Gaga
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,558
- 1,968
Hivi the boss mwanamke akikutolea mimacho, na kukwambia akiyamungu nakuzimia kweli kila akikuona si utaogopa kabisahiyo ya kukwepesha macho ndo usiseme
unaweza fikiri hajakuona,kumbe kakukagua chini mpaka juu
womens bana lol
tunasubiria mwanaume aanzishe bana,japo kuna wanawake wanaanzishaga lakini waanaume lazima wanakuwa na maswali