Mi mkongwe sana humu jf ila ndo hvyo,mambo ya ID tena okay iko hiv
Mi nilisoma hapo udsm, miaka hyo ya 2009-13
Aisee ni moja ya vijana tuliopata matokeo mazur 6,sio TO lakin.
Ila ni kijana niliotoka na GPA ndogo kinoma ila sio kesi...
Siko bongo mwaka wa 4+ huu..niko ughaibun..
Ni hiv..mim ni moja ya walioenda chuo kukua na sio kusoma..ingawa ni genius najijua ila nilichoka u john kisomo..toka primary mi ni GradeA student.
Enewei
Nmekula bata sana chuo wadau..saaana.
Niliishi main campus first year, moja ya yale ma hall maref (4 /5) stak sema lip wadau watacrack bure.
Then nkaenda bibo, then nkakaa uswaz from 3rd yr to 4th yr..pika pakua na demu wangu aisee.
Hakuna kijiwe cha kitimoto tusichokijua, halaf ilikua couple maaruf chuo pale kuanzia chocho za survey. Changanyiken, bibo, mwenge, sinza meeda kule, ambienga, kuku wa ambiance ile ya enz zile si mchezo.
Kiufup yule dem nilikua kama nimeoa (ni X sasa kaolewa ila ukiona chat zetu had leo unaweza pata heart attack kama ni mumewake) anyway Ma X huwa hiv sometime.(Off point)
Club sasa
1. Savanah, moja iko posta nyingne iko quality centre.
2. Maisha club
3. Bills
4. Sansiro kamanyola pale sinza si mchezo.
5. Suncity, nadhan kigambon ile,.wet n wild, kiota, koko, beach mavi za mikochen zile na msasani,kawe beach mamamamaaaa hapa ndo hatar..enzi hzo sio kidimbwi hii mnaenda skuhiz, silversands
6. Mbalamwezi
7. Katalunya
8. Etc etc etc
Nyie yale maisha si mchezo.
Sjawai kosa sup miaka yote mi4
Cant complain, maisha ndo haya haya ndugu zangu.
Sasa hiv nabeba box huku maisha yanasonga.
Mi nilisoma hapo udsm, miaka hyo ya 2009-13
Aisee ni moja ya vijana tuliopata matokeo mazur 6,sio TO lakin.
Ila ni kijana niliotoka na GPA ndogo kinoma ila sio kesi...
Siko bongo mwaka wa 4+ huu..niko ughaibun..
Ni hiv..mim ni moja ya walioenda chuo kukua na sio kusoma..ingawa ni genius najijua ila nilichoka u john kisomo..toka primary mi ni GradeA student.
Enewei
Nmekula bata sana chuo wadau..saaana.
Niliishi main campus first year, moja ya yale ma hall maref (4 /5) stak sema lip wadau watacrack bure.
Then nkaenda bibo, then nkakaa uswaz from 3rd yr to 4th yr..pika pakua na demu wangu aisee.
Hakuna kijiwe cha kitimoto tusichokijua, halaf ilikua couple maaruf chuo pale kuanzia chocho za survey. Changanyiken, bibo, mwenge, sinza meeda kule, ambienga, kuku wa ambiance ile ya enz zile si mchezo.
Kiufup yule dem nilikua kama nimeoa (ni X sasa kaolewa ila ukiona chat zetu had leo unaweza pata heart attack kama ni mumewake) anyway Ma X huwa hiv sometime.(Off point)
Club sasa
1. Savanah, moja iko posta nyingne iko quality centre.
2. Maisha club
3. Bills
4. Sansiro kamanyola pale sinza si mchezo.
5. Suncity, nadhan kigambon ile,.wet n wild, kiota, koko, beach mavi za mikochen zile na msasani,kawe beach mamamamaaaa hapa ndo hatar..enzi hzo sio kidimbwi hii mnaenda skuhiz, silversands
6. Mbalamwezi
7. Katalunya
8. Etc etc etc
Nyie yale maisha si mchezo.
Sjawai kosa sup miaka yote mi4
Cant complain, maisha ndo haya haya ndugu zangu.
Sasa hiv nabeba box huku maisha yanasonga.