Pepo toka kwa jina la mwenye mamlaka.Tangu naanza kukua nimekua na tatizo la kung'ata ulimi kwenye vile vijipeele vyake mpaka natoa damu Yani mpaka ulimi wote unakua na vidonda na midomo ivyoivyo hasa ya chini watu wananisema Sana ila kuacha nimeshindwa hata sijui ni ugonjwa gani huu