The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,080
Sawa Mtakatifu MODhehehe hivi mnajua kwamba mimi ni mtakatifu?, mkiona kesho mnataka kuingia JF lakini log in inakataa mtalazimika kwenda kuungama zambi zenu.
Sawa Mtakatifu MODhehehe hivi mnajua kwamba mimi ni mtakatifu?, mkiona kesho mnataka kuingia JF lakini log in inakataa mtalazimika kwenda kuungama zambi zenu.
hehehe hiyo "kijijini" iko nchi gani?
Bwagamoyo...
Huo ukataatifu uliununua bei gani vile?hehehe hivi mnajua kwamba mimi ni mtakatifu?, mkiona kesho mnataka kuingia JF lakini log in inakataa mtalazimika kwenda kuungama zambi zenu.
Nchi ya Loliondohehehe hiyo "kijijini" iko nchi gani?
sisi ndio tutakaofufuliwa baiolojia zetu zinang'ara kama tanzanite kwa kuepuka uzinifu hapa duniani, na tupo wachache sana hapa afrika mashariki. haleluyah!Huo ukataatifu uliununua bei gani vile?
Klorokwin ni Magufuli wa JFHuo ukataatifu uliununua bei gani vile?
karib hapa Johannesburg ukule ice cream na bbq, halaf naomba nifundishe mimi swahili, napata taab sana hapa JF ,kiswahili yangu sio muzurriBwagamoyo...
Nchi ya Loliondo
unamtania babu? kuna jamaa alimfanyia jokes babu maskani, sku ya pili kaamka kordani moja haionekani.
Kujisifia usafi ni kuficha uchafu!Ngoja nilale mapema leo!sisi ndio tutakaofufuliwa baiolojia zetu zinang'ara kama tanzanite kwa kuepuka uzinifu hapa duniani, na tupo wachache sana hapa afrika mashariki. haleluyah!
Ankal ngoja nisepe tukutane baadae tutakapokuwa tunamchezesha shamukwale Chelsii kwenye CL.unamtania babu? kuna jamaa alimfanyia jokes babu maskani, sku ya pili kaamka kordani moja haionekani.
Lizzy nakusubiria nimeishaanda kila kituKujisifia usafi ni kuficha uchafu!Ngoja nilale mapema leo!
mimi mwenywe nawahi ankal, jana tuliazibiwa vibaya wana wa spurs, leo acha nikazimue na mechi ya hawa wazembe wawili.Ankal ngoja nisepe tukutane baadae tutakapokuwa tunamchezesha shamukwale Chelsii kwenye CL.
Hivi wanaume nao wavae ili wavutie, au wanawake tu?
Dah! Makubwa Mwajuma and Nazjaz can you sort out yyour issues out of JFNAZJAZ....Toa picha yangu humu ndani.
Nishakuonya na I am sure nitakukamata. Usidhani wewe mjanja sana.
I have warned you. Acha upuuzi na ujinga. Unawekaje picha isokuwa yako na ambayo wala haina uhusiano na wewe?? nakuona uko online ujue ikifika kesho hujatoa picha yangu humu ndani utajutia siku uliyozaliwa na mamako.
Bastard Idiot!!! mjinga sana wewe. Huchagui wa kuchezea.
Dah! Makubwa Mwajuma and Nazjaz can you sort out yyour issues out of JF
Dah! Hili movie starring hafi leo wa kesho ngoja tuone lolEmbu tulia bwana...mi nataka kuona ngumi!
Na mimi nasubiria kuona punchlines maana hii kali kweliEmbu tulia bwana...mi nataka kuona ngumi!