Kwanini Mrisho Mpoto havai viatu?

Nafikiri ni uamuzi wke kama yye mwenyewe anavyodai ni asili,lakini huo si utaratibu mzuri ambao mungu anauridhia
 
Mimi ni mfuasi mkubwa wa mrishi mpoto na msanii mkubwa hapa Tanzania na Afrika kwa ujumla..napenda kujua kwanini huyu jamaa hapendi kuvaa viatu, naomba anayejua siri ya mafanikio yake aniambie.
 
Kweli kuna vitu ni maamuzi binafsi ila is stupid kutokuvaa viatu sababu mjini hatari za magonjwa ni nyingi viwembe vimetupwa,public toilet chafu,magonjwa ya muambukizo kibao.Japo ni maamuzi binafsi ila sio sahihi.
Hapana nadhani mkuu hujamwelewa huyu bwana,Elewa tu kuwa nyayo zake zina sifa zifuatazo;
  1. Wadudu proof
  2. Ungua proof
  3. Mbigili proof
  4. Visiki proof
  5. Mawe proof
  6. kijikwaa proof
  7. kukanyagwa na watu proof
 
Prado alilohongwa ataendesha peku? Wangempa land rover 109 au 110
 
Mimi ni mfuasi mkubwa wa mrishi mpoto na msanii mkubwa hapa Tanzania na Afrika kwa ujumla..napenda kujua kwanini huyu jamaa hapendi kuvaa viatu, naomba anayejua siri ya mafanikio yake aniambie.
mkuu unaitwa nani kwa jina la kisanii?

c.c Dinazarde nifah
 
Last edited by a moderator:
unaweza kudhani kuwa mpoto ndo alivyo,but ukweli ni kwamba mpoto anavaa nguo na viatu kawaida tu kama wasanii wengine na ukimwona kavaa vile anavyovaaga basi yupo kazini,ila huwa havai wala kutembbea peku muda wote kama mnavyomwona
 
Hapana nadhani mkuu hujamwelewa huyu bwana,Elewa tu kuwa nyayo zake zina sifa zifuatazo;
  1. Wadudu proof
  2. Ungua proof
  3. Mbigili proof
  4. Visiki proof
  5. Mawe proof
  6. kijikwaa proof
  7. kukanyagwa na watu proof

kwikwikwi lol (..) proof
 
Kuna sehemu huwezi kuingia au kupita bila viatu, hasa mvua zikinyesha.
Sijui kwa mwenzetu inakuwaje
 
Mimi ni mfuasi mkubwa wa mrishi mpoto na msanii mkubwa hapa Tanzania na Afrika kwa ujumla..napenda kujua kwanini huyu jamaa hapendi kuvaa viatu, naomba anayejua siri ya mafanikio yake aniambie.
Ana maradhi ya ndunda.
 
Back
Top Bottom