Masharti ya mganga wake.Jana nilianzisha uzi kuhusu tabia za Mrisho Mpoto kutembea peku peku na nilitoa mtazamo wangu kuhusu tabia hii, miongoni mwa mitazamo yangu ni suala la ushirikina na suala la kutozingatia unadhifu na hatari inayoweza kutokea kwa kutembea peku ikiwemo kupata magonjwa ya kama vile fangasi.
Lakini kwa maajabu kabisa moderators waliufuta ule uzi.Sasa nimeuleta tena kwa mtazamo tofauti kidogo.
Nyinyi mnaonaje kuhusu uzima wa kiakili juu ya huyu ndugu yetu, je ni kweli anatembea peku kama ishara ya kutunza na kuthamini tamaduni zetu za kiafrika kama yeye anavyodai au lah?View attachment 1037477View attachment 1037478View attachment 1037479
Na lisura lake bayaaaaaa ,,jana linajipendekeza kwa Jk hiliii zombie tu
by barafuyamoto;
Havai kwenye video zake tuu na kwenye baadhi ya matukio anayokuwapo. Ukikutana nae kariakoo utamkuta na viatu.
Mkuu barafuyamoto Usiseme hivyo, huyu pimbi nimemshuhudia kama mara mbili hiviii Dodoma (st John's university) akiwa anaenda MSALANI peku peku bila viatu!!, vyoo vyenyewe vya chuooo????? Huyu jamaa ni bogus kabsaa!
Kwa sababu anajifananisha na Sokwe..
Anamuiga msanii kutoka jamaica anaitwa Mutabaruka(Allan Hope)
huyo anapekua tu popote paleKuna sehemu huwezi kuingia au kupita bila viatu, hasa mvua zikinyesha.
Sijui kwa mwenzetu inakuwaje
Hivi Mpoto atakuwa mkubwa kwa Ruge au Ruge alikuwa mkubwa kwake?Eti ndo kinachombrand,Ruge ndo alimshauri hivyo. Ila brand zingine zinipite tu. Kamwe siwezi tembea peku peku.
Hebu kamchunguze vizuri huenda hata chupi havai
Sijui,Sijui historia mpoto,hata nyimbo zake sizipendi. Atakuwa mkubwa kwa Ruge,eti hata kununua gari alishauriwa na Ruge. Aliambiwa anunue kwanza shamba baadae ndo anunue gari .Nilimsikia akisema hayo clouds fm. Nilimwona zoba tu. Uzima wote huo hata hatua za maisha hadi ushauriwe na Ruge.Hivi Mpoto atakuwa mkubwa kwa Ruge au Ruge alikuwa mkubwa kwake?
Ila jamaa ni bomu sana kile kichwa alipogundua hakina akili akakipa mzigo wa nywele.
Ila jamaa kadri siku zinavyosonga naendelea kuona mapungufu yake yasiyo ya kawaida.Sijui,Sijui historia mpoto,hata nyimbo zake sizipendi. Atakuwa mkubwa kwa Ruge,eti hata kununua gari alishauriwa na Ruge. Aliambiwa anunue kwanza shamba baadae ndo anunue gari .Nilimsikia akisema hayo clouds fm. Nilimwona zoba tu. Uzima wote huo hata hatua za maisha hadi ushauriwe na Ruge.
Mkubwa hayo Maamuzi binafsi sana Mbona huwaambii hawa masharobaro wasinyoe viduku.....kikubwa misimamo yake anataka kufeel nature...,Mbona mapadre wakapuchini Moja ya sheria zao ni kutovaa viatu bana..mi naheshimu maamuzi yake
Misimamo mingine mi nadhani sio mizuri.
Huyu jamaa mwenye jina kubwa ndani na nje ya nchi ni kwanini havai viatu?
Anaingiaje kwenye public toilets?
Mimi nadhani its high time ashauriwe kuvaa viatu au hata open shoes.