Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 56
Dr.
Unaongea siasa nyiiiiiiiiingi, lakini sikushangai kwa sababu hiyo ndio kazi uliyopewa na CHADEMA na umeilia kiapo.
Ushaanza kashfa kama kawaida yako..... grrrrrr
Nyinyi CHADEMA kila kukicha mnakandia kila jambo linalofanywa na CCM badala ya kuangalia nini cha kujifunza kama unavyosema mwenyewe hapa.
Kujifunza toka kwa ccm walioiba na kufilisi nchi?
CCM wameanza utaratibu wa kufungua matawi nje ya nchi, msaidizi wako Zitto Kabwe ameita hatua hiyo kuwa ni upuuzi.Hivi nyinyi mnaoingia bungeni kushiriki katika maamuzi ya taifa zima mnashindwa kutathmini kiasi gani CHADEMA inaweza kuchangiwa na wanachama wa nje ya nchi iwapo mtafungua matawi??? Ukifungua tawi Kigoma la wanachama 50 na lingine Houston la wanachama 50 unadhani kiuchumi mchango wa wanachama hawa ni sawa???
Kufungua matawi ya vyama nje ya nchi sio suluhisho la matatizo ya vyama Tanzania. Watanzania walioko nje wanaweza kuchangia bila hata kuwa na wanachama kwenye matawi hayo. Kwa taarifa yako watanzania wengi hapa US ambako hakuna udaku na upuuzi wa matawi ya ccm wanachangia vyama vya siasa Tanzania kuliko huko india na UK kwenye usanii wa matawi ya vyama na ulaji.
Ukweli ambao hutaki kuukubali ni kwamba Mbowe hapotezi chochote kwa kutoa pesa kwa CHADEMA na hiyo ndio inampa kiburi cha kuchagua nani wa kufanya naye kazi.Ndio maana anakodisha helkopta kumbe pesa ya kadi za wanachama hamna!
Wewe umeyajua vipi haya, nani asiyepoteza pesa akizitumia... what a damn excuse! nilidhani mjadala hapa ni wa nia ya kuendeleza kumbe wewe ni unazi tu unaleta.
Nakupa siri moja, kwa watanzani walio nje ya nchi upinzani in general ni more popular than the ruling CCM.Iwapo mtaendelea na ushamba wa kukandia kila kinachofanywea na CCM mtaendelea kuitwa upinzani mpaka wewe utastaafu.
Dr Slaa, lugha chafu kama hizi ni kawaida kwa huyu zemarcopolo kwa hiyo zichukulie jinsi zilivyo.