juniornduti
Member
- Aug 6, 2011
- 88
- 15
nimejifunza kitu hapa!
Mie huwa najiuliza sana hili swala la kufata moyo, hivi haiwezi siku moja moyo ukakudanganya?ndo maana mimi huwa nafuata moyo wangu tu....
Sifuati society inavyokwenda..
Unaweza jilazmisha kwenda the way watu wanataka
kumbe inakuumiza kuliko...
Mie huwa najiuliza sana hili swala la kufata moyo, hivi haiwezi siku moja moyo ukakudanganya?
na ikikutokea unafanyaje ku recover the boss
meona eee, hawajakosea kabisahapo wahindi wanasema,mioyo hii ina kichaa...
leo unakwambia fulani ndo mwenyewe,kesho moyo unakuambia mwingine..