Kwaherini wenzangu!

Mmmh....... Siku zote vitamu huaw vina madhara! Nakuonea huruma.
 
WanaJF sote ni ndugu 2nashirikiana kwnye shida na raha, sasa mi naonelea kwa kua mwenze2 yamemkuta haina budi 2msaidie angalau mchango kidogo, kila mmoja humu jamvini akitoa buku buku 2kamsaidia kurudisha hiyo mahari ...........
ANGALIZO: Mweka hazina nitakua mimi mwenyewe.

Dah.......hope unatania ndugu!! 1000?? Hiyo bei ya kiepe kabisa mwanawani! L.O.L
 
Wenzangu wa MMU,
Wengi wenu sikuwasikiliza lakini sikio la kufa .......... Nikawasikiliza wachache na nikajikuta nimejaribu kwa mke wa wa mtu,utamu nikaupata na sasa jamaa-mumewe amenijua na amesema nimchukue mke hamtaki tena kwa sababu kapata uja uzito wangu na hataki kusikia kitu amenipa deadline ya siku 30 nimlipe mahari yake ya ngombe 30 na riba mara 4 na mimi siwezi kuzilipa, nimehama nyumba mara 6 lakini amenifuata,mkiona sionekani tena ,basi jueni ndio jamaa katimizia azma yake,wake za watu mnatumaliza!
Kwaherini!

Kwenye maswala ya ugoni mara nyingi mwenye maklosa ni mwanamke. kwa nini amkubali dume mwingine wakati anajua fika ana mumewe? Huyo mume akadai mahari kwa wakwe kwa kumpa mwanamke wa ki-china asikusumbue maana mkewe angekataa usingembaka
 
hilo halina msaada

hata kama angekuwa invissible angekupa burn tena ya miaka 20

so mkuu we potea tu,mi siungi mkono kabisa kumlala mke wa mtu then tukupe big up aaaaah no,haiwezekani kabisa.
tena nashangaa umepata wapi mda wa kuweka thread hii,ulitakiwa kupotezwa kitambo tuu

mke wa mtu.mke wa mtu!!!!!! mmmmmmmmmmmmh
 
Wakti mwingine uwe unatunga uongo wa kimaendeleo ili hata tukijaribu tunaweza kupiga hatua moja mbele kimaendeleo. sio story za kizinzi tu na inaonesha una element hizo. et umehama nyumba mara 6, ................$#*****%.!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Ama kweli sasa nathibitisha kwamba mwaka mwingine ndio umeanza hivyo!Lakini pole mkubwa.
 
Kama akifanikiwa kukuua basi tafadhali wasalimie huko utakofikia.Kwaheri
 
Mudhihir Mudhihir aliwahi kuonywa... achague kuwolewa au kukatwa mkono wa kulia,akachagua mkono mmmh!
 
Ulionja asali ukachonga mzinga, hivi ulikuwa unatarajia nini na unajua kabisa ni mke wa mtu.
Ndugu yangu ukipata raha ukumbuke karaha.....
 
Kwenye maswala ya ugoni mara nyingi mwenye maklosa ni mwanamke. kwa nini amkubali dume mwingine wakati anajua fika ana mumewe? Huyo mume akadai mahari kwa wakwe kwa kumpa mwanamke wa ki-china asikusumbue maana mkewe angekataa usingembaka
wa kulaumiwa ni huyo mwanamke
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom