The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,607
- 6,071
Lizzy unakumbuka zile ngumi za primary na secondary
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mh labda nyie wasichana mwenzangu, mume umeishi nae miaka nenda rudi ana muda wa kukuvua nguo saa ngapi, ila kama uko kwenye uhisiano mgeni au ndoa changa labda watajaribu ila huko mbelembele anapapasa anaona una nguo huyooooo anaanza kukoroma, kesho yake utaona kama utavaa tenaKila kitu kina ladha yake jamani kuvuliwa nguo kuna raha na hamasa yake na kulala bila nguo pia kuna raha na hamasa yake. Ni nyie wawili tu mnavyojisikia. Unaeza ingia kitandani na nguo kama kawaida kashughuli kausiku unajikuta asubuhi mko watupu.....:hiyo imekaaje?
Ahaa ahaa Gaga umenifurahisha kweliMh labda nyie wasichana mwenzangu, mume umeishi nae miaka nenda rudi ana muda wa kukuvua nguo saa ngapi, ila kama uko kwenye uhisiano mgeni au ndoa changa labda watajaribu ila huko mbelembele anapapasa anaona una nguo huyooooo anaanza kukoroma, kesho yake utaona kama utavaa tena
Mwenzangu siku hizi wanaume wetu na hizi valuer aje akuvue nigth dress saa ngapi? kwanza wakati imefika magotini keshalala zamani saaana, siku hizi ikiwezekana ukisikia gari tu nje unakaa tayari kabisa mmoja huku mwengine kule kama siku hiyo una ratibaAhaa ahaa Gaga umenifurahisha kweli
Kuna wanawake wengine wanalala na chupi, sasa ina maana hapo mzee akitaka inabidi aanze kumpangua kana kwamba wanakutana kwa mara ya kwanza. Hii imekaaje.
Kulala na nguo ni ushamba
(Jinsi, mashati, sijui sketi)
Lakinia
kwa upande wa wanawake
Tuna night dress ambozo ukivaa
ni kivutio kwa mwanaume..
..
Mimi naona
kulala na nguo za usiku
ni chaguo la mtu ..
usema ukweli saa nyingine is not
About impressing someone but feel comfortable..
Yes! We mwanamke umenena vile vinight vyenu dress laiiini kama vinateleza fulani, visibane alafu ukikivaa usiweke kufuli ndani ulale hivyohivyo.
Mh labda nyie wasichana mwenzangu, mume umeishi nae miaka nenda rudi ana muda wa kukuvua nguo saa ngapi, ila kama uko kwenye uhisiano mgeni au ndoa changa labda watajaribu ila huko mbelembele anapapasa anaona una nguo huyooooo anaanza kukoroma, kesho yake utaona kama utavaa tena
Du! mimim nilifikiri wengi wanalala na chupi...maana wife ndo alivo....miaka mitano sasa "nampangua" kana kwamba........anyways lkn ingerahisisha mambo kama angekuwa havai...ngoja niongee nae!!:croc:
sisi ndio tutakaofufuliwa baiolojia zetu zinang'ara kama tanzanite kwa kuepuka uzinifu hapa duniani, na tupo wachache sana hapa afrika mashariki. haleluyah!