Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,916
- 11,251
Masharti hayo si bure eti mambo ya asili
Na lisura lake bayaaaaaa ,,jana linajipendekeza kwa Jk hiliii zombie tu
Ni leo tu kwa ajili ya umuhimu wa KATIBA YA SITAamesahau nyumbani,nafikili Sita kesho mkae tena mzungumzie haki ya mtu asiye na kiatu kama Mboto.Posho atalipa KOMBA na shibuda
Labda wizara ya afya wakimpa tenda ya kuhamasisha mapambano ya kupiga vita funza, ndio atabadili mawazo.
by barafuyamoto;
Havai kwenye video zake tuu na kwenye baadhi ya matukio anayokuwapo. Ukikutana nae kariakoo utamkuta na viatu.
Mkuu barafuyamoto Usiseme hivyo, huyu pimbi nimemshuhudia kama mara mbili hiviii Dodoma (st John's university) akiwa anaenda MSALANI peku peku bila viatu!!, vyoo vyenyewe vya chuooo????? Huyu jamaa ni bogus kabsaa!