Teh teh halafu haina mkopo
pole ila usikate tamaa issue hapo division yako ndo itafanya kaz vp kwan wanatoa lin matokeo?
Sasa kama kuna competition namna hiyo,walikua wana haja gani ya ku2andika watu wote hao eligible,c wangewaandkia 2 hao hamsin eligible,sisi wengne wangetuandkia not eligible ili 2jijue kabisa?
nina dv 2,sasa hapo kuna kupona kweli?
Ndugu imekula kwako maana nilivyochek results za kibaha mzumbe na ilboru pcm zimepiga ni balaaa tena one kalikali So we endelea kumuomba Mungu ila kwa udhoefu wangu mdogo hapo umetoka kweupe
we hapo kama huna div 1 ya point 5 mpk 7 hulambi kitu unatoka mweupe