Tatizo la umeme katika moyo

Habari wakuu nauliza tatizo la umeme katika moyo linatokana na nini?
1: Kasoro kwenye kianzisha umeme chenyewe/kwenye moyo.

2: Vituo vinavyosimamia mfumo wa umeme kwenye moyo.

3: Misuli ya moyo yenyewe.

4: Shambulio la moyo na makovu yake.

5: Kuziba kwa mshipa wa damu inayolisha moyo.

6: Mabadiliko kwenye maumbile ya moyo/kutanuka.

7: Kisukari

8: Presha ya kupanda.

9: Maambukizi kama Covid-19

10: Kuwa na tezi la thyroid linalitoa vichocheo zaidi.

11: Kulala na kubanwa pumzi

12: Tezi la thyroid kutoa vichocheo ch8ni ya kiwango.

13: Dawa zitolewazo kaajili ya jutibu allergy na mafua.

14: Vinywaji kama pombe na kahawa.

15: Dawa za kulevya

16: Kurithi

17: Uvutaji sigara

19: Stress au Uoga uliopitiliza

20: Presha ya kushuka

21: Nk.
 
1: Kasoro kwenye kianzisha umeme chenyewe/kwenye moyo.

2: Vituo vinavyosimamia mfumo wa umeme kwenye moyo.

3: Misuli ya moyo yenyewe.

4: Shambulio la moyo na makovu yake.

5: Kuziba kwa mshipa wa damu inayolisha moyo.

6: Mabadiliko kwenye maumbile ya moyo/kutanuka.

7: Kisukari

8: Presha ya kupanda.

9: Maambukizi kama Covid-19

10: Kuwa na tezi la thyroid linalitoa vichocheo zaidi.

11: Kulala na kubanwa pumzi

12: Tezi la thyroid kutoa vichocheo ch8ni ya kiwango.

13: Dawa zitolewazo kaajili ya jutibu allergy na mafua.

14: Vinywaji kama pombe na kahawa.

15: Dawa za kulevya

16: Kurithi

17: Uvutaji sigara

19: Stress au Uoga uliopitiliza

20: Presha ya kushuka

21: Nk.
Wengine wanapata kutokana na magonjwa ya mishipa ya damu, kwamba mishipa ya kulia nayo inapata shida mtu anapata tatizo la umeme wa moyo. Matatizo haya yanapata watu wenye umri wa miaka 55 na kuendelea.
 
1: Kasoro kwenye kianzisha umeme chenyewe/kwenye moyo.

2: Vituo vinavyosimamia mfumo wa umeme kwenye moyo.

3: Misuli ya moyo yenyewe.

4: Shambulio la moyo na makovu yake.

5: Kuziba kwa mshipa wa damu inayolisha moyo.

6: Mabadiliko kwenye maumbile ya moyo/kutanuka.

7: Kisukari

8: Presha ya kupanda.

9: Maambukizi kama Covid-19

10: Kuwa na tezi la thyroid linalitoa vichocheo zaidi.

11: Kulala na kubanwa pumzi

12: Tezi la thyroid kutoa vichocheo ch8ni ya kiwango.

13: Dawa zitolewazo kaajili ya jutibu allergy na mafua.

14: Vinywaji kama pombe na kahawa.

15: Dawa za kulevya

16: Kurithi

17: Uvutaji sigara

19: Stress au Uoga uliopitiliza

20: Presha ya kushuka

21: Nk.
21. Upungufu au Kuzidi kwa Madini ya Muhimu kama Potassium, Sodium.
 
1: Kasoro kwenye kianzisha umeme chenyewe/kwenye moyo.

2: Vituo vinavyosimamia mfumo wa umeme kwenye moyo.

3: Misuli ya moyo yenyewe.

4: Shambulio la moyo na makovu yake.

5: Kuziba kwa mshipa wa damu inayolisha moyo.

6: Mabadiliko kwenye maumbile ya moyo/kutanuka.

7: Kisukari

8: Presha ya kupanda.

9: Maambukizi kama Covid-19

10: Kuwa na tezi la thyroid linalitoa vichocheo zaidi.

11: Kulala na kubanwa pumzi

12: Tezi la thyroid kutoa vichocheo ch8ni ya kiwango.

13: Dawa zitolewazo kaajili ya jutibu allergy na mafua.

14: Vinywaji kama pombe na kahawa.

15: Dawa za kulevya

16: Kurithi

17: Uvutaji sigara

19: Stress au Uoga uliopitiliza

20: Presha ya kushuka

21: Nk.
Duu hii kitu ina sababu 200 kama za ukimwi,ukikwepa hapa lazima uangukie huku
 
Back
Top Bottom