Richard Mlangi
JF-Expert Member
- Sep 10, 2012
- 380
- 193
Misimamo mingine mi nadhani sio mizuri.
Huyu jamaa mwenye jina kubwa ndani na nje ya nchi ni kwanini havai viatu?
Anaingiaje kwenye public toilets?
Mimi nadhani its high time ashauriwe kuvaa viatu au hata open shoes.
Huyu jamaa mwenye jina kubwa ndani na nje ya nchi ni kwanini havai viatu?
Anaingiaje kwenye public toilets?
Mimi nadhani its high time ashauriwe kuvaa viatu au hata open shoes.