JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
Mchambuzi, Waberoya,
..sidhani kama WB waliishauri serikali iuze nyumba za serikali plus plots kwa bei ya hasara kiasi kile.
..zaidi sidhani kama WB tena waliishauri serikali ijenge nyumba nyingine kwa bei ya kuruka.
..mara nyingi Watanzania tunaboronga wenyewe halafu tunawasingizia WB na IMF.
..sidhani kama WB waliishauri serikali iuze nyumba za serikali plus plots kwa bei ya hasara kiasi kile.
..zaidi sidhani kama WB tena waliishauri serikali ijenge nyumba nyingine kwa bei ya kuruka.
..mara nyingi Watanzania tunaboronga wenyewe halafu tunawasingizia WB na IMF.