Kwa Makala Hii ya Daraja la Kigamboni Mwanakijiji Kachemsha

Waberoya

Platinum Member
Aug 3, 2008
15,169
10,785
Nakala hii imebeba mambo matano makubwa

1. Historia ya daraja la kigamboni
2. Ufisadi
3. Uwezo na tabia ya magufuli
4. NSSF na kutoa misaada
5. UUzwaji wanyumba za serikali


Update:

1. Imeeleweka na muanzisha thread kuwa MMKJJ hakupeleka ile nakala Mwanahalisi, mwanahalisi waliichukua nakala yake kutoka Tanzania Daima na kuifanyia editing

2. Tunajadili sasa nyumba za serikali kwa nini ziliuzwa

3. Umuhimu wa daraja la Kigamboni



Haijalishi kwani kama lengo lao ni kumchafua magufuli, hayo magazeti yao - ni asilimia 21% tu ya watanzania ambao source zao za news ni magazeti, tena on a weekly basis, not daily basis. Na hawa 21% ni pamoja na wale wanaoambiwa na ndugu, jamaa na marafiki zao kwamba gazeti fulani limeandika hiki na kile. Otherwise magazeti hayafikii zaidi ya 2% of the population on a daily basis. Habari hizo waziweke basi angalau front page, sio ndani kwani hata wewe umeikuta kwa bahati mbaya. Zikikaa mbele, basi katika pita pita ya vichwa vya habari kwenye radio zinazokamata nchi nzima majira ya asubuhi, angalau umma utasikia vijembe hivyo vinavyokusudiwa na wahusika, kwani zaidi ya 70% ya watanzania, source yao za habari ni radio (za simu na za kawaida combined, na mara nyingi huwa ni asubuhi.

Vinginevyo hata kama nani.... angekuwa ndiye Waziri wa ardhi, nyumba za serikali zingeuzwa tu. Inasemekana WorldBank ndio walioshinikiza hilo baada ya kuona serikali inapoteza fedha nyingi to maintain them, but only to build them again later baada ya malalamiko kuanza kuleta athari za kisiasa. But the bottom line is, serikali haistahili kumiliki utitiri wa nyumba namna ile, unless zingepelekwa kwa national housing ili zisaidie shirika lile kufanikisha malengo yake mbalimbali.

Magufuli na EPA, is a non - starter.

Magufuli na Kigamboni - pengine kinachowaumiza ni kwamba huo ni moja ya miradi michache inayoonekana kwamba itatekelezwa na serikali ya awamu ya nne, nje ya mradi wa richmond.







My take:

Daraja la Kigamboni halina faida kwa Tanzania ya sasa inayoanzia Kigoma mpaka Dar, inayoanzia Nachingwea mpaka Biharamulo!!! ukisasa huu tunaoutafuta hatuja tengeneza foundation yake.

Daraja hili ni mradi wa watu wachache ili watimize ndoto yao ya kijenga jiji la kimataifa! is not ours


MODS NAOMBA TITLE YANGU YA AWALI IRUDI.....I expected this!
 
Waberoya,

..basi na daraja la Kigamboni nalo itabidi mseme kwamba ni uamuzi wa baraza la mawaziri na Magufuli hastahili pongezi zozote zile.

..kwanza ni lazima uelewe kwamba nyumba za serikali zilikuwa chini ya mamlaka na dhamana ya wizara iliyokuwa ikiongozwa na Waziri Magufuli.

..maamuz ya baraza la mawaziri hufikiwa baada ya Waziri mhusika kuwasilisha hoja, na kuitetea, mbele ya kikao cha baraza la mawaziri.

..kwa msingi huo Magufuli ndiyo alilishawishi baraza la mawaziri lichukue uamuzi kuidhinisha uuzwaji wa nyumba za serikali kwa bei poa.

..pamoja na hayo, Magufuli alikwenda mbali zaidi na kulidanganya bunge kwamba uuzaji wa nyumba kwa bei poa ulikuwa ni kwa maslahi ya taifa, pia ungeleta faida kwa serikali, na ku-generate fedha za kutosha kujenga nyumba mpya za watumishi wa serikali.

..mwisho, Magufuli alikiuka maagizo ya baraza la mawaziri kwa kuuza baadhi ya nyumba kwa watu wasiostahili kama ndugu zake pamoja na vimada.

NB:

..kama Magufuli anadai alikuwa haungi mkono zoezi lile, basi ajitakase yeye binafsi kwa kurudisha serikali nyumba aliyojitwalia. zaidi awaelekeze ndugu zake, pamoja na vimada wake, nao warejeshe nyumba hizo serikalini.
 
Pamoja na kwamba lengo lako ni kumtetea Magufuli, lakini ukweli ni kwamba
Hasira za watumishi wa Serikali na mashirika ya uma (ambao asilimia kubwa wanateseka
na adha ya nyumba za kuishi wakati nyumba walizogawana akina Magufuli zimepangishwa
au zipo wazi na walinzi tu), haziwezi kufichwa...Itakumbukwa jinsi wakati ule alivyojibu kwa kejeli(kama ilivyo kawaida yake)
wale waliohoji uuzwaji wa nyumba za Serikali, huu ni mpango aliouanzisha mwenyewe na kupata baraka za BM.
Majibu aliyoyatoa kwa Wanakigamboni hivi majuzi yanakumbusha alivyouza nyumba zetu
Mpaka leo Serikali haijaweza kujenga japo nusu ya nyumba alizoziuza...Kweli huu ni ujasiri wa kifisadi
 
Waberoya,

..basi na daraja la Kigamboni nalo itabidi mseme kwamba ni uamuzi wa baraza la mawaziri na Magufuli hastahili pongezi zozote zile.

..kwanza ni lazima uelewe kwamba nyumba za serikali zilikuwa chini ya mamlaka na dhamana ya wizara iliyokuwa ikiongozwa na Waziri Magufuli.

..maamuz ya baraza la mawaziri hufikiwa baada ya Waziri mhusika kuwasilisha hoja, na kuitetea, mbele ya kikao cha baraza la mawaziri.

..kwa msingi huo Magufuli ndiyo alilishawishi baraza la mawaziri lichukue uamuzi kuidhinisha uuzwaji wa nyumba za serikali kwa bei poa.

..pamoja na hayo, Magufuli alikwenda mbali zaidi na kulidanganya bunge kwamba uuzaji wa nyumba kwa bei poa ulikuwa ni kwa maslahi ya taifa, pia ungeleta faida kwa serikali, na ku-generate fedha za kutosha kujenga nyumba mpya za watumishi wa serikali.

..mwisho, Magufuli alikiuka maagizo ya baraza la mawaziri kwa kuuza baadhi ya nyumba kwa watu wasiostahili kama ndugu zake pamoja na vimada.

NB:

..kama Magufuli anadai alikuwa haungi mkono zoezi lile, basi ajitakase yeye binafsi kwa kurudisha serikali nyumba aliyojitwalia. zaidi awaelekeze ndugu zake, pamoja na vimada wake, nao warejeshe nyumba hizo serikalini.

Asante sana Jokakuu kwa maelezo mazuri. mara nyingi huwa tunaongea hoja zetu bila kufanyia utafiti wa kina. Haya maelezo yako yanatoa mwanga kwa mtoa mada kuchimbua zaidi ili thread yake iweze kueleweka anataka kufikisha ujumbe gani.
 
Its like we are being compelled by the presenter to discuss an individual, and not the matters....to dance to his death-song!...huh!....Thanks Jokakuu for your outlook!
 
Its like we are being compelled by the presenter to discuss an individual, and not the matters....to dance to his death-song!...huh!....Thanks Jokakuu for your outlook!
Acha hizo PJ, uko kama huyu
05AprHawaii_Resort_Hen_chick.sized.jpg
 
Hivi ni lazima uandike nakala kama huna cha kuandika???
Mkuu Waberoya, kwanza welcome back.
MMKJJ ni writer, the only time when he has nothing to write its the time when he stops thinking.

Hata ma great writers wengi walianza kwa kuandika madudu ila pia hata ikiandika madudu kiasi gani bado kuna readers hiyo ndio taste yao ndio maana kuna kina James Hadley Chase au familia za Millis and Bones huku kuna kina Robert Ladlum. Fredrick Forth and the like na wote sio tuu wana wasomaji bali wana followers!. So do MMKJJ ana readers na followers wake kule na humu!.

Japo binafsi sikuisoma hiyo makala ila jamaa namkubali kama one among the best jf has!.

Karibu tena!.
 
hili daraja la kigamboni linaonekana kutomfurahisha mwanakijiji na haswa kwamba na ya awamu ya nne linajengwa.upande mmoja tunaambiwa ilikuwa ni idea ya nyerere na anatakiwa asifiwe kwa hilo na kuona mbali.upande mwengine tunaambiwa halina tija kwa taifa so which is which.huku idea inasifiwa sababu nyerere ndo aliitoa huku ujenzi unapingwa hauna tija.

mkijij anajulikana mapenzi yake makubwa kupitiliza juu ya nyerere hakuna baya kwake na atajitahidi kwa nguvu zake zote atetee hata km ukweli upo wazi.so ukimjua msimamo wa mtu hutapata shida ukisoma makala yake utachambua na kuweka ktk mizani iliyosawa ili upate inform sahihi
 
Waberoya,

..basi na daraja la Kigamboni nalo itabidi mseme kwamba ni uamuzi wa baraza la mawaziri na Magufuli hastahili pongezi zozote zile.

..kwanza ni lazima uelewe kwamba nyumba za serikali zilikuwa chini ya mamlaka na dhamana ya wizara iliyokuwa ikiongozwa na Waziri Magufuli.

..maamuz ya baraza la mawaziri hufikiwa baada ya Waziri mhusika kuwasilisha hoja, na kuitetea, mbele ya kikao cha baraza la mawaziri.

..kwa msingi huo Magufuli ndiyo alilishawishi baraza la mawaziri lichukue uamuzi kuidhinisha uuzwaji wa nyumba za serikali kwa bei poa.

..pamoja na hayo, Magufuli alikwenda mbali zaidi na kulidanganya bunge kwamba uuzaji wa nyumba kwa bei poa ulikuwa ni kwa maslahi ya taifa, pia ungeleta faida kwa serikali, na ku-generate fedha za kutosha kujenga nyumba mpya za watumishi wa serikali.

..mwisho, Magufuli alikiuka maagizo ya baraza la mawaziri kwa kuuza baadhi ya nyumba kwa watu wasiostahili kama ndugu zake pamoja na vimada.

NB:

..kama Magufuli anadai alikuwa haungi mkono zoezi lile, basi ajitakase yeye binafsi kwa kurudisha serikali nyumba aliyojitwalia. zaidi awaelekeze ndugu zake, pamoja na vimada wake, nao warejeshe nyumba hizo serikalini.

Then the title were supposed to be 'about magufuli and the house' kazungumza vitu vingi mno, havina connection, mkuu tafuta gazeti soma, ni aibu! siyo mwanakijiji yule! sina lengo la kumtetea magufuli....soma signature yangu utanielewa!
 
Mkuu Waberoya, kwanza welcome back.
MMKJK ni writer, the only time when he has nothing to write its the time when he stops thinking.

Hata ma great writers wengi walianza kwa kuandika madudu ila pia hata ikiandika madudu kiasi gani bado kuna readers hiyo ndio taste yao ndio maana kuna kina James Hadley Chase au familia za Millis and Bones huku kuna kina Robert Ladlum. Fredrick Forth and the like na wote sio tuu wana wasomaji bali wana followers!. So do MMKJJ ana readers na followers wake kule na humu!.

Japo binafsi sikuisoma hiyo makala ila jamaa namkubali kama one among the best jf has!.

Karibu tena!.

You don't need to have followers, you need to feed hungry mind, mimi ni follower wake, ila kama chakule ni kile, basi kimechakachuliwa! lazima kuna emotional au saikolojiko problem somewhere! atapike tu kila kitu!
 
]..mpaka sasa hivi sijui faida za ujenzi wa hili daraja ni zipi[/B].

..je, ktk madaraja yote yanayotakiwa kujengwa, hili la kigamboni lina umuhimu kuzidi hayo mengine?

that could be a topic1
maswali mengine, ambayo nilitegema angem'bana magufuli ni kwanini daraja hili lijengwe baada ya mpango wa kuanzisha ule mji wa kisasa???

I insist the article was not consistent
 
Pamoja na kwamba lengo lako ni kumtetea Magufuli, lakini ukweli ni kwamba
Hasira za watumishi wa Serikali na mashirika ya uma (ambao asilimia kubwa wanateseka
na adha ya nyumba za kuishi wakati nyumba walizogawana akina Magufuli zimepangishwa
au zipo wazi na walinzi tu), haziwezi kufichwa...Itakumbukwa jinsi wakati ule alivyojibu kwa kejeli(kama ilivyo kawaida yake)
wale waliohoji uuzwaji wa nyumba za Serikali, huu ni mpango aliouanzisha mwenyewe na kupata baraka za BM.
Majibu aliyoyatoa kwa Wanakigamboni hivi majuzi yanakumbusha alivyouza nyumba zetu
Mpaka leo Serikali haijaweza kujenga japo nusu ya nyumba alizoziuza...Kweli huu ni ujasiri wa kifisadi

Tunafanya nini sasa baada ya kujua kuwa magufuli aliuza nyumba?? AOMBE MSAMAHA?? mwanakiji ndiyo katoa hiyo solution!!! LMAO!!!
 
Waberoya karibu saana.......
hizi doubts ulizo nazo kwa Mwanakijiji hata mimi nakuunga mkono

nahisi kuna kitu hatukijui


Tatizo ana watu kama 'cult followers'
c
hochote akisema kinaungwa mkono...

asante kwa kuliona hilo

tunawaona mkuu....Believe me, mwanakiji is better than that!

aseme tu alicho nacho, atapike tutamsaidia...ila kuua brain za watanzania kwa article nyepesi na hafifu kutoka kwake is not fair,

si kwa mnunuzi tu hata kwake mwenyewe. He is a mentor and brainy...lakini ile article haina kichwa wala miguu, pengine akina kubenea wamekosea jina la mwandishi!

so sad
 
Its like we are being compelled by the presenter to discuss an individual, and not the matters....to dance to his death-song!...huh!....Thanks Jokakuu for your outlook!

na wewe una discuss na kukubaliana alichoandika Joka kuu, it seems hujaelewa maada mkuu! Mwanakiji is better than that, if and only if you have an open mind!
 
na wewe una discuss na kukubaliana alichoandika Joka kuu, it seems hujaelewa maada mkuu! Mwanakiji is better than that, if and only if you have an open mind!

Mwanakijiji na wewe unamkuza sana bana! aagh

Huyu hawezi kuandika story zake zaidi ya kulenga yafuatayo:-

a. Pro nyerereism b. Against wazanzibar (wanaopinga muungano) c. Against JK d. Islamophobia

Tangu aanze kuandika na atabaki hivyo kwasababu ni maradhi yake makubwa hana lolote..
 
Back
Top Bottom