Kwa nini Maaskofu waliyakalia kimya mambo haya?

Walinyang'anywa Shule zao wakakaa kimya

Walinyang'anywa Hospitali zao wakakaa kimya.

Walinyang'anywa vyuo vyao wakakaa kimya.

Leo waliosoma kwenye shule walizonyang'anywa ndio hao hao wanaosema kuwa maaskofu wanachanganya dini na Siasa.

Wale wale wanaotumia Hospitali za Kanisa badala ya kujenga za umma ndio hao hao wanaosema Kanisa linapendelewa na Serikali kupewa ruzuku ya kuziendeshea Hospitali hizo.

Wanasiasa waliodhulumu mali za Kanisa ndiyo hao hao leo wanawaambia Maaskofu wasichanganye Dini na Siasa.

Anayesema hivyo ni Mwanasiasa Muislam akiwa kwenye madhabahu ya Kanisa.

Yeye kimempeleka nini kanisani wakati siyo mkristo? Siyo yeye ndiye anayepeleka Siasa kanisani?
Kilichosainiwa na Magufuli ni ngumu sana kukipuuza, jamii itakuzomea mpaka ukome, muulize Makamba alipoleta tantarila kwenye bwawa.
 
Kilichosainiwa na Magufuli ni ngumu sana kukipuuza, jamii itakuzomea mpaka ukome, muulize Makamba alipoleta tantarila kwenye bwawa.
Kitu gani unazungumzia??

Maana sielewi ni nini kilichosainiwa na magufuli.
 
Sheria ilitungwa ili njia zote kuu za uchumi kuwa mali ya umma na ndipo lilizaliwa Azimio la Arusha. Kumbuka hata viongozi na watumishi wa umma walizuiwa kuwa na nyumba za kupangisha. Waarabu na wahindi walitaifishiwa nyumba zao zilizozidi thamani ya kitu kama laki moja na kukabidhiwa NHC.
Hzi mali nyingi zilitaifishwa kuanzia mwaka 1972.

Lakini Kwa Nini zilitaifishwa?
 
Hzi mali nyingi zilitaifishwa kuanzia mwaka 1972.

Lakini Kwa Nini zilitaifishwa?
Mali zilianza kutaifishwa mwaka 1967 na sababu nimekwisha kueleza kuwa Azimio la Arusha lilitaka njia kuu zote za uchumi kuwekwa chini umiliki wa umma. Kwa hiyo nyumba, viwanda, mabenki, shule, hospitali, mashamba nk yalitaifishwa!
 
Mali zilianza kutaifishwa mwaka 1967 na sababu nimekwisha kueleza kuwa Azimio la Arusha lilitaka njia kuu zote za uchumi kuwekwa chini umiliki wa umma. Kwa hiyo nyumba, viwanda, mabenki, shule, hospitali, mashamba nk yalitaifishwa!
Azimio la Arusha lilitangazwa mwaka 1967 Lakini mashule na Hospitali za Kanisa zilichukuliwa mwaka 1972.
 
Azimio la Arusha lilitangazwa mwaka 1967 Lakini mashule na Hospitali za Kanisa zilichukuliwa mwaka 1972.
Sasa unachobisha ni nini? Siyo kwamba baada ya tangazo vitu vyote viliwekwe chini ya serikali, kulikuwa na mchakato ambao ulitakiwa kukamilika. Moja ya vitu hivyo ni fedha za kuendeshea pamoja na kuwaingiza watumishi wa hizo shule,hospitali, mashamba, migodi nk katika ajira za serikali.
 
Sasa unachobisha ni nini?
Imekuwaje umeona nabisha? Kwa nini watanzania tunapenda kuona watu wenye mawazo tofauti na sisi kuwa wanabisha?

Utaifishaji Wa shule na Hospitali za Kanisa haukutokea kutokana na Azimio la Arusha.

Historia haisemi hivyo!!
 
Walinyang'anywa Shule zao wakakaa kimya

Walinyang'anywa Hospitali zao wakakaa kimya.

Walinyang'anywa vyuo vyao wakakaa kimya.

Leo waliosoma kwenye shule walizonyang'anywa ndio hao hao wanaosema kuwa maaskofu wanachanganya dini na Siasa.

Wale wale wanaotumia Hospitali za Kanisa badala ya kujenga za umma ndio hao hao wanaosema Kanisa linapendelewa na Serikali kupewa ruzuku ya kuziendeshea Hospitali hizo.

Wanasiasa waliodhulumu mali za Kanisa ndiyo hao hao leo wanawaambia Maaskofu wasichanganye Dini na Siasa.

Anayesema hivyo ni Mwanasiasa Muislam akiwa kwenye madhabahu ya Kanisa.

Yeye kimempeleka nini kanisani wakati siyo mkristo? Siyo yeye ndiye anayepeleka Siasa kanisani?
Zuzu wewe
 
Walinyang'anywa Shule zao wakakaa kimya

Walinyang'anywa Hospitali zao wakakaa kimya.

Walinyang'anywa vyuo vyao wakakaa kimya.

Leo waliosoma kwenye shule walizonyang'anywa ndio hao hao wanaosema kuwa maaskofu wanachanganya dini na Siasa.

Wale wale wanaotumia Hospitali za Kanisa badala ya kujenga za umma ndio hao hao wanaosema Kanisa linapendelewa na Serikali kupewa ruzuku ya kuziendeshea Hospitali hizo.

Wanasiasa waliodhulumu mali za Kanisa ndiyo hao hao leo wanawaambia Maaskofu wasichanganye Dini na Siasa.

Anayesema hivyo ni Mwanasiasa Muislam akiwa kwenye madhabahu ya Kanisa.

Yeye kimempeleka nini kanisani wakati siyo mkristo? Siyo yeye ndiye anayepeleka Siasa kanisani?
Alowanyanganya si alikua mgalatia mwenzenu lakini?

Mbona mliogopa kumwambia kipindi hicho halafu akaja Muislamu akawrudishia

Jaribuni kuwaheshimu waislamu enyi wagalatia
 
Alowanyanganya si alikua mgalatia mwenzenu lakini?

Mbona mliogopa kumwambia kipindi hicho halafu akaja Muislamu akawrudishia

Jaribuni kuwaheshimu waislamu enyi wagalatia
Huyo Muislam ni nani na alirudisha nini??

Hakuna dini ya wagalatia duniani. JIELIMISHE!!
 
Walinyang'anywa Shule zao wakakaa kimya

Walinyang'anywa Hospitali zao wakakaa kimya.

Walinyang'anywa vyuo vyao wakakaa kimya.

Leo waliosoma kwenye shule walizonyang'anywa ndio hao hao wanaosema kuwa maaskofu wanachanganya dini na Siasa.

Wale wale wanaotumia Hospitali za Kanisa badala ya kujenga za umma ndio hao hao wanaosema Kanisa linapendelewa na Serikali kupewa ruzuku ya kuziendeshea Hospitali hizo.

Wanasiasa waliodhulumu mali za Kanisa ndiyo hao hao leo wanawaambia Maaskofu wasichanganye Dini na Siasa.

Anayesema hivyo ni Mwanasiasa Muislam akiwa kwenye madhabahu ya Kanisa.

Yeye kimempeleka nini kanisani wakati siyo mkristo? Siyo yeye ndiye anayepeleka Siasa kanisani?
Ukisema hivyo utakwama bwana mdogo. Hivyo vishule na vizahanati vya makanisa walivyojengewa na nchi za Magharibi ni cha mtoto.
Waiaslam nao watadai yafuatayo:
1. Fursa zote serikalini zigawanywe pasu kwa pasu baina ya waislamu na wakristo kwa kuwa ndo waliotoa mchango mkubwa katika kupigania uhuru wa nchi hii

2. Nyumba zote za NHC zilizotaifishwa kutoka kwa waislamu zirejeshwe.
3. Ikulu ya DSM pamoja na hospitali ya ocean road virejeshwe upesi kwa waislamu kwani ni mali yao.
4. Hospitali ya Muhimbili ikabidhiwe kwa waislamu haraka sana kwani ni mali yao na wao ndo walioianzisha.
5. Kiwanja cha kanisa katoliki pale posta azania front kirejeshwe kwa waislamu kwani ulikuwa ni msikitini ila wakoloni wa kikristo walichukua na kukabidhi kwa wakatoliki kwa dhulma.
Kwa hiyo dogo tualia haya mambo yamekaa kimtego.
 
Ukisema hivyo utakwama bwana mdogo. Hivyo vishule na vizahanati vya makanisa walivyojengewa na nchi za Magharibi ni cha mtoto.
Waiaslam nao watadai yafuatayo:
1. Fursa zote serikalini zigawanywe pasu kwa pasu baina ya waislamu na wakristo kwa kuwa ndo waliotoa mchango mkubwa katika kupigania uhuru wa nchi hii

2. Nyumba zote za NHC zilizotaifishwa kutoka kwa waislamu zirejeshwe.
3. Ikulu ya DSM pamoja na hospitali ya ocean road virejeshwe upesi kwa waislamu kwani ni mali yao.
4. Hospitali ya Muhimbili ikabidhiwe kwa waislamu haraka sana kwani ni mali yao na wao ndo walioianzisha.
Wewe unasikiliza porojo sio.

Watu Wa Aga Khan unaamini ni waislam??

Halafu Kwa nini ajira zigawanywe kwa kufuata misingi ya dini? Kule Zanzibar nako itawezekana?

Hivyo unavyoviita vizahanati na Vishule unajua ndiyo vimeiendeleza Taganyika??

Yaani zile haditihi kuwa wahindi waliataifishiwa majumba walikuwa ni waislam umezikariri??

Wakati Kanisa kama taasisi walinyang'anywa mali zao, hao unaowaita "waislam" hawakuwa Taasisi.
 
Nimekulia katika Usabato, sikuwahi kuona asiye Msabato akialikwa kutoa neno mimbarani. Ilikuwa marufuku hata Kwa wanawake kuhubiri kama ilivyo kwenye 1Wakor 14:34. Wakati Kanisa likijisimamia wageni wa heshima walikuwa Wachungaji toka Kanisa au Mtaa mwingine. Leo wasabato wamekuwa wa kualika (wa Mataifa) kutoa neno Kanisani? Atakuhubiri nini Mtu asiyeamini Sawa na wewe? Au Wasabato na nyie mmesahau Ujumbe wa Malaika 3 mmeanza kutafuta utukufu wa kidunia?
Hao hawawezi kuwa Wasabato. Nawafahamu vema hao watu. Hao ni SDA
 
Wewe unasikiliza porojo sio.

Watu Wa Aga Khan unaamini ni waislam??

Halafu Kwa nini ajira zigawanywe kwa kufuata misingi ya dini? Kule Zanzibar nako itawezekana?

Hivyo unavyoviita vizahanati na Vishule unajua ndiyo vimeiendeleza Taganyika??

Yaani zile haditihi kuwa wahindi waliataifishiwa majumba walikuwa ni waislam umezikariri??

Wakati Kanisa kama taasisi walinyang'anywa mali zao, hao unaowaita "waislam" hawakuwa Taasisi.
Serikali irejesha mali yake ambapo.kanisa waliungwa mkono na serikali za kikoloni kwa kupitia kodi za watu wote ndo mkapata hivyo vidude vyenu. Soma wasome hawa halafu uje na pirojo zako tena hapa:
1. Mohamed Said.
2. John syvalon
3. Bergen.
4. Njozi katika Mwembechai killings.
Kisha uje tujadiliane hapa.
 
Mali za kanisa ila ulivyokuwa mjinga umetawaliwa miaka kibao na wazungu mpaka wamasambaza ustaarabu wao ,madhara kibao wameacha na kunyonya watu eti unapiga kelele mali za kanisa?
 
Wewe unasikiliza porojo sio.

Watu Wa Aga Khan unaamini ni waislam??

Halafu Kwa nini ajira zigawanywe kwa kufuata misingi ya dini? Kule Zanzibar nako itawezekana?

Hivyo unavyoviita vizahanati na Vishule unajua ndiyo vimeiendeleza Taganyika??

Yaani zile haditihi kuwa wahindi waliataifishiwa majumba walikuwa ni waislam umezikariri??

Wakati Kanisa kama taasisi walinyang'anywa mali zao, hao unaowaita "waislam" hawakuwa Taasisi.
😅😅😅Umekurupuka mwambie mgalatia arudishe viwanda kule Tanga si aliviua kabisa ....
 
Back
Top Bottom