Naomba Ushauri: Mpenzi wangu anachumbiwa na watu wengi, mimi mambo sio mazuri kabisa, nifanyeje?

Azimio la kazi

Senior Member
Jun 7, 2023
138
451
Wakuu nipeni ushauri mdogo wenu.

Nipo kwenye mahusiano na huyu binti kimsingi tulianza mahusiano kipindi nipo mwaka wa kwanza chuoni (hivi sasa nipo mwaka wa pili), lakini yeye tayari hivi sasa kamaliza masomo na yupo nyumbani (amesoma Diploma ya clinical medicine).

Lengo la mahusiano yetu ni badae tuanzishe familia kwa pamoja (kufunga ndoa).

Umri wake ni mkubwa kwangu, ananizidi miaka miwili mimi ni wa 2001

Ni zaidi ya mara nne sasa huyu binti ananambia kuna wanaume ambao wana muapproach kwaajili ya kumuoa, hata rafiki zake wa kike mara nyingi huniambia kuwa huyu binti ana windwa na wanaume wengi tena ambao wapo seriously na wenye maisha yao.

Ofcourse hata mimi naweza ku confirm hicho kitu, maana she is beautiful pia ana akili na ufahamu mzuri, she is completely a wife material.

Jana usiku amenitumia screenshot za chating za jamaa ambae ni engineer, jamaa anamwambia kabisa anataka kumuoa mwakani na yupo serious.

Ugumu unakuja hapa, mimi bado nipo chuo tena maisha yangu ni kawaida sana, na nyumbani kwetu hali si nzuri hata kidogo, kiufupi bado nina safari ndefu sana ya kujitafuta kimaisha.

Naona kabisa huyu binti nitamchelesha kwenye maisha anayotaka, na yeye anajua hali yangu hiyo. Natamani kumwambia akubali hao wanaomchumbia lakini sijui atapokea vipi, mana tunapendana, na mimi ninapotazama safari ya maisha yangu bado naona ukungu na giza kubwa sana.

Sitaki kumzibia riziki huyu binti, najua ananipenda na mimi pia nampenda sana.

Hapa nipo njia panda, sijui nifanye maamuzi gani kwa manufaa ya kila upande.
 
Katika maisha yako kama Mwanaume kama mwanamke hujamzalishaa na akakwambia anataka Kuchumbiwa bhasi USIMZUIEE hasa kama hujanipanga badoo.. Hakuna kitu kinakosesha amani kama kuishi na mwanamke ambae kila siku anaulizia Ndoaa yani inaboa sana...!! Pole lakini wazuri bado wapo wengi na una future kubwa ya kuitimiza mbele achana na Mapenzi ya kuforce ndoa kwa sasa.
 
Wakuu nipeni ushauri mdogo wenu.

Nipo kwenye mahusiano na huyu binti kimsingi tulianza mahusiano kipindi nipo mwaka wa kwanza chuoni (hivi sasa nipo mwaka wa pili), lkan yeye Tayari hivi sasa kamaliza masomo na yupo nyumbani (amesoma Diploma ya clinical medicine).

Lengo la mahusiano yetu ni badae tuanzishe familia kwa pamoja ( kufunga ndoa)

Umri wake ni Mkubwa kwangu ananizidi miaka miwili Mimi ni wa 2001

Ni zaidi ya mara manne sasa huyu binti ana nambia kuna wanaume ambao wana mu approach kwa ajiri ya kumuoa, hata rafiki zake wa kike mara nyingi huniambia kuwa huyu binti ana windwa na wanaume wengi tena ambao wapo seriously na wenye maisha yao.

Ofcourse hata mimi naweza ku confirm hicho kitu mana she is beautiful pia ana akili na ufahamu mzurui, she is completely wife material.

Jana usiku amenitumia screenshot za chating za jamaa ambae ni engineer jamaa ana mwambia kabisa anataka kumuoa mwakani na yupo seriously.

Ugumu unakuja apa mm bado nipo chuo tena maisha yangu ni kawaida sana, na nyumbani kwetu Hali si nzuri hata kidogo,kiufupi bado na safari ndefu sana ya kujitafuta kimaisha.

Naona kabisa huyu binti tamchelesha kwenye maisha anayotaka, na yeye anajua hali yangu hiyo, nataman kumwambia akubali hao wanao mchumbia lakini sijui atapokea vipi, mana tunapendana , na mimi napo tazama safari ya maisha yangu bado naona ukungu na giza Kubwa sana.

Sitaki kumzibia riziki huyu binti, najua ana nipenda na mimi pia na mpenda sana.

Hapa nipo njia panda, sijui nifanye maamuzi gani kwa manufaa ya Kila upande.

Sikia mdogo wangu mwambie ukweli huyo manzi yako kuwa wewe saiv bado upo kwenye harakati kwaiyo mruhusu aolewe huyo sio level yako komaa na kitabu mbeleni huko utapata mahusiano safi ukiwa vizuri kiuchumi na hautakuwa na stress yoyote muache aende atakusumbua huyo mbeleni muache saiv bado mapema na wewe umalize chuo salama mungu atakupa tu wako huyo sio wako huu ndo ukweli mdogo wangu
 
Wakuu nipeni ushauri mdogo wenu.

Nipo kwenye mahusiano na huyu binti kimsingi tulianza mahusiano kipindi nipo mwaka wa kwanza chuoni (hivi sasa nipo mwaka wa pili), lkan yeye Tayari hivi sasa kamaliza masomo na yupo nyumbani (amesoma Diploma ya clinical medicine).

Lengo la mahusiano yetu ni badae tuanzishe familia kwa pamoja ( kufunga ndoa)

Umri wake ni Mkubwa kwangu ananizidi miaka miwili Mimi ni wa 2001

Ni zaidi ya mara manne sasa huyu binti ana nambia kuna wanaume ambao wana mu approach kwa ajiri ya kumuoa, hata rafiki zake wa kike mara nyingi huniambia kuwa huyu binti ana windwa na wanaume wengi tena ambao wapo seriously na wenye maisha yao.

Ofcourse hata mimi naweza ku confirm hicho kitu mana she is beautiful pia ana akili na ufahamu mzurui, she is completely wife material.

Jana usiku amenitumia screenshot za chating za jamaa ambae ni engineer jamaa ana mwambia kabisa anataka kumuoa mwakani na yupo seriously.

Ugumu unakuja apa mm bado nipo chuo tena maisha yangu ni kawaida sana, na nyumbani kwetu Hali si nzuri hata kidogo,kiufupi bado na safari ndefu sana ya kujitafuta kimaisha.

Naona kabisa huyu binti tamchelesha kwenye maisha anayotaka, na yeye anajua hali yangu hiyo, nataman kumwambia akubali hao wanao mchumbia lakini sijui atapokea vipi, mana tunapendana , na mimi napo tazama safari ya maisha yangu bado naona ukungu na giza Kubwa sana.

Sitaki kumzibia riziki huyu binti, najua ana nipenda na mimi pia na mpenda sana.

Hapa nipo njia panda, sijui nifanye maamuzi gani kwa manufaa ya Kila upande.


Nimeishia hapa

"Umri wake ni Mkubwa kwangu ananizidi miaka miwili Mimi ni wa 2001"

Usioe! Kwa ulichoandika tu inaonekana ana akili na maarifa kukuzidi. Focus kwenye shule, hii dunia ina wanawake wazuri balaa, shida ni kama umelogwa au umejifungia kimtazamo kwa mmoja.
 
Mimi cha kukusaidia.
Nipe namba yake, na mimi natafuta wife materials.
Umri nitakuwa nimemzidi miaka kadhaa.

Tutakuwa tunakusapoti kama mdogo wetu pia. Ukidhingatia wwe bado unasoma.


Kama hauwezi kuniunganisha nae fanya hivi;

Kaa nae chini mueleze kama hawezi kukusubiri, aolewe na hao wengine. Na iwe mwanzo na mwisho, kukisimulia habari za wanaomtongoza.
 
Cha msingi option nyepesi muache tu (Kuwa mwepesi kumwelekeza hali YAKO ya sasa unasoma na bado mpambanaji)
Ni kitu kigumu kukubali na kinauma Sana ,pia mwamini Mungu naye atatengeneza njia kwa ajili YAKO
 
Nimeishia hapo kwenye 2001 ndo balehe bado inachanganya ukikua utaacha penye kutumia akili usitumie hisia
Yangu ni hayo mwisho uamzi ni wako boss
 
Sikia mdogo wangu mwambie ukweli huyo manzi yako kuwa wewe saiv bado upo kwenye harakati kwaiyo mruhusu aolewe huyo sio level yako komaa na kitabu mbeleni huko utapata mahusiano safi ukiwa vizuri kiuchumi na hautakuwa na stress yoyote muache aende atakusumbua huyo mbeleni muache saiv bado mapema na wewe umalize chuo salama mungu atakupa tu wako huyo sio wako huu ndo ukweli mdogo wangu
Nashukuru sana
 
Mwache aolewe
Wakuu nipeni ushauri mdogo wenu.

Nipo kwenye mahusiano na huyu binti kimsingi tulianza mahusiano kipindi nipo mwaka wa kwanza chuoni (hivi sasa nipo mwaka wa pili), lakini yeye tayari hivi sasa kamaliza masomo na yupo nyumbani (amesoma Diploma ya clinical medicine).

Lengo la mahusiano yetu ni badae tuanzishe familia kwa pamoja (kufunga ndoa).

Umri wake ni mkubwa kwangu, ananizidi miaka miwili mimi ni wa 2001

Ni zaidi ya mara nne sasa huyu binti ananambia kuna wanaume ambao wana muapproach kwaajili ya kumuoa, hata rafiki zake wa kike mara nyingi huniambia kuwa huyu binti ana windwa na wanaume wengi tena ambao wapo seriously na wenye maisha yao.

Ofcourse hata mimi naweza ku confirm hicho kitu, maana she is beautiful pia ana akili na ufahamu mzuri, she is completely a wife material.

Jana usiku amenitumia screenshot za chating za jamaa ambae ni engineer, jamaa anamwambia kabisa anataka kumuoa mwakani na yupo serious.

Ugumu unakuja hapa, mimi bado nipo chuo tena maisha yangu ni kawaida sana, na nyumbani kwetu hali si nzuri hata kidogo, kiufupi bado nina safari ndefu sana ya kujitafuta kimaisha.

Naona kabisa huyu binti nitamchelesha kwenye maisha anayotaka, na yeye anajua hali yangu hiyo. Natamani kumwambia akubali hao wanaomchumbia lakini sijui atapokea vipi, mana tunapendana, na mimi ninapotazama safari ya maisha yangu bado naona ukungu na giza kubwa sana.

Sitaki kumzibia riziki huyu binti, najua ananipenda na mimi pia nampenda sana.

Hapa nipo njia panda, sijui nifanye maamuzi gani kwa manufaa ya kila upande.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anakuandaa mapema ili ikitokea amefanya maamuzi ya ajabu ! usishangae !
Mwache aolewe ni jambo sahihi wewe hapo bado una miaka kama minne mbele ya kujitafuta angalau ukae mkao !!!
 
Suala la kuchagua liko juu yake,na wala si busara kukwambia utopolo huo,sasa hapo maturity unayoisemea iko wapi?sio kazi yako kuangalia kama unampotezea mda yeye ndo mwenye kuangalia kitu inayomfaa

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom