hilo, kaen chn mzungumze,mjue tatzo nini,sio lawama ha2tafka..
eti bana utakuta wife anakubania mapaja kama nini, kiuno hakati?analala jama gogo, ukimpiga ki1 yatosha kesho unaenda nyumba ndogo unapopewa kisawasawa
 
Unaweza kupiga kimoja lakini kikawa cha ukweli...

you are right dude... wala huitaji kupiga migoli kibao; hicho hicho kimoja kikali mtu anasuuzika na roho yake; sana sana utaona anageuka upande wa pili na kulala usingizi mzito kama kapoteza fahamu vile
 
hivi kuridhika kwa mwanamke kukoje? Wanawake wenyewe ndio wanaosababisha hili jambo maana likimtokea mwanaume wanaanza kumlaumu na hivyo kupelekea mwanaume kushindwa kujiamini. Tendo la ndoa ni pande zote mbili kwa mwanamke na mwanaume.
Wanataka kulidhishwa tu bali hataki kushiriki ili huyu mwanaume amridhishe. Mwanamke unakuta analala kama gogo huku emejificha uso eti anaona aibu, ukimwambia chezea machine anaanza kuchekacheka halafu akiishika anaanza kusema eti mbona kadogo. Maswali gani ya kipuuzi kama hayo kwa mwanandoa wako.

Hahaha,duh we nomaa.
Akiuliza mbona kadogo unalianzishia hapo hapo.
Kubwa umeiona wapi?
 
Unapokuwa uwanjani siku zote ni lazima uusome kwanza mchezo, baada ya hapo kama mchezo unahitaji kupiga sana chenga basi pisa sana ili uweze kumchosha mpinzani wako, ukiona ameshachoka basi wewe angalia kipa amekaaje kisha achia mashine, kwa kufanya hivyo hata mashabiki nao watakuona wewe ni kiboko. Sasa ukitaka kuanza tu mechi na kukimbilia golini kwenda kufunga hata mashabiki nao watajua tu kumbe leo hakuna cha maana. Chenga kwanza magoli baadae.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom