shizukan
JF-Expert Member
- Jan 16, 2011
- 1,158
- 563
Ha ha ha povu la nini?
Tena nyie wakali hivi ndio huwa wazuri sana kuwafanya small house na gharama zenu huwa ni Castle light tu.
Sijui wanawake wakoje, walopnda wote huwa ni wakali kweli wakiulizwa mambo ya mahusiano hadharani hadi umuweke kona.
Naona hata hapa jf no exception trend ni ile ile.
Niliwahi fanya research wanawake waliokuwa na wapenzi zaidi ya 2 at per waote hawakusema ukweli kwenye Face to face interview, walikuja sema ukweli kwenue dodoso walizokuwa wanajaza wenyewe kwenye chumba peke yake.
Wavulana walisema hata kama anao 100, kote dodoso zake zote zilifananana.
Some women are fakest creature ever kila mtu anataka aonekane geti kali hata wa kwa mtogole
.
Jambo la kwanza mimi si mwanamke, tena ushike adabu yako. La pili hata kuwa kwako mwanaume sio certificate ya kufanya umalaya unless hujiamini. Mimi ni mwanaume mwenye majukumu na nikumegee siri, nilipomuoa mke wangu alikuwa mshamba kiasi chake. Lkn hiyo haikuwa kesi ya kunifanya nitoke nje ya ndoa yangu. Haiuhitaji kuwa na wapenzi wengi kudhihirisha umahiri wako ktk mapenzi, sasa sana unaonesha jinsi usivyo na uwezo wa kutengeneza badala yake unarukia kila unapoona kuna afadhali.
Kama una balehe, basi ni kipindi wazazi au walezi wako wanatakiwa wakuangalie kwa karibu kwani akili za muda huo zinakupelekea uamini uanaume wako unaonekana kwa ngono, na kwa hali ilivyo utakufa soon. Kwa kifupi, akili zako na hawa wanawake wanaojiuza hapa hazitofautiani hata kidogo.
Acha nikueleze: Huyu alieanzisha mada na wenzake wanaoishabikia, wanajiuza. Anafahamu kuna wanaume wasiojua hata kutongoza kwa hiyo wakiona kuna mwanamke mwepesi dizain yao lzm atashawishika kuwa-PM na hapo wataanza biashara ya kuuza miili yao humu. In short they are just displaying to this forum how cheap they are so that you should feel ease to approach them.
Wanaume tunaojiamini hatuambatani na cheap craps wa namna hii ya kujitangaza kuwa wanagawa. There is no manly satisfaction to make love to a prostitute, only sex pays.