Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,904
- 1,975
Jamani,hivi tatizo la kutafuna ulimi linatokana na nini?
Tiba yake ninini?
Mie ni miongoni mwa waathirika.
Tiba yake ninini?
Mie ni miongoni mwa waathirika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo eliah..
Mi nikiwa busy sometimes hiyo hunitokea. Wanasema ni tabia mtu anatoka nayo kuanzia utotoni. Sio ugonjwa.
Duh kama unatafuna ulimi si utakuwa umetoboka kama tambara bovu mmmmh.............