Ashampoo burning
JF-Expert Member
- May 12, 2023
- 420
- 1,581
Basi boss ashampoo huwa napenda kuandika kama diary mambo ambayo siwezi kumsimulia mtu raha ya jamii forum ni unakuwa unknow mara nyingi naandika nikiwa usiku nikiwa natafakari kwa hisia kali
Hapo naandika pembeni kwenye music system yangu chumbani kenny g anapiga tarumbeta lake taratibu
Basi mwaka 2005 nikiwa shule msingi kama nilivyo waambia huko nyuma tulihamia sehemu panaitwa mafinga mwaka 1996 kutoka dsm na shule nakaanzia huko huko ...mwaka 2003 kama sikosei tulikuwa tunakaa myumba za national housing nikiwa darasa 3 ...basi jiran yetu alikuwa pia mfanyakazi wa halmashauri idara ya mali asili with 3 kids mmoja wa kike tumwite jina pinky(sio jina halisi)
Tukiwa tunacheza kibaba pinky siku nikaona mbususu ya pinky kwao pale kota alinionesha yeye mbususu yake maksudi ...ghafla akaona nakimbia mbio kumbe nilikuwa nimetaili/jando week ile so ilivyosimama nilisikia maumivu nikakambia kumbuka sikuwa na hisia na pinky sababu nilikuwa mtoto wa dar 3 nae mtoto wa la pili....hili tukio huwa nalikumbuka ila kwao walikuwa wana well off kidogo compare tu us
Basi tukajenga nyumba tukahama kota za national housing sikumuona pink tena kumbuka tunavyoondoka kuhama pale national house hata pink alikuwa akisoma kayumba kama mimi ile kayumba ilikuwa inaitwa mkombwe primary . Na mimi nikisoma kayumba ya wambi
Baada ya kuhama kota sikumuona tena pink kwa miaka 5...basi siku nikiwa niko naandesha kama kuchezea baiskel mfupa wa majani ya ng'ombe basi nikaaenda na lile baiskel mbali sana hadi maeneo ya mafinga kwa mkuu wa wa wilaya huko hapo niko la saba
Wakati narudi namuona mtoto kavaa nguo za shule ya kishua pale mafinga inaitwa southern nikasema hee kazuri kasichana hapo nilikuwa nimepaki baiskel natengeneza mnyororo wee kutazamaa vizuri ni pink ....huwez amini akaniangalia nikamwambia mambo akajibu asee kumbe ile miaka 5 alikuja kuwa mzuri mno we toka siku ile nilimpenda mno narudia sijawahi penda kama nilivyompenda pink toka ile meeting hapo mimi niko kayumba yeye shule ya ushuani
Toka siku hiyo ikawa namuwaza pink nikamsimulia mdogo wangu basi nikawa natembelea ile mitaa mida yao ya kutoka shule nimuone tu nikimuona hata siongei nae narudi home nafurahi sana ...nikamaliza la saba nikaenda boarding schools nje ya mji wa mafinga mixed school
Huko form 2 my marehemu mama yngu akaninunulia simu na line ya simu ambayo hadi leo naitumia nikafanya mishe kupata number ya pink maana alikuwa form 1 nikapata ya aunti yake piga nikasema nataka kuongea na pink we wakasema we muhuni unamtaka mtoto kesi kesi wakaja hadi home kumwambia mamdogo wangu sio mama wewe huyo mamdogo kimbelembele akanichukua hadi kwa kwa kina pink dukani eti nikaombe msamaha mixer kusema mimi mkorofi ...kiukweli naandika huku nasema sijawahi penda kama vile
Basi nikamaliza form 4 nikapata girl friend akiitwq blue(sio jina halisi) na alisoma ile shule ya kina pink .huyu blue tulikuwa sawa kidarasa sasa alikuwa anashangaa sana naulizia kwake habari za pink ....by that time pink anasoma morogoro shule moja nzuri siwezi itaja nayo kishua kidogo ipo kati ya dar na moro kama sikosei
Blue alikuwa mzuri afu famiy friend kwao wana hela babake doctor mifugo mama doctor mifugo basi matokeo yakatoka nikapiga division 1 mwaka 2010 nikachaguliwa kuja shule minak boyz ..blue akaenda sijui mbeya so tukaachana na blue ila mimi kichwani akili ni jinsi ya kumpata pink
Hatimae nikapata number ya pink rasmi nikamwambia how i feeel nikiwa form five we pink alikataa hivi unajua kata kata
Nikaingia six pink mtongoza wapi jamani hapo mimi wasichanana wengine wananipenda lakini wapi na date nao lakini mimi akili yangu ni pink mahusiano na wasichana wa jangwani sec kama yote ila akili kwa pink
Basi nikamaliza advance nikaingia chuo kikuu boom la chuo likanifanya nikanawili kuvaa nguo nzuri na hapo mnakumbuka niliwaambia nikiwa chuo mimi nilianza biashara so hela nikaanza kushika nikiwa na 20 years tu
Nikiwa field hapo mafinga kwenye ofisi moja ya serikali nikampiga pink tuonane akasema njoo home nikaenda hadi kwako piga story sana tukaanza kuwa cloz pink akaanza kunielewa na design nisingeharibu ningempata
Basi siku moja tukaonana jion kwa matembezi ya jioni basi tukatembea nae akaja home akamuona sister angu tukaenda hadi kwao alichoharibu pink siku hiyo alikuwa open sana kwangu maana alikuwa ashaanza kunielewa kwa mbali
Akanisimulia past relationships zake mixer aliwayi tembea na cousin wake pia wanafunzi wa chuo ambacho mamangu anafanya kazi chuo cha madaktar wewe siku hiyo nilishangaa nikahuzunika yaani nilimuona bitch wakat nilikuwa namuona malaika
Nikaaga naondoka nikarudi home asee nilimshushia matusi najuta nilikuwa na saikolojia ndogo sana ya mapenzi enzi nzile au sababu nilimpenda kiukweli ...basi pink alichukia na kunichukia hadi leo ananiona muhuni ...basi
Nikiwa chuo mwaka wa pili biashara kariakoo ikachanganya nikawa na madem kama wote ila still niliendelea kupenda pink...na pink alizidi kunichukia baaada ya yale matusi
Hapo nikiwa chuo naenda china narudi life good yaani nikamaliza chuo nakumbuka nikasema hebu nione kama pink anapenda hela au laaa nikamtumia laki mbili nikijua labda itamzuzua wapi asee akampiga mixer mikausho mikali inshort kwao hawana njaa kabisa
Nikamaliza chuo wakati huo pink anasomea medicine udaktar mkoa flan hapo najaribu kila mbinu lakini wapi pink ananiona muhuni tu tapeli
afu pink mwenyewe nikiangalia wanawake niliotembea nao mixer warwanda wamburu afu mimi mtu wa kupenda matako makubwa pink hata tako hana ila nilikuwa nashangaa nampenda nyie mapenzi uchawi sometimes
basi akamaliza udaktari 5 years siku nikamuona mlimani city tukaongea kidogo hapo mimi nikiwa na mahusiano yangu serious na mtu mwingine ila bado nampenda pink
Akaja akaolewa na kijamaa pharmacist so good family demu doctor jamaa pharmacist niliumia sana pink akapata na mtoto juu
Inshort japo now biashara zangu ziko hovyo ila kajamaa nimekazidi hela mbali kuna siku nilitest mitambo nikasema hebu nimtumie pink nauli ya ndege aje dar maana wako mikoa siwezi taja ila ni moja ya mkoa una udongo mwekundu afu hakuna maendeleo pink alinijibu huoni mi mke wa mtu niheshimu nikasema kweli hatingishiki angekubali ningetuma laki tano ila ndo hivyo
Inshort true story hii ya maisha imenifundisha sio kila kitu kwenye maisha utaweza kukipata .... pink nilimpenda after years nimekubali siwez kuwa nae ....
Now yupo na age 30 .nahisi so
Im 32 now ....nimeandika kama diary/kumbukumbu but open diary to public sitak ushauri wowote ule
Kama true love iliwahi pita kwangu basi ni mimi jinsi nilivyompenda pink wengine ilikuwa kamba tu ila ila maximum love ni pink...... kinachoniuma zaidi sijawahi kumla yaani bora hata ningeonja tu hahahahah ila basi bwana kiukweli nikiandika hivi huwa kama natoa sumu mwilini maana siwezi msimulia mtu so sehemu pekee ni hapa
Bye boss ashampoo kijana wa mjini
Hapo naandika pembeni kwenye music system yangu chumbani kenny g anapiga tarumbeta lake taratibu
Basi mwaka 2005 nikiwa shule msingi kama nilivyo waambia huko nyuma tulihamia sehemu panaitwa mafinga mwaka 1996 kutoka dsm na shule nakaanzia huko huko ...mwaka 2003 kama sikosei tulikuwa tunakaa myumba za national housing nikiwa darasa 3 ...basi jiran yetu alikuwa pia mfanyakazi wa halmashauri idara ya mali asili with 3 kids mmoja wa kike tumwite jina pinky(sio jina halisi)
Tukiwa tunacheza kibaba pinky siku nikaona mbususu ya pinky kwao pale kota alinionesha yeye mbususu yake maksudi ...ghafla akaona nakimbia mbio kumbe nilikuwa nimetaili/jando week ile so ilivyosimama nilisikia maumivu nikakambia kumbuka sikuwa na hisia na pinky sababu nilikuwa mtoto wa dar 3 nae mtoto wa la pili....hili tukio huwa nalikumbuka ila kwao walikuwa wana well off kidogo compare tu us
Basi tukajenga nyumba tukahama kota za national housing sikumuona pink tena kumbuka tunavyoondoka kuhama pale national house hata pink alikuwa akisoma kayumba kama mimi ile kayumba ilikuwa inaitwa mkombwe primary . Na mimi nikisoma kayumba ya wambi
Baada ya kuhama kota sikumuona tena pink kwa miaka 5...basi siku nikiwa niko naandesha kama kuchezea baiskel mfupa wa majani ya ng'ombe basi nikaaenda na lile baiskel mbali sana hadi maeneo ya mafinga kwa mkuu wa wa wilaya huko hapo niko la saba
Wakati narudi namuona mtoto kavaa nguo za shule ya kishua pale mafinga inaitwa southern nikasema hee kazuri kasichana hapo nilikuwa nimepaki baiskel natengeneza mnyororo wee kutazamaa vizuri ni pink ....huwez amini akaniangalia nikamwambia mambo akajibu asee kumbe ile miaka 5 alikuja kuwa mzuri mno we toka siku ile nilimpenda mno narudia sijawahi penda kama nilivyompenda pink toka ile meeting hapo mimi niko kayumba yeye shule ya ushuani
Toka siku hiyo ikawa namuwaza pink nikamsimulia mdogo wangu basi nikawa natembelea ile mitaa mida yao ya kutoka shule nimuone tu nikimuona hata siongei nae narudi home nafurahi sana ...nikamaliza la saba nikaenda boarding schools nje ya mji wa mafinga mixed school
Huko form 2 my marehemu mama yngu akaninunulia simu na line ya simu ambayo hadi leo naitumia nikafanya mishe kupata number ya pink maana alikuwa form 1 nikapata ya aunti yake piga nikasema nataka kuongea na pink we wakasema we muhuni unamtaka mtoto kesi kesi wakaja hadi home kumwambia mamdogo wangu sio mama wewe huyo mamdogo kimbelembele akanichukua hadi kwa kwa kina pink dukani eti nikaombe msamaha mixer kusema mimi mkorofi ...kiukweli naandika huku nasema sijawahi penda kama vile
Basi nikamaliza form 4 nikapata girl friend akiitwq blue(sio jina halisi) na alisoma ile shule ya kina pink .huyu blue tulikuwa sawa kidarasa sasa alikuwa anashangaa sana naulizia kwake habari za pink ....by that time pink anasoma morogoro shule moja nzuri siwezi itaja nayo kishua kidogo ipo kati ya dar na moro kama sikosei
Blue alikuwa mzuri afu famiy friend kwao wana hela babake doctor mifugo mama doctor mifugo basi matokeo yakatoka nikapiga division 1 mwaka 2010 nikachaguliwa kuja shule minak boyz ..blue akaenda sijui mbeya so tukaachana na blue ila mimi kichwani akili ni jinsi ya kumpata pink
Hatimae nikapata number ya pink rasmi nikamwambia how i feeel nikiwa form five we pink alikataa hivi unajua kata kata
Nikaingia six pink mtongoza wapi jamani hapo mimi wasichanana wengine wananipenda lakini wapi na date nao lakini mimi akili yangu ni pink mahusiano na wasichana wa jangwani sec kama yote ila akili kwa pink
Basi nikamaliza advance nikaingia chuo kikuu boom la chuo likanifanya nikanawili kuvaa nguo nzuri na hapo mnakumbuka niliwaambia nikiwa chuo mimi nilianza biashara so hela nikaanza kushika nikiwa na 20 years tu
Nikiwa field hapo mafinga kwenye ofisi moja ya serikali nikampiga pink tuonane akasema njoo home nikaenda hadi kwako piga story sana tukaanza kuwa cloz pink akaanza kunielewa na design nisingeharibu ningempata
Basi siku moja tukaonana jion kwa matembezi ya jioni basi tukatembea nae akaja home akamuona sister angu tukaenda hadi kwao alichoharibu pink siku hiyo alikuwa open sana kwangu maana alikuwa ashaanza kunielewa kwa mbali
Akanisimulia past relationships zake mixer aliwayi tembea na cousin wake pia wanafunzi wa chuo ambacho mamangu anafanya kazi chuo cha madaktar wewe siku hiyo nilishangaa nikahuzunika yaani nilimuona bitch wakat nilikuwa namuona malaika
Nikaaga naondoka nikarudi home asee nilimshushia matusi najuta nilikuwa na saikolojia ndogo sana ya mapenzi enzi nzile au sababu nilimpenda kiukweli ...basi pink alichukia na kunichukia hadi leo ananiona muhuni ...basi
Nikiwa chuo mwaka wa pili biashara kariakoo ikachanganya nikawa na madem kama wote ila still niliendelea kupenda pink...na pink alizidi kunichukia baaada ya yale matusi
Hapo nikiwa chuo naenda china narudi life good yaani nikamaliza chuo nakumbuka nikasema hebu nione kama pink anapenda hela au laaa nikamtumia laki mbili nikijua labda itamzuzua wapi asee akampiga mixer mikausho mikali inshort kwao hawana njaa kabisa
Nikamaliza chuo wakati huo pink anasomea medicine udaktar mkoa flan hapo najaribu kila mbinu lakini wapi pink ananiona muhuni tu tapeli
afu pink mwenyewe nikiangalia wanawake niliotembea nao mixer warwanda wamburu afu mimi mtu wa kupenda matako makubwa pink hata tako hana ila nilikuwa nashangaa nampenda nyie mapenzi uchawi sometimes
basi akamaliza udaktari 5 years siku nikamuona mlimani city tukaongea kidogo hapo mimi nikiwa na mahusiano yangu serious na mtu mwingine ila bado nampenda pink
Akaja akaolewa na kijamaa pharmacist so good family demu doctor jamaa pharmacist niliumia sana pink akapata na mtoto juu
Inshort japo now biashara zangu ziko hovyo ila kajamaa nimekazidi hela mbali kuna siku nilitest mitambo nikasema hebu nimtumie pink nauli ya ndege aje dar maana wako mikoa siwezi taja ila ni moja ya mkoa una udongo mwekundu afu hakuna maendeleo pink alinijibu huoni mi mke wa mtu niheshimu nikasema kweli hatingishiki angekubali ningetuma laki tano ila ndo hivyo
Inshort true story hii ya maisha imenifundisha sio kila kitu kwenye maisha utaweza kukipata .... pink nilimpenda after years nimekubali siwez kuwa nae ....
Now yupo na age 30 .nahisi so
Im 32 now ....nimeandika kama diary/kumbukumbu but open diary to public sitak ushauri wowote ule
Kama true love iliwahi pita kwangu basi ni mimi jinsi nilivyompenda pink wengine ilikuwa kamba tu ila ila maximum love ni pink...... kinachoniuma zaidi sijawahi kumla yaani bora hata ningeonja tu hahahahah ila basi bwana kiukweli nikiandika hivi huwa kama natoa sumu mwilini maana siwezi msimulia mtu so sehemu pekee ni hapa
Bye boss ashampoo kijana wa mjini