Kwanini hewa ilitoka nje kuingia ndani ya hili tenki?

Mpigadili Tz

JF-Expert Member
May 4, 2015
1,054
1,886
Habari wakuu... hili jambo nataka kujua kisayansi limekaaje, ipo hivi katika Magari yanayobeba Mafuta kama Kerosene (IK) katika lile Tank juu kuna mifuniko miwili mmoja mkubwa na wa pili mdogo.

Sasa ni hivi kuna siku Mafuta wakati yanatakiwa kushushwa niliambiwa nifungulie Koki nikafungua... sasa wakati yanashuka nikapanda juu ya Tank nikasikia mvumo wa upepo kama unataka kutoka nje nikamuuliza Dereva ni nini hiki akajibu fungua mfuniko mmoja nikafungua...

Ikaingia hewa katika Tank kwa kasi sana, swali langu ni hili nilitegemea hewa itoke katika Tank kwenda nje kupitia lile tundu dogo ambalo nililifungua lakini mbona hewa ilikua inatoka nje inaingia ndani ya Tank wakati yanashushwa yale mafuta????
 
Gari za sasa hivi mfano hizi tanker mpya zinakua na valve za upepo zipo nje zinaongeza kasi ya kujaza upepo ndani ya tank ili mafuta yasukumwe yashuke kwa kasi sana ndo maana unasikia muungurumo ukishusha mafuta huku umefunga mfuniko unaeza sababisha mlipuko kwa sababu ile compact Force ni Kubwa lakn ucjal kuna wajuzi zaid watakuja ELIMU NI BAHARI
 
Gari za sasa hivi mfano hizi tanker mpya zinakua na valve za upepo zipo nje zinaongeza kasi ya kujaza upepo ndani ya tank ili mafuta yasukumwe yashuke kwa kasi sana ndo maana unasikia muungurumo ukishusha mafuta huku umefunga mfuniko unaeza sababisha mlipuko kwa sababu ile compact Force ni Kubwa lakn ucjal kuna wajuzi zaid watakuja ELIMU NI BAHARI
Naamini hilo sababu vilishushwa vyumba vitatu kwa pamoja lakini viliisha haraka sana kama zilikua lita 500 tu aseeeee.. ila acha wajuzi watujuze zaidi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom