The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,899
- Thread starter
- #41
married and older than you ,we boss weee,sasa naanza kuhisi kwa kufungua uzi huu kumbe una maana,ushindwe na ulegee!
ndo maana nikauliza
kama amenisoma na kunielewa
je na yeye karahisisha mambo?
Kwa sababu mimi yangu yaliishia moyoni mwangu..
Yeye kaanza mawasiliano...au nimemsoma vibaya?????