Mr Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 26, 2016
- 1,670
- 760
- Thread starter
- #101
Yaani kwa mwezi nigegede mara 12 ?
Mkuu unatoka mikoa ya pwani nini?
Samahani lakini
Sio kumi na mbili tu ni zaidi ya hapo piga hesabu
Kwa week mara tatu
Well usiku moja / mbili asubuhi kimoja cha muda mref
hapo kwa mwez unakuwa umepiga kama mara 25 flan