Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
Mhe! c rahisi kujua kama hujamwonesha ila kama ushamwonesha kesha jua ila most of the woman hata akijua akwambii ng'oo! labda akiwa mwepesi na yeye isha anza kumwingia rohoni, atakuwa anajaa tu kingi kimya kimya ili akurahisishie, ( ndo kawaida yao) lakini ka mzito fulan hivi, kaka atakutegea mpaka useme usiposema ndo nitolee....ushauri wa binti mmoja down hapo kuwa mtoe out ni wa maana sana huko hata usiposema akikisha mazingira yenyewe yanasema, wewe uta konkuludi tu ze essay..lol
we Dumelang wewe,amtoe out mke wa mtu? Ukisikia ukware huo sasa ndo utakuwa ukware.