Kwa Makala Hii ya Daraja la Kigamboni Mwanakijiji Kachemsha

Mchambuzi, Waberoya,

..sidhani kama WB waliishauri serikali iuze nyumba za serikali plus plots kwa bei ya hasara kiasi kile.

..zaidi sidhani kama WB tena waliishauri serikali ijenge nyumba nyingine kwa bei ya kuruka.

..mara nyingi Watanzania tunaboronga wenyewe halafu tunawasingizia WB na IMF.
 
Serikali kumiliki nyumba nyingi so sahihi, lakini kuziuza kwa bei ya chini pia haikuwa sahihi, badala yake zingepelekwa National Housing, huku serikali ikibakisha nyumba chache kwa ajili ya viongozi kadhaa. Lakini obviously mpango huu uka back-fire both kisiasa lakini pia kimantiki tu kwani ilianza kuwa ngumu kwa mawaziri wapya au makatibu wakuu to commute from kiluvya, kigamboni etc, pamoja na argument kuhusu usalama wa viongozi huko kwenye makazi yao; It back fired just like advice za WorldBank na IMF kuhusu serikali kujitoa kwenye elimu, afya, etc, only for them to ask the government kurudi tena, na ndio maana tunaona shule za kata etc. WorldBank na IMF wana nguvu katika maamuzi yetu kwa sababu moja tu - we depend on their finance kwenye bajeti yetu ya maendeleo na ya kulipa mishahaar watumishi wa serikali. Ni hilo tu. Tukijikwamua toka kwenye hilo, tutapiga hatua kubwa sana na kumbakisha mdudu mmoja tu - WTO;
Nina hakika hilihalikufanyika bila utaalam na wataalam. Kilichotokea ni kuwa wanasiasa walijua kuwa wao ndio watakaofaidika na mpango huo. Hakuna aliye raise concern au kusimamia concern kama ilitolewa na wataalam.

Ilikuwa rahisi kujiuliza , 'sisi mawaziri tutaishi wapi na usalama wetu utakuwaje'. Kuanzia hapo jibu lingekuwa wazi.
Uwezekano wa kurudisha NHC haukuwepo kwasababu ungeingilia mpango mzima wa jinsi walivyojipanga kugawana nyumba.

WB wanachukizwa ziadi na kujenga nyumba ghali kwa mantiki yako kuwa wanataka kile kidogo wakichukue.
Hata hivyo tukubali kuwa WB hawatuzuii kufikiri, na tumekuwa wepesi sana wa kuwalaumu hata kwa mambo yaliyo katika uwezo wetu

WB wametumika kuhallaisha uuzaji wa nyumba kwa njia ya sadaka na kukwepa njia muafaka.

Mimi sikubaliani na neno 'back fire' kwasababu hii haikuwa coincidence, ilikuwa ni well calculated, designed and executed move under the usual banner of moral decay.
 
Back
Top Bottom