Kwa wanaotumia au waliotumiaTecno P5

Suip

JF-Expert Member
Sep 21, 2010
1,318
766
Wanna JF kwa waliotumia au wanaotumia simu ya Tecno P5 kuna tatizo nimekumbana nalo ,Mimi huwa nina Betri ya akiba nimeinunua mara ya kwanza inapoisha ninapobadilisha na kuwasha simu inawaka kwa muda mfupi halafu inatulia tu yaani ukigusa screen hakuna kufungaka halafu inajizima lakini haizimiki moja kwa moja neno Tecno inabaki kwenye screen hadi utoe betri. hali hii hujurudiarudia mpaka inakera. Haya yamejitokeza tangu jana. Naomba anayefahamu anisaidie
 
Wanna JF kwa waliotumia au wanaotumia simu ya Tecno P5 kuna tatizo nimekumbana nalo ,Mimi huwa nina Betri ya akiba nimeinunua mara ya kwanza inapoisha ninapobadilisha na kuwasha simu inawaka kwa muda mfupi halafu inatulia tu yaani ukigusa screen hakuna kufungaka halafu inajizima lakini haizimiki moja kwa moja neno Tecno inabaki kwenye screen hadi utoe betri. hali hii hujurudiarudia mpaka inakera. Haya yamejitokeza tangu jana. Naomba anayefahamu anisaidie

Uninstall program zote ulizoziweka hivi karibuni, especially Launcher,antivirus na program zote zinazoRun at startup kama vile skype,viber,facebook,whatsapp. Pia ondoa memory card na uhakikishe kuna free space ya kutosha kwenye internal memory. Tumia battery original hiyo ya akiba iweke kando kwanza.
 
Uninstall program zote ulizoziweka hivi karibuni, especially Launcher,antivirus na program zote zinazoRun at startup kama vile skype,viber,facebook,whatsapp. Pia ondoa memory card na uhakikishe kuna free space ya kutosha kwenye internal memory. Tumia battery original hiyo ya akiba iweke kando kwanza.

Asante nimeondoa apps nilizoweka jana sasa mambo ni poa.
 
Asante nimeondoa apps nilizoweka jana sasa mambo ni poa.

sasa unaweza kurudishia programs moja moja, anza na zile za muhimu kama vile whatsapp,viber,tango na zingine za muhimu unazozihitaji. ila kuwa makini na Third party launchers kama vile Nova launcher na Programs zingine ambazo hazijatoka playstore
 
Sina hakika kama wanaibiwa wanaponunua tecno, ila sidhani kama samsung wanatoa bure... Pia its the matter of choice. And people need a phone/mobile which can do 1.., 2.., 3.,,,,etc. people are NOT after names

samsung hawatoi bure ila simu zao ni kiwango huwezi kujutia pesa yako.tulishapata somo toka kwa wataalam wa humu jf kuwa bei ya simu za tecno ipo juu ukilinganisha na material yanayozitengeneza wengine tumeongoka ila wengine bado.simu bora si samsung tu kuna htc,lg,experia nk
 
samsung hawatoi bure ila simu zao ni kiwango huwezi kujutia pesa yako.tulishapata somo toka kwa wataalam wa humu jf kuwa bei ya simu za tecno ipo juu ukilinganisha na material yanayozitengeneza wengine tumeongoka ila wengine bado.simu bora si samsung tu kuna htc,lg,experia nk

si kweli, hakuna hata mmoja anayejua architecture ya Mediatek,cortex au Arm cpu. Ni mambo ya rumors na hisia . watu wanaiponda tecno kwa hoja za kufikirika , hawana technical facts. By the way samsung, LG etc wanajua kucheza na akili za watu Ingawa wana baadhi ya bidhaa bora ila sio zote. bidhaa zao wanazi-OVERPRICE kwa kigezo cha jina.

Mimi natumia Tecno L3 kwa sasa, nimeshatumia samsung pia. na kwa upande wa Computer natumia Dell sio samsung kwa sababu samsung wanaleta usanii hadi kwenye laptops wanacheza na processor za kiaina huku wanakuwekea HDD kuuuubwa, na Ram Kuubwa. Hivyo hivyo hata kwenye mobile
 
Hii imepigwa na tecno P5 nenda na samsung yako unipigie picha hiyo tuje tulinganishe.
 

Attachments

  • 1398156830853.jpg
    1398156830853.jpg
    108.3 KB · Views: 434
Hii imepigwa na tecno P5 nenda na samsung yako unipigie picha hiyo tuje tulinganishe.

ngoja tusibishane kwa mambo ya kitaalam unaona hata wataalam wote kimya sana.ubora wa simu hautapimwa kwa picha yapo mambo mengi ya kuangaliwa
 
Back
Top Bottom