Kwaherini wenzangu!

Yaani wanawake/wasichana wote hao bado unafuata mke wa mtu! pole sana umeyataka mwenyewe!
 
Kifo chako kizuri kweli mkuu, umepewa na taarifa kabisa! Tubu na kuiamini injili ili ukifa usiwe kama tajiri uwe kama Lazaro

R.I.P in advance
 
Wenzangu wa MMU,
Wengi wenu sikuwasikiliza lakini sikio la kufa .......... Nikawasikiliza wachache na nikajikuta nimejaribu kwa mke wa wa mtu,utamu nikaupata na sasa jamaa-mumewe amenijua na amesema nimchukue mke hamtaki tena kwa sababu kapata uja uzito wangu na hataki kusikia kitu amenipa deadline ya siku 30 nimlipe mahari yake ya ngombe 30 na riba mara 4 na mimi siwezi kuzilipa, nimehama nyumba mara 6 lakini amenifuata,mkiona sionekani tena ,basi jueni ndio jamaa katimizia azma yake,wake za watu mnatumaliza!
Kwaherini!

Acha ujinga hata kama hii stori ni ya kweli, huyo jamaa anatakiwa kuwa na ushahidi wa kisayansi na alitakiwa akufumanie live ukifanya mapenzi na mke wake akiwa na mashahidi. Usiwe mjinga wa kukubali mambo yasiyokuwa na ushahidi 100%. Kataa kabisa na ukatoe ripoti polisi kwamba umetishiwa kuuwawa kwa mambo ya kuhisi na sheria itachukua mkondo wake. Hata kama umefanya mapenzi na mke wake inawezekana kabisa kwamba hiyo mimba siyo ya kwako, unaweza kuta hata mayai yako hayana uwezo wa kumtia mwanamke mimba. Unaweza ukawa unajipa sifa za kumtia mwanamke mimba wakati huna uwezo.
 
Nasikia JF ipo had kwenye recycle bin. Akifanikiwa kukudiliti utuandikie sred alikuaje..
 
Nawashukuru sana,
Kwa ambao wako tayari kuniaga na ambao wamejidai wako safi kwenye mambo haya,pia nawashukuru,
lakini nakubali kabisa tamaa mbaya-:embarassed2:,na alinitamanisha mpaka akanizidi nguvu,nilijitahdi kujinasua lakini akawa ameishanijulia udhaifu wangu hata kabla ya kulitenda jambo hilo,kwa nguvu ya kibinadamu haikuwa kazi rahisi hata kufkiria kumpenda mke wa mwanajeshi mwenye cheo kikubwa lakini pia ni wale wa Musoma,mkali na hana mchezo na niliwahi kumshuhudia mwenyewe.
Lakini kwa wanaume wenzangu ukiona yamekukuta ukiweza kimbia,lakini maneno,nguo,macho vilinitia hamu ya kujaribu,nikafuata ushuri wa MMU friends nikaanza kwa cond...baadae nikawa nahisi kama utamu kwenye cond ni hivi? ndani pakoje,baada ya kupima na kuonja,nilijisikia natamka maneno-hata akijua,akaniua sintojali,kumbe yakamuingia mpenzi wa watu moyoni-sasa najuta.
Sina pesa ya ulinzi wala ya ngombe,sina hata mke. Niko nimejitayarisha kila nikisikia hodi chumbani kwangu,najua amekuja kuchungulia kama nimeishahama. Najua wengi mnaandika as if mnazo nguvu za kuhimili,lakini najua yangewakuta nanyinyi mngekimbia, nashukuru aliyeniambia nihame mkoa. Wacha nirudi kwetu nahisi nitapata hata ulinzi wa bure,maana huyu bwana ameamua kumuadhibu mkewe kwa kunisulubu mimi. Asanteni

Pole sana mkuu TMK Dar,
Najua wajutia kosa lako, nahisi hutokuja kurudia tena maishani mwako kwani ushajifunza mke wa mtu ni sumu kali sana.

NB:
Hili pia ni fundisho kwa wanaume wote wenye tabia za kupenda kungonoka na wake za watu,
naamini kwa ushuhuda wako huu utaenda kuwaokoa baadhi ya wanaume wenye tabia km hizi.

Ushauri:
1. Nenda kanisani au msikitini ukatubu kwa dhambi hiyo ili na wewe ukipata mkeo wasije wanaume wakangonoka nae km wewe ulivyomfanyia mjeshi wa watu. Mungu wetu ni mwema huwa anasamehe na hutakamatwa kwani wajutia kosa ulilofanya.
2. Nenda mkoa wa mbali sana na huo mkoa unaoishi sasa.
3. Tafuta mke wako oa ili upate haki yako ya ndoa bila ya kujiiba iba tena.
 
Nawashukuru sana,
Kwa ambao wako tayari kuniaga na ambao wamejidai wako safi kwenye mambo haya,pia nawashukuru,
lakini nakubali kabisa tamaa mbaya-:embarassed2:,na alinitamanisha mpaka akanizidi nguvu,nilijitahdi kujinasua lakini akawa ameishanijulia udhaifu wangu hata kabla ya kulitenda jambo hilo,kwa nguvu ya kibinadamu haikuwa kazi rahisi hata kufkiria kumpenda mke wa mwanajeshi mwenye cheo kikubwa lakini pia ni wale wa Musoma,mkali na hana mchezo na niliwahi kumshuhudia mwenyewe.
Lakini kwa wanaume wenzangu ukiona yamekukuta ukiweza kimbia,lakini maneno,nguo,macho vilinitia hamu ya kujaribu,nikafuata ushuri wa MMU friends nikaanza kwa cond...baadae nikawa nahisi kama utamu kwenye cond ni hivi? ndani pakoje,baada ya kupima na kuonja,nilijisikia natamka maneno-hata akijua,akaniua sintojali,kumbe yakamuingia mpenzi wa watu moyoni-sasa najuta.
Sina pesa ya ulinzi wala ya ngombe,sina hata mke. Niko nimejitayarisha kila nikisikia hodi chumbani kwangu,najua amekuja kuchungulia kama nimeishahama. Najua wengi mnaandika as if mnazo nguvu za kuhimili,lakini najua yangewakuta nanyinyi mngekimbia, nashukuru aliyeniambia nihame mkoa. Wacha nirudi kwetu nahisi nitapata hata ulinzi wa bure,maana huyu bwana ameamua kumuadhibu mkewe kwa kunisulubu mimi. Asanteni
so sad, i wish to help you out.
 
Wenzangu wa MMU,
Wengi wenu sikuwasikiliza lakini sikio la kufa .......... Nikawasikiliza wachache na nikajikuta nimejaribu kwa mke wa wa mtu,utamu nikaupata na sasa jamaa-mumewe amenijua na amesema nimchukue mke hamtaki tena kwa sababu kapata uja uzito wangu na hataki kusikia kitu amenipa deadline ya siku 30 nimlipe mahari yake ya ngombe 30 na riba mara 4 na mimi siwezi kuzilipa, nimehama nyumba mara 6 lakini amenifuata,mkiona sionekani tena ,basi jueni ndio jamaa katimizia azma yake,wake za watu mnatumaliza!
Kwaherini!

utakoma mi naomba jamaa akufanyie kama yule dem wa facebook.
 
Nawashukuru wote walionipa faraja, walionitukana,walioniombea na walionitakia mabaya na wote walioniaga.
Hivi sasa niko mafichoni kwa level za uswahilini ingawa najua ningekuwa na thamani kubwa ningepataikana.
Nilifuata ushauri wa baadhi ya ndugu na sasa niko mbali kabisa na sehemu ya tukio na kabla sijatoweka kidhibiti kilipotea(mke wa watu mwenye uja uzito alikimbia na hajulikani alipo)Kwa mantiki hiyo nina imani nitaweza kuendelea kuishi kwa muda, aliyejifunza -amejifunza, anayetaka kuwa Thomaso na aendelee, walioniombea mabaya nawashukuru na kuwasamehe. Walioniombea Mungu awabariki muendelee kuwa binadamu! Cheers!
:poa
 
Nawashukuru wote walionipa faraja, walionitukana,walioniombea na walionitakia mabaya na wote walioniaga.
Hivi sasa niko mafichoni kwa level za uswahilini ingawa najua ningekuwa na thamani kubwa ningepataikana.
Nilifuata ushauri wa baadhi ya ndugu na sasa niko mbali kabisa na sehemu ya tukio na kabla sijatoweka kidhibiti kilipotea(mke wa watu mwenye uja uzito alikimbia na hajulikani alipo)Kwa mantiki hiyo nina imani nitaweza kuendelea kuishi kwa muda, aliyejifunza -amejifunza, anayetaka kuwa Thomaso na aendelee, walioniombea mabaya nawashukuru na kuwasamehe. Walioniombea Mungu awabariki muendelee kuwa binadamu! Cheers!
:poa


Good to know you are still around buddy! Ila achana na falsafa ya "kama unaweza kupata maziwa ya nini kufuga ng'ombe"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom