Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,996
Unaweza kujikuta umeulizwa swali jepesi tu ambalo halihitaji majibu mengi wala ya kina.
"Mbona umechelewa" swali hilo.
Jibu lake linatakiwa liwe fupi na lisilo na mbwembwe. lakini hapana, mtu ataanza stori na katika hiyo stori atajikuta amefikia mahali pa kuanza kusema mambo ambayo hata hakuulizwa.
"Nikakutana na Jennifer, nilikuambia kuhusu Jennifer"..
Mara anaanza kujichongea.
Kwanini wanaume hatujui wakati wa kukaa kimya na kutumia haki yako ya "kutojichongea"?
Ukiona umeulizwa swali limekaa kimtego sema yafuatayo:
a. "I plead the Fifth" (ni haki ya kutojichongea kwa mujibu wa katiba ya US.. inadaiwa inatumika pote duniani! LOL) Haki hii ikishaitwa kina dada hamtakiwi kuendelea kulazimisha kupewa majibu.
b. Mwambie unatumia haki ya "Miranda" (nayo inadaiwa inatumika pote duniani) kuwa hutaki kusema kitu ambacho kitatumiwa dhidi yako chumbani a.k.a kunyimwa unyumba kwa sababu ya maneno yako.
c. Cheka, halafu mbusu.. likwepe swali kwa muda (kumbuka atakuamsha usiku wa manane kutaka majibu - you better have some).
Vinginevyo, usijichongee isipokuwa kama uko tayari kununiwa the rest of the day na kukumbusha jambo ambalo ulilisema ambalo huna hata chembe ya kumbukumbu nalo!!
Ni ushauri tu.
"Mbona umechelewa" swali hilo.
Jibu lake linatakiwa liwe fupi na lisilo na mbwembwe. lakini hapana, mtu ataanza stori na katika hiyo stori atajikuta amefikia mahali pa kuanza kusema mambo ambayo hata hakuulizwa.
"Nikakutana na Jennifer, nilikuambia kuhusu Jennifer"..
Mara anaanza kujichongea.
Kwanini wanaume hatujui wakati wa kukaa kimya na kutumia haki yako ya "kutojichongea"?
Ukiona umeulizwa swali limekaa kimtego sema yafuatayo:
a. "I plead the Fifth" (ni haki ya kutojichongea kwa mujibu wa katiba ya US.. inadaiwa inatumika pote duniani! LOL) Haki hii ikishaitwa kina dada hamtakiwi kuendelea kulazimisha kupewa majibu.
b. Mwambie unatumia haki ya "Miranda" (nayo inadaiwa inatumika pote duniani) kuwa hutaki kusema kitu ambacho kitatumiwa dhidi yako chumbani a.k.a kunyimwa unyumba kwa sababu ya maneno yako.
c. Cheka, halafu mbusu.. likwepe swali kwa muda (kumbuka atakuamsha usiku wa manane kutaka majibu - you better have some).
Vinginevyo, usijichongee isipokuwa kama uko tayari kununiwa the rest of the day na kukumbusha jambo ambalo ulilisema ambalo huna hata chembe ya kumbukumbu nalo!!
Ni ushauri tu.