Papa Diana
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 304
- 22
oooopppsssss wrong way ..
lakini ningependa ku sagest
machanganyiko wa waki sasa na kienyeji ....
now im out ....
Kama wewe hivi..hafu kasti! x
oooopppsssss wrong way ..
lakini ningependa ku sagest
machanganyiko wa waki sasa na kienyeji ....
now im out ....
Kama wewe hivi..hafu kasti! x
unafkiri wa kisasa tunawapenda? Sema wa kienyeji ni ghali na wagumu kuwapata in the sense that unaweza piga sound hata mwezi usimmpate au ukaambulia urafiki wa kalamu. Ila hawa wa kisasa any time anywhere hawana compkication ukitaka unapata kirahiiisi!
harufu ya kemikali umemaanisha pafyumu?
Namaanisha kichwani kuna wigi, mikononi makucha ya bandia, makalio mchina, ngozi imepakwa ma cream yanayotoa harufu ya ajabu. Sasa usoni ndo balaa machoni wanja unaangalia juu kama shetani, lips zina rangi kama mavi ya kuku, ngozi ya uso hayo marangi wee acha tu.
am free and available, check avatar yangu hapo, naqualify wa kidhungu au wakienyeji???unafkiri wa kisasa tunawapenda? Sema wa kienyeji ni ghali na wagumu kuwapata in the sense that unaweza piga sound hata mwezi usimmpate au ukaambulia urafiki wa kalamu. Ila hawa wa kisasa any time anywhere hawana compkication ukitaka unapata kirahiiisi!
Jamani za weekend,
Wengi wenu mnajua kwamba kuku wa kienyeji ni mtamu zaidi kuliko wa kisasa. Basi mwenzenu sijaishia kwenye kuku tu. Hata kwa binadamu ndivyo ninavyopenda. Nikimpata mdada 'natural' 'asiyejikoboa', havai mawigi, kucha za bandia, wala kuweka maulembo ya ajabu ajabu mwilini, huwa napata nguvu sana kuliko anayefanya hivyo. Sijui wanaume wenzagu huwa inakuwaje kwa upande wenu?
Weekend njema.
Namaanisha kichwani kuna wigi, mikononi makucha ya bandia, makalio mchina, ngozi imepakwa ma cream yanayotoa harufu ya ajabu. Sasa usoni ndo balaa machoni wanja unaangalia juu kama shetani, lips zina rangi kama mavi ya kuku, ngozi ya uso hayo marangi wee acha tu.
Namaanisha kichwani kuna wigi, mikononi makucha ya bandia, makalio mchina, ngozi imepakwa ma cream yanayotoa harufu ya ajabu. Sasa usoni ndo balaa machoni wanja unaangalia juu kama shetani, lips zina rangi kama mavi ya kuku, ngozi ya uso hayo marangi wee acha tu.