Wenzangu wa MMU,
Wengi wenu sikuwasikiliza lakini sikio la kufa .......... Nikawasikiliza wachache na nikajikuta nimejaribu kwa mke wa wa mtu,utamu nikaupata na sasa jamaa-mumewe amenijua na amesema nimchukue mke hamtaki tena kwa sababu kapata uja uzito wangu na hataki kusikia kitu amenipa deadline ya siku 30 nimlipe mahari yake ya ngombe 30 na riba mara 4 na mimi siwezi kuzilipa, nimehama nyumba mara 6 lakini amenifuata,mkiona sionekani tena ,basi jueni ndio jamaa katimizia azma yake,wake za watu mnatumaliza!
Kwaherini!
Wenzangu wa MMU,
Wengi wenu sikuwasikiliza lakini sikio la kufa .......... Nikawasikiliza wachache na nikajikuta nimejaribu kwa mke wa wa mtu,utamu nikaupata na sasa jamaa-mumewe amenijua na amesema nimchukue mke hamtaki tena kwa sababu kapata uja uzito wangu na hataki kusikia kitu amenipa deadline ya siku 30 nimlipe mahari yake ya ngombe 30 na riba mara 4 na mimi siwezi kuzilipa, nimehama nyumba mara 6 lakini amenifuata,mkiona sionekani tena ,basi jueni ndio jamaa katimizia azma yake,wake za watu mnatumaliza!
Kwaherini!
I second that as well.RIP (Just in case..)
Pole sn,uende kwa aman,ila huyo jamaa anaonekana muungwana sn kwan amekuachia mda wa kutosha mpaka umeweza kutuaga!hongera kwa kuikubali hali yako na matokeo pia,RIP.
Wenzangu wa MMU,
Wengi wenu sikuwasikiliza lakini sikio la kufa .......... Nikawasikiliza wachache na nikajikuta nimejaribu kwa mke wa wa mtu,utamu nikaupata na sasa jamaa-mumewe amenijua na amesema nimchukue mke hamtaki tena kwa sababu kapata uja uzito wangu na hataki kusikia kitu amenipa deadline ya siku 30 nimlipe mahari yake ya ngombe 30 na riba mara 4 na mimi siwezi kuzilipa, nimehama nyumba mara 6 lakini amenifuata,mkiona sionekani tena ,basi jueni ndio jamaa katimizia azma yake,wake za watu mnatumaliza!
Kwaherini!
Yani wee acha tu shem wangu,Cannta unajua JF is never boring eeh? umenionea SL?
pole sana ila tungekufanyia part ya kukuaga ingekua nzuri sana kwani zawadi ambazo tungukupa ungekwenda kupunguza deni kwa huyo jamaa labda hasira yake ingepungua.
Nawashukuru sana,
Kwa ambao wako tayari kuniaga na ambao wamejidai wako safi kwenye mambo haya,pia nawashukuru,
lakini nakubali kabisa tamaa mbaya-:embarassed2:,na alinitamanisha mpaka akanizidi nguvu,nilijitahdi kujinasua lakini akawa ameishanijulia udhaifu wangu hata kabla ya kulitenda jambo hilo,kwa nguvu ya kibinadamu haikuwa kazi rahisi hata kufkiria kumpenda mke wa mwanajeshi mwenye cheo kikubwa lakini pia ni wale wa Musoma,mkali na hana mchezo na niliwahi kumshuhudia mwenyewe.
Lakini kwa wanaume wenzangu ukiona yamekukuta ukiweza kimbia,lakini maneno,nguo,macho vilinitia hamu ya kujaribu,nikafuata ushuri wa MMU friends nikaanza kwa cond...baadae nikawa nahisi kama utamu kwenye cond ni hivi? ndani pakoje,baada ya kupima na kuonja,nilijisikia natamka maneno-hata akijua,akaniua sintojali,kumbe yakamuingia mpenzi wa watu moyoni-sasa najuta.
Sina pesa ya ulinzi wala ya ngombe,sina hata mke. Niko nimejitayarisha kila nikisikia hodi chumbani kwangu,najua amekuja kuchungulia kama nimeishahama. Najua wengi mnaandika as if mnazo nguvu za kuhimili,lakini najua yangewakuta nanyinyi mngekimbia, nashukuru aliyeniambia nihame mkoa. Wacha nirudi kwetu nahisi nitapata hata ulinzi wa bure,maana huyu bwana ameamua kumuadhibu mkewe kwa kunisulubu mimi. Asanteni
si kidogo
bora akusanye na rambi rambi yake
aitumie kabisa
Nawashukuru sana,
Kwa ambao wako tayari kuniaga na ambao wamejidai wako safi kwenye mambo haya,pia nawashukuru,
lakini nakubali kabisa tamaa mbaya-:embarassed2:,na alinitamanisha mpaka akanizidi nguvu,nilijitahdi kujinasua lakini akawa ameishanijulia udhaifu wangu hata kabla ya kulitenda jambo hilo,kwa nguvu ya kibinadamu haikuwa kazi rahisi hata kufkiria kumpenda mke wa mwanajeshi mwenye cheo kikubwa lakini
pia ni wale wa Musoma,mkali na hana mchezo na niliwahi kumshuhudia mwenyewe.
Lakini kwa wanaume wenzangu ukiona yamekukuta ukiweza kimbia,lakini maneno,nguo,macho vilinitia hamu ya kujaribu,nikafuata ushuri wa MMU friends nikaanza kwa cond...baadae nikawa nahisi kama utamu kwenye cond ni
hivi? ndani pakoje,baada ya kupima na kuonja,nilijisikia natamka maneno-hata akijua,akaniua sintojali,kumbe
yakamuingia mpenzi wa watu moyoni-sasa najuta.
Sina pesa ya ulinzi wala ya ngombe,sina hata mke. Niko nimejitayarisha kila nikisikia hodi chumbani kwangu,najua amekuja kuchungulia kama nimeishahama. Najua wengi mnaandika as if mnazo nguvu za kuhimili,lakini najua
yangewakuta nanyinyi mngekimbia, nashukuru aliyeniambia nihame mkoa. Wacha nirudi
kwetu nahisi nitapata hata ulinzi wa bure,maana huyu bwana ameamua kumuadhibu mkewe kwa kunisulubu mimi
Asanteni
WanaJF sote ni ndugu 2nashirikiana kwnye shida na raha, sasa mi naonelea kwa kua mwenze2 yamemkuta haina budi 2msaidie angalau mchango kidogo, kila mmoja humu jamvini akitoa buku buku 2kamsaidia kurudisha hiyo mahari ...........
ANGALIZO: Mweka hazina nitakua mimi mwenyewe.