Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,916
- 11,249
Africa hamna democracy ni maigizo tu ili wapate msaada na walilazimishwa na conditions za structural adjustments program Ku adopt ili kupata msaaada na mikopo. Yan upinzani ushindane na ccm wanaotumia rasilimali za nchi China mfumo huo umefanya kazi kwa sababu ya vision na kuacha u komunist na kuingiza capitalist ila kwetu kuendelea ndoto no trasparency kwenye utendaji wakuu wa sector muhimu wote makada ma judge sasa hapo utegemee haki saw a zaidi ya kulinda mfumo wao wa ulajiKwa hyo hao uliowataja wanafanya kaz za kukisaidia chama wakati wanatakiwa wawe neutral? basi tuache kuwadanganya wazungu et tuna vyama vingi wakati system nzima iko upande wa ccm