Kwa wanaotumia au waliotumiaTecno P5

Nimetoa challenge piga picha ya gallax yako uweke hapa na utumie built in camera and app yake ndo utajua nini namaanisha. Nimpa mtihani mtu alikubali
 
Twende kazi mi nimegusa kipengere cha picha tu bado internet speed Wi Fi usipime
 

Attachments

  • 1398172373826.jpg
    1398172373826.jpg
    97.7 KB · Views: 345
  • 1398172420275.jpg
    1398172420275.jpg
    84.6 KB · Views: 322
  • 1398172512767.jpg
    1398172512767.jpg
    79.9 KB · Views: 297
mimi natumia hiyo badilisha memory card imepata virus tatizo limekwisha mkuu

Hakuna virus kwenye Memory Card nimefuata maelekezo ya ymollel sasa mambo ni mazuri na memory card iko poa tu na nimerudisha zile muhimu, ambazo sizihitaji nimeachana nazo.
Kwa ukweli ni simu nzuri.
 
Last edited by a moderator:
vp kuhusu kupakua pdf document inskuwaje wakuu kwakutumia tecno p5

kupakua PDF sio shida shida ni kuifungua hiyo pdf. nenda play store na download adobe reader. hapo umemaliza..

kuhusu documents za word na excel, download QUICK OFFICE playstore...
 
mimi nitaangalia specification hasa kwa gsm arena ambapo tecno haipo

umekosea sana kuangalia ubora wa simu kupitia GSM Arena, ni sawa kuwauliza Vodacom Ubora wa Airtel.


Sifa za Kifaa cha ICT/computer/mobile ni kama zifuatazoa;
  1. RAM
  2. CPU speed
  3. storage (internal storage)
  4. Display
  5. camera
  6. battery/power consuption
  7. sound
  8. accessories (ear phone)
  9. mobility

price should be optimal.

mtu ananunua bei juuuuuu, simu ina RAM 256MB, na internal storage ya 300MB.... Na anaponda tecno ambayo inakupa uwezo wa kufanya baadhi ya mambo ambayo simu zingine haziwezi bila Rooting, kwa mfano ku-Install app kwenye memory card.
 
umekosea sana kuangalia ubora wa simu kupitia GSM Arena, ni sawa kuwauliza Vodacom Ubora wa Airtel.


Sifa za Kifaa cha ICT/computer/mobile ni kama zifuatazoa;
  1. RAM
  2. CPU speed
  3. storage (internal storage)
  4. Display
  5. camera
  6. battery/power consuption
  7. sound
  8. accessories (ear phone)
  9. mobility

price should be optimal.

mtu ananunua bei juuuuuu, simu ina RAM 256MB, na internal storage ya 300MB.... Na anaponda tecno ambayo inakupa uwezo wa kufanya baadhi ya mambo ambayo simu zingine haziwezi bila Rooting, kwa mfano ku-Install app kwenye memory card.

mbona hujataja screen type mfano tft cha simu za tecno ambazo ni kiwango cha chini sana na hazina gharama
 
mbona hujataja screen type mfano tft cha simu za tecno ambazo ni kiwango cha chini sana na hazina gharama


Angalia picha hapa sasa ndio ujue hata hao wa majina makubwa wanatumia TFT tena, ni ile ile.

GAlaxy ace yenye CPU ya ARM 832 MHz, RAM below 512, na internal storege ya 158MB. inauzwa karibu TSH 300,000/=
wakati tecno yenye zaidi ya hayo yote ni shilingi TSHS 150,000/= ( cpu mediatek 1GHx/ 1.3GHz or dual core, RAM 512MB or 1GB, Internal storage 2GB to 4GB) kwa 160,000/= au 150,000/=

9k=
fungakazi.jpg
 
Tecno zinatengenezwa China,ingawa focus ya soko lao ni Afrika na hazipo madukani huku China.
 
Angalia picha hapa sasa ndio ujue hata hao wa majina makubwa wanatumia TFT tena, ni ile ile.

GAlaxy ace yenye CPU ya ARM 832 MHz, RAM below 512, na internal storege ya 158MB. inauzwa karibu TSH 300,000/=
wakati tecno yenye zaidi ya hayo yote ni shilingi TSHS 150,000/= ( cpu mediatek 1GHx/ 1.3GHz or dual core, RAM 512MB or 1GB, Internal storage 2GB to 4GB) kwa 160,000/= au 150,000/=

9k=
View attachment 153593

hapo kweli umenifumbua macho ila si s4 ninayotumia.
 
hapo kweli umenifumbua macho ila si s4 ninayotumia.

Samsung Galaxy zile kubwa kama vile S4,S3, Note 2,Note 3 zinatumia Display ya hali ya juu (AMOLED). lakini hizi samsung na simu zingine za kawaida zinatumia TFT (Thin Transistor Film)
 
Back
Top Bottom