Dumelambegu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,052
- 257
Jamani za weekend,
Wengi wenu mnajua kwamba kuku wa kienyeji ni mtamu zaidi kuliko wa kisasa. Basi mwenzenu sijaishia kwenye kuku tu. Hata kwa binadamu ndivyo ninavyopenda. Nikimpata mdada 'natural' 'asiyejikoboa', havai mawigi, kucha za bandia, wala kuweka maulembo ya ajabu ajabu mwilini, huwa napata nguvu sana kuliko anayefanya hivyo. Sijui wanaume wenzagu huwa inakuwaje kwa upande wenu?
Weekend njema.
Wengi wenu mnajua kwamba kuku wa kienyeji ni mtamu zaidi kuliko wa kisasa. Basi mwenzenu sijaishia kwenye kuku tu. Hata kwa binadamu ndivyo ninavyopenda. Nikimpata mdada 'natural' 'asiyejikoboa', havai mawigi, kucha za bandia, wala kuweka maulembo ya ajabu ajabu mwilini, huwa napata nguvu sana kuliko anayefanya hivyo. Sijui wanaume wenzagu huwa inakuwaje kwa upande wenu?
Weekend njema.