Kwa wanaotumia au waliotumiaTecno P5

Hii hapa ni picha ya tecno L3 3.0MP camera


l3.jpg
 
Usipende kudownload applications nje ya Google Play Store. Ingia Play Store download AVG Antivirus ni nzuri ina scan file zote na kukuonyesha yenye virus uiondoe

As ante sana mkuu, imekubali vizuri. Lakini bado Luna maneno yanakuja tu yameandikwa your phone is in danger. Joe nifanyeje?
 
Hayo maneno yanaandkwa ukiwa kwenye baadhi ya websites ili uki click uweze ku download ant virus yao
 
As ante sana mkuu, imekubali vizuri. Lakini bado Luna maneno yanakuja tu yameandikwa your phone is in danger. Joe nifanyeje?
Hayo ni matangazo ya biashara wanatangaza antivirus zao.Wewe fanya setting yako tu na uiset once a day ikifika muda ulioset in ascan automatically na Kama kuna file lenye tatizo linakuonyesha. Ondoa mashaka.
 
kupakua PDF sio shida shida ni kuifungua hiyo pdf. nenda play store na download adobe reader. hapo umemaliza..

kuhusu documents za word na excel, download QUICK OFFICE playstore...

Asante kwa hili Tecno wapo OK natumia L3 ipo fresh nilikuwa na shida juu ya PDF na hapa nishapata elimu
 
ymollel, Ilisolokobwe na wadau wengine wa Tecno P5 humu Jf naomba anayefahamu anifahamishe Application kwa App Store inayoweza kufungua Attachment baada kuidownlaod kwenye SD card mfano attachment za humu JF niki-save wakati nikiifungua kutoka SD card inacomand file format unsupported.
 
Last edited by a moderator:
ymollel, Ilisolokobwe na wadau wengine wa Tecno P5 humu Jf naomba anayefahamu anifahamishe Application kwa App Store inayoweza kufungua Attachment baada kuidownlaod kwenye SD card mfano attachment za humu JF niki-save wakati nikiifungua kutoka SD card inacomand file format unsupported.

bila shaka attachment inayokusumbua ni ZIP files, Cha kufanya nenda play store na Download WINRAR for android, hiyo ita solve matatizo yote ya ZIP files.

Kuhusu attachment za PDF , Download ADOBE READER android.

Kuhusu word,excel files download QUICK OFFICE.
 
bila shaka attachment inayokusumbua ni ZIP files, Cha kufanya nenda play store na Download WINRAR for android, hiyo ita solve matatizo yote ya ZIP files.

Kuhusu attachment za PDF , Download ADOBE READER android.

Kuhusu word,excel files download QUICK OFFICE.

Hiyo WINRAR for Android mbona kwa play store siioni naona RAR for Android by RARLAB(Win.rar).Adobe ninayo. Kuhusu Word,Excel and PowerPoint natumia Kingsoft Office kama Quick Office ni bora zaidi naomba ufafanuzi ili nihamie Quick Office.
 
nisaidieni kuna memory card nilifanya backup ikiwa kwenye Y300 ninapoileta kwenye P5 ku restore backup zangu hainesh ka kuna backups.
nifanyeje
 
4fu9u7YsKwu oAAAAASUVORK5CYII=
Screenshot_2014-05-09-09-01-17.png
Tumia yoyote kati ya hizo hapo , zinafanya kazi.

Hiyo WINRAR for Android mbona kwa play store siioni naona RAR for Android by RARLAB(Win.rar).Adobe ninayo. Kuhusu Word,Excel and PowerPoint natumia Kingsoft Office kama Quick Office ni bora zaidi naomba ufafanuzi ili nihamie Quick Office.
 
Disagree to Agree with me ila ukweli ni kwamba TECNO ambazo ni majanga pasua kichwa ni zile series ya Chini P3 na N3 ambazo nimetumia hivo nina experience nazo...

N3 ndo ilianza sokoni nikaikimbilia ila hii simu pamoja na kuuzwa bei kubwa 140-160,000/= ni mara mia kununua vile vi galaxy pocket maana Raha ya simu ya Android ni ku-install apps na games(kama ni mpenzi) utakavyo sasa haya matoy ya simu P3 na N3 yaani ulikua uki-install apps tano ujue imekula kwako ...kina piga kelele sijui "Insufficient Memory" sasa huu si ukuku-ng'ombe?

Yaani sehemu wanazo Bug hawa jamaa ni kwenye RAM na ROM kabisa na wapatia 0%...

Niliamua Tecno P3 yangu niliyotumia ya mwisho niwape wanangu wachezee maana ilifikia kipindi uki-install apps uka restart hauzikuti

Ki ukweli kama wewe una aspire kuwa Android Super user Tecno haifai kabisa...

Ku-root kwenye shida tupu na ndo ukitaka kuweka Custom ROM ndo utaangaika na google mpaka uchoke...

why Tecno is meant for AFRICA?

jibu ni "very poor material correlating to our economy"

Good day friends
 
ymollel Asante nimeinstall RAR For Android na kila kitu kimeenda vizuri.
 
Last edited by a moderator:
ymollel Asante nimeinstall RAR For Android na kila kitu kimeenda vizuri.

ubovu wa RAR for android nafikiri utafungua .rar file tu sidhani kama .zip files zitafunguliwa...kwa nini usijaribu hiyo ya pili aliyo iwekea circle
 
Last edited by a moderator:
Habari wakuu, nawezaje kutumia WhatsApp line ya pili kwenye simu ya TECNO P5 . Nina line ya tigo na voda. Nikiunga voda tigo haipatikani whatsapp na kinyume chake.
Naomba mwenye kuelewa asaidie
 
Habari wakuu, nawezaje kutumia WhatsApp line ya pili kwenye simu ya TECNO P5 . Nina line ya tigo na voda. Nikiunga voda tigo haipatikani whatsapp na kinyume chake.
Naomba mwenye kuelewa asaidie

Huwezi kutumia line zote 2 whatsapp kwa wakati mmoja. (ila nilihi ona app inayowezesha hiyo kitambo kiasi)
 
Disagree to Agree with me ila ukweli ni kwamba TECNO ambazo ni majanga pasua kichwa ni zile series ya Chini P3 na N3 ambazo nimetumia hivo nina experience nazo...

N3 ndo ilianza sokoni nikaikimbilia ila hii simu pamoja na kuuzwa bei kubwa 140-160,000/= ni mara mia kununua vile vi galaxy pocket maana Raha ya simu ya Android ni ku-install apps na games(kama ni mpenzi) utakavyo sasa haya matoy ya simu P3 na N3 yaani ulikua uki-install apps tano ujue imekula kwako ...kina piga kelele sijui "Insufficient Memory" sasa huu si ukuku-ng'ombe?

Yaani sehemu wanazo Bug hawa jamaa ni kwenye RAM na ROM kabisa na wapatia 0%...

Niliamua Tecno P3 yangu niliyotumia ya mwisho niwape wanangu wachezee maana ilifikia kipindi uki-install apps uka restart hauzikuti

Ki ukweli kama wewe una aspire kuwa Android Super user Tecno haifai kabisa...

Ku-root kwenye shida tupu na ndo ukitaka kuweka Custom ROM ndo utaangaika na google mpaka uchoke...

why Tecno is meant for AFRICA?

jibu ni "very poor material correlating to our economy"

Good day friends

:thumbup::thumbup:
 
Back
Top Bottom