Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,785
Nakala hii imebeba mambo matano makubwa
1. Historia ya daraja la kigamboni
2. Ufisadi
3. Uwezo na tabia ya magufuli
4. NSSF na kutoa misaada
5. UUzwaji wanyumba za serikali
Update:
1. Imeeleweka na muanzisha thread kuwa MMKJJ hakupeleka ile nakala Mwanahalisi, mwanahalisi waliichukua nakala yake kutoka Tanzania Daima na kuifanyia editing
2. Tunajadili sasa nyumba za serikali kwa nini ziliuzwa
3. Umuhimu wa daraja la Kigamboni
My take:
Daraja la Kigamboni halina faida kwa Tanzania ya sasa inayoanzia Kigoma mpaka Dar, inayoanzia Nachingwea mpaka Biharamulo!!! ukisasa huu tunaoutafuta hatuja tengeneza foundation yake.
Daraja hili ni mradi wa watu wachache ili watimize ndoto yao ya kijenga jiji la kimataifa! is not ours
MODS NAOMBA TITLE YANGU YA AWALI IRUDI.....I expected this!
1. Historia ya daraja la kigamboni
2. Ufisadi
3. Uwezo na tabia ya magufuli
4. NSSF na kutoa misaada
5. UUzwaji wanyumba za serikali
Update:
1. Imeeleweka na muanzisha thread kuwa MMKJJ hakupeleka ile nakala Mwanahalisi, mwanahalisi waliichukua nakala yake kutoka Tanzania Daima na kuifanyia editing
2. Tunajadili sasa nyumba za serikali kwa nini ziliuzwa
3. Umuhimu wa daraja la Kigamboni
Haijalishi kwani kama lengo lao ni kumchafua magufuli, hayo magazeti yao - ni asilimia 21% tu ya watanzania ambao source zao za news ni magazeti, tena on a weekly basis, not daily basis. Na hawa 21% ni pamoja na wale wanaoambiwa na ndugu, jamaa na marafiki zao kwamba gazeti fulani limeandika hiki na kile. Otherwise magazeti hayafikii zaidi ya 2% of the population on a daily basis. Habari hizo waziweke basi angalau front page, sio ndani kwani hata wewe umeikuta kwa bahati mbaya. Zikikaa mbele, basi katika pita pita ya vichwa vya habari kwenye radio zinazokamata nchi nzima majira ya asubuhi, angalau umma utasikia vijembe hivyo vinavyokusudiwa na wahusika, kwani zaidi ya 70% ya watanzania, source yao za habari ni radio (za simu na za kawaida combined, na mara nyingi huwa ni asubuhi.
Vinginevyo hata kama nani.... angekuwa ndiye Waziri wa ardhi, nyumba za serikali zingeuzwa tu. Inasemekana WorldBank ndio walioshinikiza hilo baada ya kuona serikali inapoteza fedha nyingi to maintain them, but only to build them again later baada ya malalamiko kuanza kuleta athari za kisiasa. But the bottom line is, serikali haistahili kumiliki utitiri wa nyumba namna ile, unless zingepelekwa kwa national housing ili zisaidie shirika lile kufanikisha malengo yake mbalimbali.
Magufuli na EPA, is a non - starter.
Magufuli na Kigamboni - pengine kinachowaumiza ni kwamba huo ni moja ya miradi michache inayoonekana kwamba itatekelezwa na serikali ya awamu ya nne, nje ya mradi wa richmond.
My take:
Daraja la Kigamboni halina faida kwa Tanzania ya sasa inayoanzia Kigoma mpaka Dar, inayoanzia Nachingwea mpaka Biharamulo!!! ukisasa huu tunaoutafuta hatuja tengeneza foundation yake.
Daraja hili ni mradi wa watu wachache ili watimize ndoto yao ya kijenga jiji la kimataifa! is not ours
MODS NAOMBA TITLE YANGU YA AWALI IRUDI.....I expected this!