Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,904
- 1,976
Jamani,hivi tatizo la kutafuna ulimi linatokana na nini?
Tiba yake ninini?
Mie ni miongoni mwa waathirika.
Tiba yake ninini?
Mie ni miongoni mwa waathirika.
Mambo eliah..
Mi nikiwa busy sometimes hiyo hunitokea. Wanasema ni tabia mtu anatoka nayo kuanzia utotoni. Sio ugonjwa.
Duh kama unatafuna ulimi si utakuwa umetoboka kama tambara bovu mmmmh.............