Wenzangu wa MMU,
Wengi wenu sikuwasikiliza lakini sikio la kufa .......... Nikawasikiliza wachache na nikajikuta nimejaribu kwa mke wa wa mtu,utamu nikaupata na sasa jamaa-mumewe amenijua na amesema nimchukue mke hamtaki tena kwa sababu kapata uja uzito wangu na hataki kusikia kitu amenipa deadline ya siku 30 nimlipe mahari yake ya ngombe 30 na riba mara 4 na mimi siwezi kuzilipa, nimehama nyumba mara 6 lakini amenifuata,mkiona sionekani tena ,basi jueni ndio jamaa katimizia azma yake,wake za watu mnatumaliza!
Kwaherini!
Nawashukuru sana,
Kwa ambao wako tayari kuniaga na ambao wamejidai wako safi kwenye mambo haya,pia nawashukuru,
lakini nakubali kabisa tamaa mbaya-:embarassed2:,na alinitamanisha mpaka akanizidi nguvu,nilijitahdi kujinasua lakini akawa ameishanijulia udhaifu wangu hata kabla ya kulitenda jambo hilo,kwa nguvu ya kibinadamu haikuwa kazi rahisi hata kufkiria kumpenda mke wa mwanajeshi mwenye cheo kikubwa lakini pia ni wale wa Musoma,mkali na hana mchezo na niliwahi kumshuhudia mwenyewe.
Lakini kwa wanaume wenzangu ukiona yamekukuta ukiweza kimbia,lakini maneno,nguo,macho vilinitia hamu ya kujaribu,nikafuata ushuri wa MMU friends nikaanza kwa cond...baadae nikawa nahisi kama utamu kwenye cond ni hivi? ndani pakoje,baada ya kupima na kuonja,nilijisikia natamka maneno-hata akijua,akaniua sintojali,kumbe yakamuingia mpenzi wa watu moyoni-sasa najuta.
Sina pesa ya ulinzi wala ya ngombe,sina hata mke. Niko nimejitayarisha kila nikisikia hodi chumbani kwangu,najua amekuja kuchungulia kama nimeishahama. Najua wengi mnaandika as if mnazo nguvu za kuhimili,lakini najua yangewakuta nanyinyi mngekimbia, nashukuru aliyeniambia nihame mkoa. Wacha nirudi kwetu nahisi nitapata hata ulinzi wa bure,maana huyu bwana ameamua kumuadhibu mkewe kwa kunisulubu mimi. Asanteni
so sad, i wish to help you out.Nawashukuru sana,
Kwa ambao wako tayari kuniaga na ambao wamejidai wako safi kwenye mambo haya,pia nawashukuru,
lakini nakubali kabisa tamaa mbaya-:embarassed2:,na alinitamanisha mpaka akanizidi nguvu,nilijitahdi kujinasua lakini akawa ameishanijulia udhaifu wangu hata kabla ya kulitenda jambo hilo,kwa nguvu ya kibinadamu haikuwa kazi rahisi hata kufkiria kumpenda mke wa mwanajeshi mwenye cheo kikubwa lakini pia ni wale wa Musoma,mkali na hana mchezo na niliwahi kumshuhudia mwenyewe.
Lakini kwa wanaume wenzangu ukiona yamekukuta ukiweza kimbia,lakini maneno,nguo,macho vilinitia hamu ya kujaribu,nikafuata ushuri wa MMU friends nikaanza kwa cond...baadae nikawa nahisi kama utamu kwenye cond ni hivi? ndani pakoje,baada ya kupima na kuonja,nilijisikia natamka maneno-hata akijua,akaniua sintojali,kumbe yakamuingia mpenzi wa watu moyoni-sasa najuta.
Sina pesa ya ulinzi wala ya ngombe,sina hata mke. Niko nimejitayarisha kila nikisikia hodi chumbani kwangu,najua amekuja kuchungulia kama nimeishahama. Najua wengi mnaandika as if mnazo nguvu za kuhimili,lakini najua yangewakuta nanyinyi mngekimbia, nashukuru aliyeniambia nihame mkoa. Wacha nirudi kwetu nahisi nitapata hata ulinzi wa bure,maana huyu bwana ameamua kumuadhibu mkewe kwa kunisulubu mimi. Asanteni
Sasa TMK bado hujafa tu :lol:
Wenzangu wa MMU,
Wengi wenu sikuwasikiliza lakini sikio la kufa .......... Nikawasikiliza wachache na nikajikuta nimejaribu kwa mke wa wa mtu,utamu nikaupata na sasa jamaa-mumewe amenijua na amesema nimchukue mke hamtaki tena kwa sababu kapata uja uzito wangu na hataki kusikia kitu amenipa deadline ya siku 30 nimlipe mahari yake ya ngombe 30 na riba mara 4 na mimi siwezi kuzilipa, nimehama nyumba mara 6 lakini amenifuata,mkiona sionekani tena ,basi jueni ndio jamaa katimizia azma yake,wake za watu mnatumaliza!
Kwaherini!
Nawashukuru wote walionipa faraja, walionitukana,walioniombea na walionitakia mabaya na wote walioniaga.
Hivi sasa niko mafichoni kwa level za uswahilini ingawa najua ningekuwa na thamani kubwa ningepataikana.
Nilifuata ushauri wa baadhi ya ndugu na sasa niko mbali kabisa na sehemu ya tukio na kabla sijatoweka kidhibiti kilipotea(mke wa watu mwenye uja uzito alikimbia na hajulikani alipo)Kwa mantiki hiyo nina imani nitaweza kuendelea kuishi kwa muda, aliyejifunza -amejifunza, anayetaka kuwa Thomaso na aendelee, walioniombea mabaya nawashukuru na kuwasamehe. Walioniombea Mungu awabariki muendelee kuwa binadamu! Cheers!oa