Ilisolokobwe
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 1,850
- 803
Samsung Galaxy zile kubwa kama vile S4,S3, Note 2,Note 3 zinatumia Display ya hali ya juu (AMOLED). lakini hizi samsung na simu zingine za kawaida zinatumia TFT (Thin Transistor Film)
basi hapo ni kufanya uamuzi kulingana na uwezo wa mtu