Rais mstaafu Jakaya Kikwete kwenye shughuli ya kuaga mwili wa hayati Edward Lowassa kwenye viwanja vya Karimjee,
“TUMSHUKURU Mwenyezi Mungu kwa muda aliotupatia wa kuishi na kuhudumiwa na ndugu Edward Ngoyai Lowassa, wakati wa uhai wake ametoa mchango mkubwa kwa maendeleo ya nchi yetu, na ameacha alama zitakazokumbukwa daima. Shukrani kubwa tunayoweza kuitoa kwake kwasasa ni kumuombea kwa Mola aiweke roho yake mahala pema peponi” -Rais Mstaafu, Jakaya Mrisho Kikwete.
📹 AzamTV
“TUMSHUKURU Mwenyezi Mungu kwa muda aliotupatia wa kuishi na kuhudumiwa na ndugu Edward Ngoyai Lowassa, wakati wa uhai wake ametoa mchango mkubwa kwa maendeleo ya nchi yetu, na ameacha alama zitakazokumbukwa daima. Shukrani kubwa tunayoweza kuitoa kwake kwasasa ni kumuombea kwa Mola aiweke roho yake mahala pema peponi” -Rais Mstaafu, Jakaya Mrisho Kikwete.
📹 AzamTV