Kutafuna ulimi

Kiraka Kikuu

JF-Expert Member
Oct 3, 2011
5,904
1,975
Jamani,hivi tatizo la kutafuna ulimi linatokana na nini?
Tiba yake ninini?
Mie ni miongoni mwa waathirika.
 
Mambo eliah..
Mi nikiwa busy sometimes hiyo hunitokea. Wanasema ni tabia mtu anatoka nayo kuanzia utotoni. Sio ugonjwa.
 
Poa Amyner.
Huwa unajisikia comfortable mtu akikustua pale unapo kuwa unatafuna ulimi?
Mambo eliah..
Mi nikiwa busy sometimes hiyo hunitokea. Wanasema ni tabia mtu anatoka nayo kuanzia utotoni. Sio ugonjwa.
 
na kula kucha je?mpnz wng ananiuzi sana na hii tabia ya kula kucha,sijui dawa yake nini?
 
Duh kama unatafuna ulimi si utakuwa umetoboka kama tambara bovu mmmmh.............
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom