Kwa wale tunaotembea na waume za watu

kuna wakati ulikuwa unalia sana hapa jf kuwa mumeo anakutesa so umeamua kutoka na mume wa mtu kabisa ndio suluhisho?
mm mwanaume lakini kutembea na mke wa mtu hapana bora nikamate vipanya kuliko mke wa mtu
huyo bwana watembea nae hana aibu kabisa labda mke wake nae kicheche akaamua kuja kwako
siku utakuja kuliwa tigo na mabaunza 6 watakaotumwa na mke wa huyo bwana tena wakikuchanganya wawili wa mbele aende mbele na wa nyuma ende nyuma sijui kama utapona siku zako zinahesabika
tulia kwako na mpendwa wako acha hizo.
 
Jamani kunawengine wanavyoandika kwa uchungu kujibu mashambulizi wanafikiri ni dawa ya kutibu hilo tatizo la nyumba ndogo,hizo zipo tu hatunaujanja nazo,
 
Uzoefu unaonyesha mabinti wengi sana wanapenda kutembea na waume za watu, aidha sababu ya maslahi ama wakati mwengine kunakuwa na mapenzi ya kweli. Yani you happen to fall in love with somebody's husband. Mimi ni mdau pia ninae mume wa mtu.

Ila kuna kitu kimoja huwa kinauma sana wakati uko sasa na mpenzi wako (Mume wa mtu) ana anza mashauzi mara aaa

1. Jana nilienda na mama dinner
2. Mara jana nilivyokuwa home sijui wife kasema hivi
3. Mara sijui ngoja wife ananipigia
4. Mara sijui wife kasafiri

Acheni kupiga story za wake zenu kwani wakati unakuja kwangu hukujuwa kama una mke. Mkomeeeeeeeeeeeeeeeeee.

Koma kuchukua waume wa watu, tena ukome kama ulivyokoma kunyonya titi la mamako. Yaani ingekuwa nina mamlaka ya kuadhibu wazinzi, ningekuwa nawafanya mng'ang'aniane vikojoleo vyenu kwa muda wa mwezi mzima.
 
Back
Top Bottom